Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Akapige ultrasound nyengine halafu ulinganishe hiyo ya mwanzo na ya pili, hasa hasa mpleke kwa radiographer mzoefu. kisha linganisha mkuu.

Mara nyingi mimba ya wiki tatu haionekani kwa ultasound laba labda report itasema kuna dalili za mimba changa i.e features are suggestive of early pregnancy, na hapo radiographer ata recommend upimwe mkojo yaani UPT
 
Kimbia akisha jifungua utakuja kumzoom mtoto. Bora nusu shari kuliko shari kamili
 
Relax Ultrasound hazielewekii,wee kama unjua siku zake zilizokua za hatarii,mark hizo Tarehe...kikawaida huendana na Tarehe za kujifungulia Kutengeneza miezi 9. Next step check mtoto alivyo. Mwisho wanaume wa kweli haupaswi kuchimbaa sana hilooo ilimladi ulimwagia ndaniiโœ“โœ“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ