Nina mashaka huyu mwanaume hana uwezo wa kunipa mimba

Nina mashaka huyu mwanaume hana uwezo wa kunipa mimba

Tumia hii kitu usipo shika mimba ndio uwe na mashaka na jamaa
Screenshot_20230828_094429.jpg
 
Kumbe wewe ni dume halafu unataka upate mimba hii dunia ina mambo mengi kuliko mda
.
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
 
Wazazi wako wana hasara kama mtoto wa kiume unatamani mimba? Kwahiyo tarehe 14 uliwekewa ukuni?.
Screenshot_20231016-125444.jpg
 
Tayari keshamtia doa huyu aliyenae, lazima anaenda kutiwa mimba na aliyemzalisha mwanzo. Yeyote mwenye single mom hongereni kwa ujasiri.
Ubaya wa single Maza..nikulinganisha aliyenaye na aliyemzalisha..tatizo huanzia hapa
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Pls nenda kwa gyno kuna ushauri atakupa.

Ni muda gani tangu umepata mtoto?
 
Huenda una mayai lakn visa usianze lawama kwa mwenzako
cha ajabu ni kwamba yeye ni single maza ameokotwa, lakini bado analeta nyodo. wengi tumeshakuwa na wanawake wengi, wengine wameshazaa kabla ila wanapambana kutafuta watoto wengine, mimba haziingii kumbe ni haya mambo ya wazungu ya vidonge vya kuzuia mimba na masindano, kuna wakati huwa yanareact negatively kwenye mwili na mwili unajiweka kuwa hautakiwi kupata mimba,hadi miaka kadhaa kupiga ndio unakaa sawa. ajiulize, yeye kama single maza, ni uongo kuwa alikuwa anatumia vidonge au masindano ili azuie mimba kwasababu alikuwa hajatulia/malaya? au sio. akijitathimini, atulize tu mshono.
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Nisiongee sana maana nina safari ndefu bado.
 
Kwanza humu ushalalamika hana hela, now unamtafutia sababu hana uwezo wa kukupa mimba, kesho utasema anafanya kazi kama MKASI, 🤐🤐

Humtaki muache tu, usije mtoa roho ndugu yetu, wanaume wenyewe tuko wachache, usitupunguzie ukoo wetu.
🤣
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Bila shaka hii Gender umeiweka tu kutufurahisha humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20231016-132830.jpg
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Bado uko kijijini??

Ila ww bhana thread zako huwa sizielewagi.
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Unapenda Ngono na kuzaa zaa hovyo ka Mbwa eeh? Tulio mwenzio hataki kuchanganya watoto wewe kakulipia mahari kukununua kama Sexy toy tu.
 
Amenikuta na mtoto mmoja lakini tangu niwe na mahusiano na uyu mwanaume wa sasa mimba sikamati ameshanitambulisha kwao mahali kila kitu tayari.

Situmii kizuizi chochote tunakutana siku za hatari kushiriki tendo la ndoa lakini mimba hakuna aya nilibrid tarehe 1/10/2023 nikamaliza period tarehe 5/10/2023 nilibrid siku 5 .

Tumekutana tarehe 13/10/2023 na tarehe 14/10/2023 nasikilizia kama ntakuwa na mimba.kama sitapata basi uyu mwanaume wangu hana uwezo wa kunipa mimba jamani.
Endelea tu kutangaza mitandaoni na weka picha pia labda ataona atajitahidi.
Huyo nae anaonekana kisha dumbukia kwenye shimo kuwa na mke kama wewe.
 
Back
Top Bottom