Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
We ndio utakuwa mtoto,kakujibu vizuri huyo bintiSijibu maswali ya kitoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndio utakuwa mtoto,kakujibu vizuri huyo bintiSijibu maswali ya kitoto!
Nendeni hospitali mkajiridhishe kwa vipimo, mambo madogo hayo.Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Inaonyesha unaomba msaada kiutu uzimaAmenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Mnapenda kua masingle maza! Anataka ashike mimba kaolewa, mwanaume wamekubaliana abebe mimba au anajiamulia tu! Au anadhani akibeba mimba ndo ataolewa haraka l!?We ndio utakuwa mtoto,kakujibu vizuri huyo binti
Kuwa na mtoto sio dhambi ila kuwa na mtoto kabla ya ndoa ni dhambi!Kuwa na mtoto ni dhambi?
Tangu hangaya aseme wanaume hawahusiki na watoto kazi yao ni kuchangia mbegu bila shaka huyu anahitaji kuchangiwa mbegu.Pole... ikishindikana leta maombi kwa mwenyekiti wa kamati ya msaada ya kugawa mbegu bure
Njoo nikupe mwingine na Mimi wala sio dhambi,Kuwa na mtoto ni dhambi?
Wasabato & KKKTKuwa na mtoto sio dhambi ila kuwa na mtoto kabla ya ndoa ni dhambi!
Sijui kwa nini lakini akili zao huwa zinafananaAmekuoa hadi akupe mimba!? Kumbe wengine usingle mother mnajitakiaaaa
Akili zao huwa zinafananaSingle Mother's episode continuity again..[emoji124]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kajiaminisha sababu ana mtoto mmoja kwamba hawezi kupata changamoto ya kupata mtoto mwingine, ndo maana Lowasa alitaka viapaumbele vinne;Ko kutolewa tu mahari ndo ukaamua uanze kutafuta mimba?huwa mna haraka ya kuwahi wapi?
Na kwa nini ukimbilie kusema hazai,je kuwa na mtoto ndo kusema huwezi tena kupata changamoto ya kupata mimba ingine?
Ngoja nisiongee usije sema labda kwa kuwa mi ni mwanamke hatupendani,mi napenda mtu anayetumia akili.
Naona unapambana kuwa single maza mwenye watoto wawili
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari, situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 ,tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Huyu ni mpishi mkubwa wa chai humu jukwaani.Nendeni hospitali mkajiridhishe kwa vipimo, mambo madogo hayo.