Nina maswali kadhaa kuhusu mwenge

Mtafute omary mnyeshani ameuelezea kwa kina sana na jinsi unavyofanya kazi kichawi akiwa mshiriki wa kuitambikia nchi mkoa wa Lindi na eneo analijua
 
Hakuna faida y maana ni ujinga ujinga tu, tunapoteza pesa kodi zetu kwa ujinga ujinga tu.
 
JPM alifuta hadi sherehe za Uhuru lakini hakuthubutu kufuta Mwenge

ni bora Muungano uvunjike kuliko kufuta Mwenge

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha
 
-kama Mwenge unakagua miradi mbalimbali ya Maendeleo, Nini kazi ya Controller and Auditor General? , Nini kazi ya TAKUKURU?
  • Kuhusu michango mnawachangisha Watumishi wa Umma kwa Lazima,
  • Mwenge unamulikaje nje na ndani ya mipaka ya nchi yetu? huoni hapo ni Uongo tu
 
Mwenge ni tambiko kuu la taifa hili, na mpaka mwenge huo unawaka watu wengi walipoteza maisha.
Ulikuwa mpango ulioshirikisha watu maalum nchi nzima, kuna wengine (hao maalumu) walikubali kufa Ili mwenge uwake, haikuwa kazi rahisi kuwasha mwenge.

Hakuna siku mwenge huo utazimwa, labda Dunia ifike mwisho na iwapo siku itatokea utazimwa tu! shughuli ya nchi nzima itakuwa imeishia hapo.( in mzee wa jambia's voice)
 
• Kila mtu ana kazi yake. CAG ana kazi zake na mipaka yake. Hali kadhalika na Mwenge wa Uhuru pamoja na TAKUKURU ni hivyo hivyo. Hakuna anayemuingilia mwenzake na ndio maana hujawahi kusikia upande wowote ukimlalamikia mwenzake.

• Bajeti ya kuukimbiza Mwenge wa Uhuru niishaizungumzia inapatikanaje. Sio suala langu kwa wewe kuwa na mtazamo tofauti.

• Nimekariri kauli ya Mwl. Julius Kambarage Nyerere. Kama ni uongo hayo ni maoni yako, kwani maoni ni "relative".
 
mwenge wanaabudu mizimu na sheitani ndio asili yake na inapumbaza akili
kila atakae uona au kuusogelea ataksahau mungu kabisa
 
Watu wengi huwa wanakuja mjini kwa mbio za mwenge

Ova
 
Mwenge ni mmoja
Wakimbiza mwenge huwa hawafi
Mkuu mwenge upo zaidi ya mmoja ila ni kwa siri sana picha linaanza katika kila mbio huwa kuna mienge miwili kwa maana mmoja ukileta shida mwengina unachukua jukumu haraka hii nimeipata kwa mwanajeshi mmoja mstaafu maeneo ya mwananyamala aliwahi kuwa mshiriki mmoja wapo mwaka 2002
 
[emoji2960]
 
Sijui hujanielewa nataka kujua unapoanza kuzungushwa kuna wakati unazimwa na kuwashwa au ukiwashwa hauzimwi mpaka umalize kuzunguka nchi nzima
Huwezi kuupandisha ule moto wa kishirikina ndani ya ndege, lazima uzimwe.
 
Kupitia uzi wa mshanar jr!

Mwenge asili yake ni huko kuzimu KWA malaika waliolaaniwa huko yaani mizimu ya nchi na wazee!!

Mwaasisi wa mwenge ni mchawi mmoja aitwaye forojo ganze MIAKA hiyo baada ya tz kupata uhuru!!

Inasemekana eti NYERERE alikua ananusurika sana kupinduliwa akawaomba wazee wa kiswahili mashekh wamsaidie ndipo walipoenda huko KWA kufuata taratibu zao ndio wakauleta mwenge!!

Japo mchakato ulikost umri wa Baba wa taifa kufupishwa KWA mujibu wa uzi ule wa mshanar!!

Unatuliza watu Ili watawaliwe vizuri bila kelele!!

Source jf uzi wa mshanar Jr!
 
Sionagi hata faida yake kitu kinakimbizwa miaka nenda rudi,wauzime tu ishu nyingine ziendelee
 
Mungu kaingiaje hapo, tulielewana hakuna mungu
 
- Mwenge wa Uhuru unaendeshwa kwa masharti ya Sheria gani? Takukuru unaendeshwa kwa masharti ya Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa ya 2007, Naot ni Katiba, public audit act nk, Mwenge wa Uhuru je?

-Bajeti ya Mwenge wa Uhuru ni kuchangisha watumishi wa Umma kwa nguvu, na serikali inachangia.
-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…