Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Nina mahusiano na mwanamke fulani, lakini kauli hii aliyoitoa mzazi wangu inanipa wasiwasi kwenda kumtambulisha

Kwanini uvae viatu vya mwengine kwani vyako vimepotea...First rule care kuhusu wewe uliingie tatizo kisa kuvaa viatu vya mwengine kwani wanawake wameisha au unalzimishwa kuoa.

Kuoa fresh na akawa na matatizo hio ni nature Duniani matatizo hayaepukiki ila ujinga ni pale kuliingia tatizo kwa kutaka sawa na ucheze balabalani mtu akikwambia utagongwa ufe useme mbona kina waliolala wamekufa INSANE

PERSONAL sioi single mother kamwe hii haijarishi hata Kama mamayangu au mwanangu ni single mother mahusiano yangu ya kimapenzi hayahusiani ya ndugu zangu,...sio kwamba sioi kwasababu na wachukia ila 90% wanawavunja moyo wanaume waliokuwa na nia nao wenyewe Sasa Nini kufuata matatizo na wakati wanawake wasio na watoto wako wamejitunza vizuri kwanini tusiwape zawadi hawa wakiojutunza je wao wapendwe na kuolewa na nani.
Mkuu sijasema freshers wasiolewe Wala sisemi watu wawaoe single mama point yangu ni wasidharauliwe hata wao Wana haki ya kupata unachokipenda ,ibaki Sasa Kila mtu na interest zake hupendi acha usijilazimishe ,yule anaeona anafaa ni kwake asionekane hayupo sawa kiakili vingine havihitaji complications
 
Asante kwa kulitambua Hilo,unaweza ukaoa single mom na mkaishi vizuri tu,na ukaoa bikra akakuletea mtoto wa nje, so what's matter is love
Chief[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Love tena kwani upo kwenye tamthilia. Wewe kiishi kimkakati na kujipanga kimaendeleo, love waachie teenagers. Ukishakuwa, hakuna kitu kinaitwa love itabaki kati ya wewe na wazazi wako tu. Huku ni majukumu, Love uko na 25yrs[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chief[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Love tena kwani upo kwenye tamthilia. Wewe kiishi kimkakati na kujipanga kimaendeleo, love waachie teenagers. Ukishakuwa, hakuna kitu kinaitwa love itabaki kati ya wewe na wazazi wako tu. Huku ni majukumu, Love uko na 25yrs[emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaaa
 
Kwanini uvae viatu vya mwengine kwani vyako vimepotea...First rule care kuhusu wewe uliingie tatizo kisa kuvaa viatu vya mwengine kwani wanawake wameisha au unalzimishwa kuoa.

Kuoa fresh na akawa na matatizo hio ni nature Duniani matatizo hayaepukiki ila ujinga ni pale kuliingia tatizo kwa kutaka sawa na ucheze balabalani mtu akikwambia utagongwa ufe useme mbona kina waliolala wamekufa INSANE

PERSONAL sioi single mother kamwe hii haijarishi hata Kama mamayangu au mwanangu ni single mother mahusiano yangu ya kimapenzi hayahusiani ya ndugu zangu,...sio kwamba sioi kwasababu na wachukia ila 90% wanawavunja moyo wanaume waliokuwa na nia nao wenyewe Sasa Nini kufuata matatizo na wakati wanawake wasio na watoto wako wamejitunza vizuri kwanini tusiwape zawadi hawa wakiojutunza je wao wapendwe na kuolewa na nani.
Ila kweli kuoa single maza shida japo ukweli usemwe mbususu zao tamuuuu
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Mrejesho mkuu
 
Habari za usiku wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja, nikuwa ninamwanamke ambaye nampnda sana, na bila shaka nataman nianze nae maisha kama mungu akijalia.

Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.

katika stor 2 tatu na mzazi wangu siku moja aligusia akisema kuwa anahitaji mwanae aishi na mwanamke ambaye hana mtoto kabisa ni kama wote waanze upya pia hataki mwanae azae kwa kutanga tanga, yaani mara huyu mara yule.

kutokana na kauli hiyo napata kigugumizi kwenda kumtambulisha huyu wangu ambaye tayar ana mtoto ambaye sio wangu. Naombeni ushauri!

Ahsanteni.
Boss umefika wapi.
 
Huyu mwanamke amewai kuzaa miaka 5 iliyopita, anamtoto, alizaa akiwa na 17 yrs, japo hawasiliani na baba wa mtoto na waligombana tangu miaka hiyo.
Nimesoma hii Paragraph hadi nikaweka mikono Kichwani🙆‍♂️🙆‍♂️

Most likely huyu jamaa ndiye alimtoa Bikra sio tu bikra ya Mboo bali akamtoa na bikara ya Uzazi.

These two are spritually connected despite any factor.
 
Binafsi kama hajafiwa na mumewe ninawaona wapuuzi hawana akili wajinga wapumbavu mibwege
Na yule alozaa kabla ya ndoa ninamuoa malaya muuzaji mdangaji
Ndio malaya unaanzaje kumpa **** mwanaume ambaye si mumeo mpk akuzalishe mtoto

Mwanamke kadizainiwa kwa mwanaume mmoja tu aliye HAI(elewa hapo)
tofauti na hapo ukianza kuigawa hiyo NDUDE kwa kila mwanaume ukaruhusu akumwagie ugiligili wake
Lazima Dunia uone chungu na maisha yako yote yatavurugika hakuna RANGI utaacha kuiyona

Kwa hiyo SINGLE MAMA hawana AKILI wapuuzi wameyataka wenyewe hayo MAISHA ya kudhalaulika na kupata Tabu
WAJINGA fulani
We jama hata kama ni ukweli lakini mbona unatumia Hasira? Walikufanya nini Single Mama?

Ni sisi wanaume tunawadanganya kuoa akishapata mimba tunakimbia sasa hapo Kosa la nani?
 
Back
Top Bottom