Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Hongera ba kijacho......
 
Mimi dogo wangu nimempata nikiwa form three mkuu😁😁
Kumbe ulishindikana mapema sanaπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
 
Kwenye kuhesabu umri WA.mimba huwa unaulizwa mara ya mwisho kuona period
Kasome hata Kadi za clinic utaona mkuu
Kama.mlisex week Tatu zilizopita ninsawa .msisex danger. Day
Mfano, alieingia period tareh 1, alaf tareh 10 akafany mapenzi, tareh 14 akienda hospt kupima ultrasound.. itasoma mimba ni wiki 2??
 
Mimba umri wake haihesabiwi siku mliofanya ,inaanza kuhesabiwa siku aliyoona siku zake za hedhi tarehe ya kwanza kwa mara ya mwisho.
Mfano, alieingia period tareh 1, alaf tareh 10 akafany mapenzi, tareh 14 akienda hospt kupima ultrasound.. itasoma mimba ni wiki 2??
 
Mfano, alieingia period tareh 1, alaf tareh 10 akafany mapenzi, tareh 14 akienda hospt kupima ultrasound.. itasoma mimba ni wiki 2??
Mfano Mimi nilisex April 12 na 14.period nilitakiwa kuingia tar 28 sikuona period.nilivopima mimba nikaambiwa Nina mimba ya week nne .nilipima tar 30 april
 
Kumbe ulishindikana mapema sanaπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
Kipindi hicho nilikua najiona sharuk khanπŸ€£πŸ€£πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…