Katika maisha epuka kujuta na wala usipambanie mwanamke wala usitake kumhurumia waache wasaidiane wenyewe kujipa mzigo ambao hujapewa umefeli, makuzi yako yasiamue maisha yako kama uliishi kwa tabu huko zamani fanya ibaki history tu kwa walio fahamuhapana mwanaume, makosa yapo na duniani kuna kujisahihisha, hii pengine imesababishwa na makuzi yangu, so ilivyotokea nilihisi dogo anaweza kuja kuishi maisha kama yangu mimi!!
... duh! nani alikuambia hayo ndo mabadiliko ya mimba? au kufika mwanza ndo ushakuwa Msukuma.sasa mabadiliko ya ujauzito, binti akawa anafanya vituko, kuna siku halali nyumbani anasingizia alikua kwangu.
😂😂😂alisahau, hata kucha mnafanana sema kampaka rangi tu.mara mtoto wako huyu, mnafanana sana nywele sema nimemsuka hutaona, kidogo mwanao huyu ona alivyokuzoea haraka!
... jamaa naye alikuwa anakula pale pale mgahawani ?halafu kibaya dogo anafanana sana na kuna jamaa namfahamu!
Tafuta advocate yeyote naye atakupa utaratibu. Si zaidi ya 300,000Bei gani mkuu, nataka niende na huyu dogo
kashindwa kuelewa mambo ya mapenz hayanaga mjanja, ulifanya kujitokeza kwasababu una utu na kwasababu ulihisi binti ni mwema kuwa huenda hajawai lala na mwanaume mwengine.Kuna kudondoka, na elimu yangu haihusiani kabisa na madhaifu yangu!!
kamaliza mjadala, haina haja ya DNA, Mtoto angekuwa wako kweliUsichokijua kuhusu wanawake ni kuwa "wanawake hawapendi kuonewa huruma"
1. Mtu ameenda kijijini ana mimba, hajakutafuta
2. Amejifungua, sidhani km ulimpa mtoto jina. Hajakutafuta
3. Ameolewa Kenya. Hajakutafuta
4. Amerudi mtaa uliopo. Hajakutafuta
5. Wewe ndiyo umelazimisha, narudia tena umelazimisha, narudia tena umelazimisha kumuona mtoto na alikubali kwa shingo upande.
Huyo mwanamke hana mapenzi na 100%. Wewe ndiyo unajipendekeza
Mtoto wa kiume je?Mtoto wa kike ni either afanane na wewe au mama yake tofauti na hapo kimbia
Dokta mbona unakimbiaKuna upuuzi unaendelea unafanana hivi hivi na naona dalili za kukimbia kusiko julikana....
Mniombee
Mtoto wa kike ni either afanane na wewe au mama yake tofauti na hapo kimbia
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kuna wasanii waliimba, kimbia toka nduki we kimbia jumba bovu lisikuangukie kimbiaaa faster.ushapigwa hapo,jitu limeolewa mpaka kenya eti linataka muishi nalo.
Yeah decent guy huyu , mimi kwake nasubiri [emoji28]Aiseee
Uyo mwanamke ni mjanja kuwa nae makini
Lakini pia zungumza nae kwa utaratibu atakueleza yote
Ila Kwa kisa chako Nina mashaka kama uyo ni mwanao.
Pia wew jamaa inaonekana Una huruma na ustarabu sna.
For sureDNA si rahisi kupima... Na mara nyingi utasukumiziwa ni wako ili kupunguza watoto wa mitaani
[emoji28][emoji28] mna tusema , watu type hii Huwa hatuna bahati . Maana tumeweka utu mbele sana wakati Dunia haiko hivyoHuyu jamaa anaonekana ni introvert (mtu mkimya, asiyeongea sana). Watu wa aina hii wana huruma sana
[emoji28][emoji28][emoji28] poleKitu hujui, uliza si kupotosha! Hakuna kitu kama hicho, DNA inaaminika acha kumpotosha mwenzako. Nilishapima watatu mmoja hakuwa wangu
AgreedKwenye maisha inabd uwe na huruma pia ustaarabu ila navyo vikizid huleta matatizo
Naked truthShida ya sisi wanaume wa siku hizi tumejawa na huruma sana kuliko wanawake wenyewe.
Mwanamke anayekupenda anakusikiliza na kukuheshimu.
Mtu anaenda kwao, hakutafuti anaenda Kenya anaolewa na anakuja mtaani hapo hakutafuti. Wewe ndiyo unangaika kumtafuta. Huyo mtoto siyo wako 100%.
''Acha kuwa na huruma na wanawake, fanya mambo yako''
[emoji28][emoji28][emoji28]Kuna upuuzi unaendelea unafanana hivi hivi na naona dalili za kukimbia kusiko julikana....
Mniombee
Kanishangaza sana [emoji28]Ulishobokea mimba isiyo yako,unalazimisha mtoto awe wako,bint matendo yake 100% yanaonesha mtoto Sio wako,naye analijua Hilo anakuona bwg,acha nae endelea na Mishe zako,kosa ulilifany skuile ulipo mwambia boss wake kua inawezekn mimba ni yako ilhal hukutajwa[emoji23][emoji23] umenichekesha,amka Sasa acha hizo.
Agreedukitaka kujikuta gentlemen lazima uumie na mwisho wa siku mwanamke atakuona boyaaa tu