Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

🀣🀣🀣🀣🀣
Hutaki jina lako zuri zuri lisambae?
😁😁ushangae vijana wa 2000 humu waanze kuniita nitakosa vingi ujueπŸ˜…
 
😁😁ushangae vijana wa 2000 humu waanze kuniita nitakosa vingi ujueπŸ˜…
Weeeh kumbe mnapata vingi humu na hamsemi!! Hebu nipe connections.

Halafu hao si ndio watoto wenzio, wakikuita haina shida🀣
 
Si bora wewe kuna utofauti wa wiki mbili, na ulipiga kavu, mimi nilipiga na Condom na ndom hazikuharibika, mimba inatofautiana kwa wiki tatu na mahesabu yangu kwa ultrasound, afu naambiwa mimba ni yakwangu na analia machozi mengi tu, yaani ningetapeliwa vibaya sana.
Hahahha duh kwahio ikawaje mkuu
 
Back
Top Bottom