Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Alivopimwa anasema walichukua mkojo pia
 
Kama ulishapiga mimba ni ya kwako mkuu, mpaka akusingizie wewe alishaona unafaa kuwa baba wa mwanae ,tusaidiane kwa upendo tu mkuu.
Kabisa wee kama mwanamke ameamua kukubambiakia mtoto ujue kakubali u r a man endelea nae tuu🤣🤣🤣🤣
 
Sio ya kwako. Kwani hata kuhesabu hujui? Na sema leo. Usisubirie ulee mimba ndo ulalamike.
 
Kabisa mkuu, hakuna mwanamke anamsingizia mtu goigoi tu mtoto😁
Alafu hii lina ukweli....wanawake wajanja lazima wachague mwanaume mwenye future.
Kumbe sie ambao hatujawahi kubambikiwa mimba maana yake hatuna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…