cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Kuwa na mtoto ni dhambi?Amekuoa hadi akupe mimba!? Kumbe wengine usingle mother mnajitakiaaaa
Ubaya wa single Maza..nikulinganisha aliyenaye na aliyemzalisha..tatizo huanzia hapaSingle Mother's episode continuity again..[emoji124]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sijibu maswali ya kitoto!Kuwa na mtoto ni dhambi?
Hapana, si kwamba uwezo wa kukupa mimba hana. Uliwahi kagua begi lake uone kama hazimo?Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Mkapime wote!Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Punguza panicAmenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Mimi ninamashaka na wewe ila kama itakupendeza tukutane kwenye siku zako za hatari ili tuthibitishe tatizo liko wapi, tuwasiliane pembeni.Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Mwambie mwimbia kubunyee huyoTulia, wacha makeke.
Sikuiz technologia imekuwa mno, hayo mambo mnazungumza then mnaenda hospital, zipo dawa kwa maelfu ya tatizo kama hilo.
Kumbuka ulitiwa mimba ukaachwa kwa kutaka mambo kwa pupa...
Nenda taratibu.