Nina maswali kadhaa kuhusu mwenge

Nina maswali kadhaa kuhusu mwenge

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Maswali yangu ni kama ifuatavyo:
1)Tukiachana na blah blah faida inayopatikana kwa kuukimbiza mwenge ni nini hasa baada ya mabilioni kuteketea kwenye ukimbizaji wa mwenge ni kitu gani kinapatikana.

2)Mwenge huwa unahifadhiwa wapi(Mkoa) na mahali gani(jengo)?

3)Kiongozi wa mbio za mwenge huwa anachaguliwa kutoka wapi?

4)Je mwenge ukianza kuzunguka ni kweli hauzimwi?

5)Kuna uvumi nimekuwa nikiusikia wanaokimbiza mwengi huwa wanadanji uvumi huu unatokana na nini?

6)Mwenge unapokuwa sehemu kuna takribani watu wanne au watano wanatengeneza duara kuuzunguka mwenge kwa karibu kiasi cha kuvuta ule moshi na wanakuwa hapo kwa muda mrefu wakiwa wameunganishana je maana yake ni nini na je ule moshi wanaouvuta kwa muda wote ule hauwezi kuwaletea madhara?

7)Je mwenge ni mmoja huo huo miaka yote au huwa unatengenezwa kila baada ya muda fulani?

8)Nini asili ya mwenge na ulianza rasmi lini na kwa nini unahusishwa na uchawi?

Nadhani maswali haya yanatosha pengine nikipata majibu ya maswali haya kutoka kwenu nitaongeza maswali mengine

Huwa nauona mwenge kama ni kitu ambacho kinaabudiwa kama ambavyo masanamu yanavyoabudiwaga vile watu wanavyoukusanyikia nawaona kama wapo kwenye ibada kwa mungu Tamuzi au baphomet
Nakala kwa Mohamed Said
 
Nchi nyingi tu zina mwenge sio tanzania tu, hata uingereza wana mwenge
 
Maswali yangu ni kama ifuatavyo
1)Tukiachana na blah blah faida inayopatikana kwa kuukimbiza mwenge ni nini hasa baada ya mabilioni kuteketea kwenye ukimbizaji wa mwenge ni kitu gani kinapatikana
2)Mwenge huwa unahifadhiwa wapi(Mkoa) na mahali gani(jengo)
3)Kiongozi wa mbio za mwenge huwa anachaguliwa kutoka wapi?
4)Je mwenge ukianza kuzunguka ni kweli hauzimwi
5)Kuna uvumi nimekuwa nikiusikia wanaokimbiza mwengi huwa wanadanji uvumi huu unatokana na nini
6)Mwenge unapokuwa sehemu kuna takribani watu wanne au watano wanatengeneza duara kuuzunguka mwenge kwa karibu kiasi cha kuvuta ule moshi na wanakuwa hapo kwa muda mrefu wakiwa wameunganishana je maana yake ni nini na je ule moshi wanaouvuta kwa muda wote ule hauwezi kuwaletea madhara
7)Je mwenge ni mmoja huo huo miaka yote au huwa unatengenezwa kila baada ya muda fulani
8)Nini asili ya mwenge na ulianza rasmi lini na kwa nini unahusishwa na uchawi?
Nadhani maswali haya yanatosha pengine nikipata majibu ya maswali haya kutoka kwenu nitaongeza maswali mengine

Huwa nauona mwenge kama ni kitu ambacho kinaabudiwa kama ambavyo masanamu yanavyoabudiwaga vile watu wanavyoukusanyikia nawaona kama wapo kwenye ibada kwa mungu Tamuzi au baphomet
Ningesema kitu hapa ila bac tu tuendelee kukimbiza mwenge kwanza [emoji848]
 
Humu wamejaa wale jamaa wenye suit nyeusi na miwani mkuu
Sitaki kung'olewa meno na kucha! Ni bora niishi kwa amani niendelee na biashara yangu ya kuuza majeneza ndani na nje ya Dodoma
Acha uoga watakupataje humu humu wa kuogopwa ni mods tu wanaoweza kukupiga ban na sio viumbe wengine wowote
 
Kuna jamii ya Aztec waliokuwapo kati ya mwaka 1300 na 1500 walifanya tambiko kila mwaka wa kalenda yao linalofanania na hii ishu ya mwenge ili kuzuia ukomo wa dunia/jamii yao....huku kwetu tokea tumeanza kuukimbiza nafikiri hatujawahi kupata ukomo wa chama chetu pendwa, za kuambiwa changanya na za kwako...udumu mwenge wa maendeleo uendelee kuangaza na kuleta nuru kwa Tanzania
images - 2023-09-17T011711.301.jpeg
 
Maswali yangu ni kama ifuatavyo:
1)Tukiachana na blah blah faida inayopatikana kwa kuukimbiza mwenge ni nini hasa baada ya mabilioni kuteketea kwenye ukimbizaji wa mwenge ni kitu gani kinapatikana.

2)Mwenge huwa unahifadhiwa wapi(Mkoa) na mahali gani(jengo)?

3)Kiongozi wa mbio za mwenge huwa anachaguliwa kutoka wapi?

4)Je mwenge ukianza kuzunguka ni kweli hauzimwi?

5)Kuna uvumi nimekuwa nikiusikia wanaokimbiza mwengi huwa wanadanji uvumi huu unatokana na nini?

6)Mwenge unapokuwa sehemu kuna takribani watu wanne au watano wanatengeneza duara kuuzunguka mwenge kwa karibu kiasi cha kuvuta ule moshi na wanakuwa hapo kwa muda mrefu wakiwa wameunganishana je maana yake ni nini na je ule moshi wanaouvuta kwa muda wote ule hauwezi kuwaletea madhara?

7)Je mwenge ni mmoja huo huo miaka yote au huwa unatengenezwa kila baada ya muda fulani?

8)Nini asili ya mwenge na ulianza rasmi lini na kwa nini unahusishwa na uchawi?

Nadhani maswali haya yanatosha pengine nikipata majibu ya maswali haya kutoka kwenu nitaongeza maswali mengine

Huwa nauona mwenge kama ni kitu ambacho kinaabudiwa kama ambavyo masanamu yanavyoabudiwaga vile watu wanavyoukusanyikia nawaona kama wapo kwenye ibada kwa mungu Tamuzi au baphomet
Chukulia kuwa mwenge ni fursa tu ya watu kupiga pesa.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Sijui hujanielewa nataka kujua unapoanza kuzungushwa kuna wakati unazimwa na kuwashwa au ukiwashwa hauzimwi mpaka umalize kuzunguka nchi nzima
Aisee,,,
Unataka kuleta laana kwenye nchi yetu
Nakumbuka niliambiwa na Babu yangu kuwa ule mwenge unatumia mafuta fulani ambayo hayazimiki, kwa kweli nilikuwa mdogo sana kuuliza ni mafuta gani na yanatokea wapi
Na akasema ikitokea ukazimika, nchi nzima itapata majanga ya maafa na watu wengi watapoteza maisha yao
Kwa kweli hapana 🙌🙌🙌,
 
Maswali yangu ni kama ifuatavyo:
1)Tukiachana na blah blah faida inayopatikana kwa kuukimbiza mwenge ni nini hasa baada ya mabilioni kuteketea kwenye ukimbizaji wa mwenge ni kitu gani kinapatikana.

2)Mwenge huwa unahifadhiwa wapi(Mkoa) na mahali gani(jengo)?

3)Kiongozi wa mbio za mwenge huwa anachaguliwa kutoka wapi?

4)Je mwenge ukianza kuzunguka ni kweli hauzimwi?

5)Kuna uvumi nimekuwa nikiusikia wanaokimbiza mwengi huwa wanadanji uvumi huu unatokana na nini?

6)Mwenge unapokuwa sehemu kuna takribani watu wanne au watano wanatengeneza duara kuuzunguka mwenge kwa karibu kiasi cha kuvuta ule moshi na wanakuwa hapo kwa muda mrefu wakiwa wameunganishana je maana yake ni nini na je ule moshi wanaouvuta kwa muda wote ule hauwezi kuwaletea madhara?

7)Je mwenge ni mmoja huo huo miaka yote au huwa unatengenezwa kila baada ya muda fulani?

8)Nini asili ya mwenge na ulianza rasmi lini na kwa nini unahusishwa na uchawi?

Nadhani maswali haya yanatosha pengine nikipata majibu ya maswali haya kutoka kwenu nitaongeza maswali mengine

Huwa nauona mwenge kama ni kitu ambacho kinaabudiwa kama ambavyo masanamu yanavyoabudiwaga vile watu wanavyoukusanyikia nawaona kama wapo kwenye ibada kwa mungu Tamuzi au baphomet
Mwenge ni jadi, mila na desturi ya taifa hili, kamwe haitatokea tukaacha kukimbiza mwenge. Jiulize wewe kwanini usirudi tumboni kwa mama yako na uachane na shida na raha za Duniani 🤣🤣
 
Aisee,,,
Unataka kuleta laana kwenye nchi yetu
Nakumbuka niliambiwa na Babu yangu kuwa ule mwenge unatumia mafuta fulani ambayo hayazimiki, kwa kweli nilikuwa mdogo sana kuuliza ni mafuta gani na yanatokea wapi
Na akasema ikitokea ukazimika, nchi nzima itapata majanga ya maafa na watu wengi watapoteza maisha yao
Kwa kweli hapana 🙌🙌🙌,
Serious?
 
Back
Top Bottom