Kabisa hata mimi nina mawazo kama yako ya kulisaidia Taifa,,,,,,,,kwa kufuga bata kando kando ya mto Wami na Ruvu na Ruaha na maeneo ya Rufiji pia Pangani mpaka mto Lumbegea hukoo Likuyu bila kusahau Paramawe na Miangalua mto Themii si mbaya tutafuga sababu itakuwa ni kivutio manake ni mto uatizao ktk jiji kwa pale Mkuju tutacheki noma pale Malagarasi tutawezesha vijana ambao wako tayari then tutawapelekea huduma zote eeeh naaa hapa wapi hapaaa YAA Kagera pale tumetenga kw aajili ya mabinti tu kwa upande wa mto mara tutafuga bata wale wakubwa wakubwa na kuanzisha viwanda vidogo vya Chang'aa mto Ruvuma kwa wamama watu wazima walio tayari 🙂 nao tutawapelekea huduma za kijamii.