Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

Kuna mjuba anakataa kila kitu hapo, ila mpaka sasa yeye hajatoa hata comment moja kuelezea swala hili, kwa ufupi hii mada hakufai.
By the way mara ya mwisho kimondo kudondondoka ilikuwa lini!??
 
Hakuna chochote beyond, Kuna jamaa mmoja alielezea vizuri sana yupo kwenye group la mambo ya anga ngoja nitatafuta yale maelezo nilete hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…