Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Unaharibu sasa babeπππNilielewa, ila sikutaka kusema kuwa mtoto wetu wa kwanza, nilikupea mimba wakati mimi nipo school nawe chuoni.
Sipendagi kusema sema hivyo.
π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaharibu sasa babeπππNilielewa, ila sikutaka kusema kuwa mtoto wetu wa kwanza, nilikupea mimba wakati mimi nipo school nawe chuoni.
Sipendagi kusema sema hivyo.
π
Basi babe, ila ile ni zawadi bora zaidi uliyonipa maishani, nakupenda sana mamsapu wangu.Unaharibu sasa babeπππ
π€£π€£π€£π€£π€£ππ hilo jina liishie kwako tu lakin
ππushangae vijana wa 2000 humu waanze kuniita nitakosa vingi ujueππ€£π€£π€£π€£π€£
Hutaki jina lako zuri zuri lisambae?
Love you moreπππBasi babe, ila ile ni zawadi bora zaidi uliyonipa maishani, nakupenda sana mamsapu wangu.
Weeeh kumbe mnapata vingi humu na hamsemi!! Hebu nipe connections.ππushangae vijana wa 2000 humu waanze kuniita nitakosa vingi ujueπ
makaveli10 tumuulize hili πWeeeh kumbe mnapata vingi humu na hamsemi!! Hebu nipe connections.
Halafu hao si ndio watoyo wenzio, wakikuita haina shidaπ€£
Kwamba na yeye anapata vingiπββοΈπββοΈπββοΈmakaveli10 tumuulize hili π
Nikuulize wewe shindikana wetuπKwamba na yeye anapata vingiπββοΈπββοΈπββοΈ
Aaah we! Mie sio shindikana. Wewe ndio shindikana long time kitambo. Nipe connections bwana.Nikuulize wewe shindikana wetuπ
ππ π πAaah we! Mie sio shindikana. Wewe ndio shindikana long time kitambo. Nipe connections bwana.
muhimu,itabidi na sisi wanaume tutumie diary zile,
siku ukiuza mechi, unaandika
nawaza tu maana duh
Mie sipati vingi, Atoto anatosha.makaveli10 tumuulize hili π
πππMweeeeeh! Hadi nyama mnakula na hamsemiπββοΈπββοΈπββοΈ
Asante nmekuelewa vyemaMfano Mimi nilisex April 12 na 14.period nilitakiwa kuingia tar 28 sikuona period.nilivopima mimba nikaambiwa Nina mimba ya week nne .nilipima tar 30 april
Nikishajua sio wangi na nishamlea had hapo, nitawezaje kumkataa mtotoMwache azae baada ya miezi 3 utajua uhalisia
Hahahha duh kwahio ikawaje mkuuSi bora wewe kuna utofauti wa wiki mbili, na ulipiga kavu, mimi nilipiga na Condom na ndom hazikuharibika, mimba inatofautiana kwa wiki tatu na mahesabu yangu kwa ultrasound, afu naambiwa mimba ni yakwangu na analia machozi mengi tu, yaani ningetapeliwa vibaya sana.