Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

Agreed
 
Kimbia kaka tena kimbia sana huyo dada atakuharibia maisha

Tafuta laki 2 mpe yule mama then mwombe akufanyie uchunguzi na upelelezi atakupa majibu ya kweli
 
Mwambie unataka kufanya DNA test then omba ifanywe na Lancet vipimo wanatuma Nairobi majibu yatakuja ya ukweli
Na uhakika ukitaja kupima binti atakimbia
 
Noma sana!
 
Kanishangaza sana [emoji28]
Kosa kubwa nililofanya ni hili, mimi mwenyewe nilijiona mpuuzi sana, lkn kwa mazingira yake alihitaji huruma, miaka chini ya 20, kwanza tuu nilikua nawaza vipi anaweza himili vyote, kumbe nae anavyake.

Laana za wanawake nani anazitaka!! sema ndo hivyo ishakuwa somo!! ila shukran kwa mliochangia uzi huu kwani nimempata mpaka daktari wa Kenya atakaenisaidia kwa umakini, na ushauri wa kutosha!
 
Sijaelewa hapo kumwambia huyo maza kua mimba ni yako!! Uliwaza nini mpaka ukajitosa namna hiyo au ulimkuta bikra ndgu yangu?

Hilo ulijitakia mkuu, na nahisi mtoto hakua wako ndio maana hakukutafuta tena. Pole sana mkuu, ila kapike dna ukishindwa basi usiishi na huyo kiumbe we hudumia mtoto tu.
 
So sisi sio huyo dada pole .
Kingine mshauri kimaungo nitakuoa ml 5 ukiwa mkweli mtoto ni wangu??
Hata ml 10 sema tu nitakopa .
Akikataa kusema mpige mkwara naenda polisi atasema.
Kitu kingine mwambie naenda kwa mganga kucheki hakuna dna tosha kama hiyo
 
Sio mtoto wako kama ulikuwa na uwezo wa kumpa M3 mtafute huyu mtoto mchukue hata unywele ama nguo zake kampime. Hapo kimbia tu. Mwanamke anatakiwa awe wa kwanza kumtafuta mzazi wa mtoto wake.
 
Umejichanganya mwenyewe mkuu hapo.
 
Komaa na mchumba wako kama watoto mtapata ukiwa kwenye ndoa
 
Mimba ulijipa mwenyewe, hukupewa yaan ulishoboka so unavuna ulichopanda japo kwa kusoma andiko lako unaonekana una roho nzuri na ka huruma flani, hayo mengine pambana nayo kiume au laah uatakua Social father nayo sio mbaya
 
Mpeleke mtoto maabara jifanye unaenda kucheki afya ya mtoto na huyo mama wa mtoto....mkifika muombe mhudumu afanye( blood grouping) ya kwako mama na mtoto...group la damu lazima lifanane na la baba vinginevyo umepigwa....huo ni mwanzo tu
Shule uliosoma itaje ili tujue ukilaza ni wako wa kuzaliwa au ni walimu wako, hii ya kufanana blood group ulisomea wapi? Usiabishe ukoo
 
Kwa maelezo yako haya kuna uwezekano wa asilimia 90 kuwa umepigwa, japo hizo 10 pia zina nguvu ya kubadili hisia zilizopo sasa...

Kuna watakao kwambia ukampime DNA, well and good, Ila kuwa na uhakika ukienda kumpima utajipiga kitanzi cha kudumu hata kama ukweli mtoto sio wako!

Ofisi ya mkemia kwa sasa hata ukipeleka sampuli ya mtoto asiye wako kabisaaa, as long as inahusisha parentage, nakuhakikishia utaambiwa ni wa kwako (hii imefanywa makusudi kunusuru ongezeko la watoto wa mtaani),
Kwa experience, rafiki yangu alisafiri kikazi kwenda Ghana, alikaa huko kwa miezi minne, aliporudi akakuta mkewe ana ujauzito, na kwa maelezo yake alipokuwa anasafiri mkewe alikuwa Menstrual Period!

Jamaa alivyorudi akakomaa kutaka kujua mimba ni ya nani mke akasema ni kwake, hakubadili msimamo mpaka alipojifungua, jamaa mwezi wa 1, 2022 akaamua kufanya DNA test, majibu yakaja kwamba mtoto ni wa kwake, japo ukiwaona watoto wake wengine na huyo mwingine ni tofauti!

Ukitaka kupoteza muda na pesa zako bure nenda ofisi ya mkemia kapime then utarudi hapa utusimulie!

Hatua na gharama za kupima!
Kila sampuli moja inapimwa kwa sh.100,000/= na lazima uende baba,mama na mtoto (hapo itakuwa 300,000/=)

Kuna gharama za wakili (kama haujapita ustawi wa jamii), hizi zinategemea na mtakavyokubaliana, kuna wanaofanya kwa 200k na wengine zaidi ya hiyo!

N.B regulations zinazoongoza upimaji na utoaji majibu ya vinasaba yameelekeza wazi kwamba mtoa majibu LAZIMA AZINGATIE MASLAHI YA MTOTO!
 
Bro, huhitaji DNA. Mtoto sio wako. Ushauri wangu, kama uwezo unao msomeshe mtoto umpunguzie mzigo mama mtu. Kama huna muahidi kumpa msaada mambo yakikaa vzr. Mfanyie uungwana bila kujiumiza mwenyewe
 
Gharama ya DNA ni sh. ngapi, hakuna taratibu za kufuata?
Tanzania Ukicheki DNA hata kama sio wako utaambiwa wako

So kama uko radhi kuteketeza laki moja yako ni wewe tu wala sio gharama kubwa unapima ofisi ya mkemia mkoa uliopo kwa kibali kutoka mahakamani

Lakini kila kitu kina loophole bado unaweza ukawashinda wasiweze pika majibu
 
kwaza pole sana! Ulipokosea ni uliposema unahisi mtoto ni wako.. Ungesubiri huyo bonti amtaje baba wa mtoto mwenyew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…