Nina mashaka huyu mwanaume hana uwezo wa kunipa mimba

Nina mashaka huyu mwanaume hana uwezo wa kunipa mimba

Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.

Acha kuiwazia ya mimba.. zitaingia kiurahisi..

Kuna kitu kati ya mawazo ya mimba na kupata mimba huwa haziji.. sijui ila msemo huu upo.. tuliza akili Yako na mwili utulie..
 
Tusomeshe watoto wetu jamani,dada ungekua na Elimu sidhani kama ungeandika haya.

Hujasoma kwamba unaweza ukawa huna tatizo na mume hana tatizo na Mimba usipate kwa wakati?

Mimba sio umeme kwamba uwashe tu switch Taa iwake, Mimba ina sababu zaidi ya milioni mpka mtu anaishika.

Sio kisa ulipata mimba ya kwanza ukafanikiwa mtoto ukahisi ni rahisi kiasi hicho. Mshukuru Sana Mungu Mimba sio rahisi hivyo.

Biology ya Miili yetu wanadamu hata wana sayansi wenyewe inawatoa jasho.

Tulia Kuwa na heshima kwa mwanaume wako,kama unaharaka sana na ujauzito uje tutest na kwangu,isipopatikana nenda kwa mwingine hadi uipate.
 
Brid=Bleed, kwa hayo maneno singo mama, umeshindwa kutofautisha, basi tatizo liko kwako... 🥹🥹🥹
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Usihukumu usije ukahukumiwa, nendeni mkapime inawezekana wewe ukawa mwenye tatizo....Mtakapopima mkakutwa mko fiti na mimba hupati, tafuteni msaada wa kiroho.
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Kwani wewe si unamtoto tayari au vipi
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Kwa nini shida isiwe ni wewe na Mayai yako, ukitaka kupima next episode chepuka mwingine tarehe hizo kisha ikijaa fanya makeke uitoe au umsakizie
 
Tatizo la wanawake wakipigwa pumbu tu wao wanaanza kuwaza kuzaa ila hii jinsia hatariiiii
 
Huwezi kumdhibiti mwanaume kwa kutumia mtoto,kama hana malengo na wewe utazalishwa na utaachwa tu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hiyo ndiyo njia kubwa wanayotumia wanawake wengi wavivu wa kisasa kuishi ' child support ' hapa mtu sio rahisi kuchomoka

Kuachwa hata akiolewa ataachwa tu lakini mtoto haachiki
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Kwann msipime tu? 👌
 
Back
Top Bottom