Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA[emoji2827][emoji2827][emoji2827]na wenye malengo mabayaSijui chuo gani wanafundisha kujenga changarawe juu ya lami nzima isiyo na tatizo.
Sijui tathmin ya kumwaga changarawe kwenye lami kwenye tenda inajazweje na mimi nikashiriki. wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.
hawajali wenye magari tumelipa vingapi na tunalipia mangapi.
Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
Safi kabisa!Hapa ndipo ninapoona hitaji la katiba mpya.. Leo nimeambiwa tozo kwenye mabenki zimeanza rasmi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]
Mwanzo ilikuwa hivyo lakini badaye haiko hivyo , mfumo wa uongozi wa JK haukuwahi kuwa kama huu wa sasaJK na Ritz
KalagabahoMwanzo ilikuwa hivyo lakini badaye haiko hivyo , mfumo wa uongozi wa JK haukuwahi kuwa kama huu wa sasa
Hujawahi kuwa na akili inayotosha kibaba cha pishi mojaSafi kabisa!
Nashauri ziongezwe! Maana tunapumua baada ya kunyanyaswa kwa miaka 5.
Baada ya kutopandishwa mishahara na madaraja sasa tumeoandishiwa. Nashauri kodi iongezwe mara dufu
Likini msoga si ni kipenzi chenu na mlimiss sana uongozi wake?inasemwa hivyo lakini .....
najua kila kituKalagabaho
Mpangaji ni Mungu. In fact Kila jambo na Kila tukio katika maisha yako vimepanjwa kabla hujazaliwa.Kila ukionacho kimepangwa!
Hamna pa kupumulia safari hii. Mama Samia na Magufuli ni kitu kimojaNaona umevamia gari kwa mbele
Mabeyo yeye siyo gang?Without any doubt Mkuu and thatβs very scary. Hopefully Mabeyo will do something before itβs too late.
ππππ€£π€£π€£ Na bado, mpaka maji muyaite MMA!ndani ya kakundi hako kadogo yuko pm mmoja wa zamani aliyejiita mtoto wa Mkulima , haonekani hadharani lakini gizani yumo
Timu ipi?[mention]Mshana Jr [/mention] mama hana timu bado kwan hakutegemea io nafasi hivo anawapambe ambao nafikiri ndio una ujumbe wao
Mama bado anaona yupo kwenye ile nafas ya namba mbili ndio mana kutwa safari,hafla na mengine
Jitihada kubwa zinahitajika mama kua na timu kubwa ya kizalendo
Hawa jamaa Huwa hawajui lolote. Na Leo Mama amepewa uchifu wa gangπππππMabeyo yeye siyo gang?
Na bado mpaka maji muite mma
Hahaaa Gang haina mchezo na Leo amekuwa chifuππππMama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.[emoji3064][emoji38][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Na msaidizi wake ndio hamna kitu kabisaMkuu, tusilaumu watu.
Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.
Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.
Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.
Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.
Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Ukiandika haya mleta mada na bavicha wengine watakutukanaHumu humu ndani walikua wanasema mwenda zake mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yeyu yeyiiiiiii kuleni tozo na sahii Tozo hadi bank hakuna kwa kukimbiliaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka tu maneno machache ya mwenda zake aliposema NCHI HII NI TAJIRI SANA LAKINI SERIKALI ILIKUA INASHINDWA KUKOMAA KUDAI KODI KWENYE MADINI TUNAPOTZA ZAIDI YA TRILLION 300 PESA YA KUENDESHE NCHI MIAKA 10 BILA MKoPO TUNAKOMAA KWATOZA KODI WANANCHI HAWA MASIKINI YAWEZEKANA PESA ZETU NDIO WANAZITUMIA KUFANYA MAENDELEO HUKO KWAO TUNAONA KUZURI KUNA FAA VILE Rest In Paradise my all time nest president ever seen in world history I love you......kwa bahati mbaya umetuachia mtu sio mfatiliaji anazunguka kama vile yeye ndio waziri wa utaliii sasa kama akifanya haya yoote mwenyewe kuna umuhimu gani wa kua na mawaziri[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706]