Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Vimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!

Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?

Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande cha Dunia hakiwezi kutoka kwenye uso wa Dunia na kuelekea kwenye anga maana Kuna gravitational imekishikiria!

Kwenye Sayari inawezekaneje kipande kimeguke na kieskepu kwenye hiyo Sayari?

Swali jingne: Kimondo kikiwa kinakuja kwenye uso wa Dunia huwa vina mwanga mkubwa Sana, lakin kikifika chini huzimika kabisa na mwanga huo hupotea kabisa, na kinakuwa ni jiwe tu Kama yalivyo mengine. Swali je huo mwanga kwanini hupotea?

Kwanini vimondo Mara nyingi hutua katika uso wa Dunia mida ya usiku?
 
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
1:Siyo kwamba sayari zote zina gravitation force sawa na dunia.

2:Siyo mawe yote yanatokea kwenye sayari,mengine hutokea kwenye vimbunga vya sayari mfano Saturn (sarateni) ina pete ambayo ni vimbunga vya mawe na gaseous.

3:Angani juu ya ozone layer hamna gravitation force ya kuvivuta vitu chini bali vitu huelea hivyo basi kuna uwezekano wa mabaki ya mawe kuwa yametokea kwenye magimba mengine ya mbali na sayari nane za mfumo wa jua(nyota)..

Asante
 
Karibu mkuu
Tume koswa koswa hapo! Ngoja waje!
JamiiForums579155238.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1:Siyo kwamba sayari zote zina gravitation force sawa na dunia.

2:Siyo mawe yote yanatokea kwenye sayari,mengine hutokea kwenye vimbunga vya sayari mfano Saturn (sarateni) ina pete ambayo ni vimbunga vya mawe na gaseous.

3:Angani juu ya ozone layer hamna gravitation force ya kuvivuta vitu chini bali vitu huelea hivyo basi kuna uwezekano wa mabaki ya mawe kuwa yametokea kwenye magimba mengine ya mbali na sayari nane za mfumo wa jua(nyota)..

Asante
1. Sababu ya kwanini sio sayar zote zna gravitational Kama ya Dunia ungeziweka nkazifaham!!!! Hapa kwenye maelezo yako mkuu bado napata utata Sana,hata Kama Kuna gravitational ndogo kitu kitachomokaje kueskepu kwenye Sayari ??? ikiwezekana toa ufafanuzi mzur mkuu ili nielewe
2. Satan na yenyewe Haina gravitational force ya kuhold vitu vyake mpaka vinatukuta sis huku Duniani?? Fafanua kuhusu vimbunga vya sayar
3.Hayo magimba huwa yanatokea kweny nin,yaan kabla ya kuanza kuanguka huwa yamejiatach wap mkuu??
Maswali haya hujayajibu
• Kwanin kimondo kikidondoka huzimika??
•Kwanin Mara nying Vimondo huanguka nyakati za ucku??
Ahsante
 
Vimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!

Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?

Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande cha Dunia hakiwezi kutoka kwenye uso wa Dunia na kuelekea kwenye anga maana Kuna gravitational imekishikiria!

Kwenye Sayari inawezekaneje kipande kimeguke na kieskepu kwenye hiyo Sayari?

Swali jingne: Kimondo kikiwa kinakuja kwenye uso wa Dunia huwa vina mwanga mkubwa Sana, lakin kikifika chini huzimika kabisa na mwanga huo hupotea kabisa, na kinakuwa ni jiwe tu Kama yalivyo mengine. Swali je huo mwanga kwanini hupotea?

Kwanini vimondo Mara nyingi hutua katika uso wa Dunia mida ya usiku?
Hata mchana vipo, ila mwanga wa jua unafanya visionekane. Ni kama nyota, zipo muda wote ila mchana huwezi kuziona kwa sababu ya mwanga wa jua.
 
1. Sababu ya kwanini sio sayar zote zna gravitational Kama ya Dunia ungeziweka nkazifaham!!!! Hapa kwenye maelezo yako mkuu bado napata utata Sana,hata Kama Kuna gravitational ndogo kitu kitachomokaje kueskepu kwenye Sayari ??? ikiwezekana toa ufafanuzi mzur mkuu ili nielewe
2. Satan na yenyewe Haina gravitational force ya kuhold vitu vyake mpaka vinatukuta sis huku Duniani?? Fafanua kuhusu vimbunga vya sayar
3.Hayo magimba huwa yanatokea kweny nin,yaan kabla ya kuanza kuanguka huwa yamejiatach wap mkuu??
Maswali haya hujayajibu
• Kwanin kimondo kikidondoka huzimika??
•Kwanin Mara nying Vimondo huanguka nyakati za ucku??
Ahsante
Kimondo kinakuwa na mwanga kwa sababu ya friction kati yake na hewa. Elewa kuwa kinasafiri kwa kasi sana na kufanya msuguano mkali kati yake na atmosphere yetu. Ile friction ndiyo inasababisha kiungue na kugeuka ''vumbi la moto'. Of course kikishaanguka msuguano unakuwa umeisha na hivyo mwanga unakoma.
 
Sio kumeguka kutoka sayari nyingine ila kati ya Mars na Jupiter kuna miamba mikubwa inayozunguka jua kama sayari nyingine . (Asteroids) mwamba ukitoka kwenye mhimili wake unadondoka ila unaishia njiani kwa kuyeyuka. Ila Kuna mengine yanafanikiwa kufika duniani na kusababisha bonde kubwa.
 
Nimegundua uelewa wako kuhusu elimu ya unajimu sio mdogo tu bali hata hicho kidogo bado kinakuchanganya. Twende taratibu.

- Kwenye solar system kuna bodies za aina tofauti tofauti na dunia yetu ikiwemo. Utofauti mkubwa unaotofautisha bodies hizo ni size/ukubwa au diameter/kipenyo.

- Ukubwa wa body ndio unaodetermine Name, Position, na Nature ya movement in space. Sun > Planet > Asteroid > Meteoroid/ Kimondo > Space dust. Vitu vyote hivi tayari vipo katika space.

- Asteroids na Meteoroids kwenye solar system yetu yanapatikana kwa wingi katikati ya sayari ya mars na jupiter (Asteroid belt) pia yanapatikana nje kabisa ya solar system (Kuiper belt).

NOTE; All bodies in the solar system are always in motion revolving the sun.

Tuje kwenye maswali yako

1. Namna gani vimondo vinapata escape velocity.
- Pale bodies zinapogongana/collide in space husababisha asteroids au meteoroids au body nyingine yeyote kubadili uelekeo (Elastic collision) pia collision inaweza kusababisha vipande kumeguka kutoka kwenye sayari, asteroids au meteoroids.

Exp: Jaribu kugonganisha mawe mawili angani na uangalie kitakachotokea baada ya kugongana.

- Unluckly! Kama dunia ikijikuta katika mstari wa uelekeo wa body iliyobadili uelekeo basi body hiyo huangukia duniani. And if the body is big enough collision impact inaweza sababisha particles kugain escape velosity na kutoka duniani.

2. MWANGA
- Dunia imezungukwa na layer nyembamba ya gas au atmosphere. Mwanga unatokana na moto unaozalishwa baada ya kimondo kukutana na gas (Heat due to friction).

- Luckly for us on earth! atmosphere hupunguza ukubwa wa kimondo kinachofika ardhini, friction hupasua pasua kimondo na wakati mwingine kimondo kinaweza ishia angani hukuhuko bila madhara ardhini.

3. USIKU PEKEE
Jibu ni hapana! Kimondo kinaweza fika duniani muda wowote, Mchana ni ngumu moto wa kimondo kuonekana sababu ya mwanga wa jua.

- Vimondo vinaweza kuwa na composition ya mawe tuliyoyazoea duniani ( High in silicate minerals) au vinaweza kuwa chuma tupu (Iron na Nickel)

- Ukitaka kushuhudia kimondo cha chuma nenda makumbusho ya Mbozi.


NYONGEZA
Inasadikika mwezi wa dunia unaouona ukiangalia juu umetokana na kugongana kwa sayari mbili EARTH na THEIA. Theia ilimezwa na earth na vipande vilivyoruka in space (overtime) vikatengeneza mwezi.
 
Hata mchana vipo, ila mwanga wa jua unafanya visionekane. Ni kama nyota, zipo muda wote ila m,cahana huwezi kuziona kwa sababu ya mwanga wa jua.
Unaweza ukatoa mfano wa kimondo kilichoanguka mchana?? Taja mahari na nchi
 
Back
Top Bottom