Nina mawazo mazuri kuisaidia nchi ila sijui nimfikishie nani

Nina mawazo mazuri kuisaidia nchi ila sijui nimfikishie nani

Sasa kama unajiona ni great thinker si ungegombea kabisa uongozi kuliko kutaka ulipwe hela ili kuyatoa hayo mawazo?

Au mnasemaje ndugu zangu.
Hilo sio lengo mkuu , sifikirii Kama nchi zilizopiga hatua ni Kwa ajili ya wanasiasa pekee bali Innovator , thinkers ndo hufanya yote hayo.

Swala la kulipwa sijalitaja Ila nalenga kufaidika Kwa kutambulika Kama muhasisi wa wazo Fulani .
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Weka hapa kwenye platform wazo litaonekana
 
Tumia kwanza mawazo yako kuboresha maisha yako to the extent utaishawishi serikali ikutafute,Kama ramaphosa alipomtafuta Mo dewji na kumfanya kuwa advisor wake kwny issue za uwekezaji,kwanini amtafute Mo, kwasababu he is a youngest billionare in Africa,he is a boss of milliondollar company,who are you?
 
Tumia kwanza mawazo yako kuboresha maisha yako to the extent utaishawishi serikali ikutafute,Kama ramaphosa alipomtafuta Mo dewji na kumfanya kuwa advisor wake kwny issue za uwekezaji,kwanini amtafute Mo, kwasababu he is a youngest billionare in Africa,he is a boss of milliondollar company,who are you?

Nakuelewa Ila ikiwa haunijui who I'm inakuaje unaamini I'm broke person

Hata 'MO' anao thinkers na hao thinkers unaweza kukuta sio matajiri wakubwa Africa wala duniani.
 
Hata huko serikalini ukiwaelekeza wanaokujua kuhusu wazo lako watakupotezea tu, Tanzania walio wengi wanatoboa kwa juhudi zao wenyeye wachache sana kwa mifumo iliyo

Mkuu -lengo nikutoboa au lengo ni kuwasilisha Mawazo sehemu husika na kufanyiwa Kazi .

Sifikirii Kama kuna pesa MTU anaweza kukulipa ikawa na thamani ya wazo lako ambalo limetumika kusaidia nchi na vizazi.
 
Angegombea nafasi kuliko kutaka kulipwa ili ayatoe hayo mawazo.

Sasa akitaka kulipwa kabla hajayatoa hayo mawazo, vipi kama mawazo yake yakawa ya kipuuzi tu?
Hawawezi kumlipa mimi nilikuwa na mawzo kama hayo ni ngumu sana tena hapo unaongea na mtu mnae fahamiana vizuri tena uliyesoma naye darasa moja, (classmate) na ni rafiki
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Mawazo yako yaanze kukuinua kwanza wewe mwenyewe kisha yataspreed kidogo kidogo kwa wengine huwezi kuwapatia wenzako ujuzi wakati wewe mwenyewe haujakunufaisha. Maendeleo ni mchakato na wala siyo miujiza nchi zote zilizo endelea kiuchumi zilianza kwa kuwekeza kwa watu na watu wakaendeleza vitu kisha vitu vikaendeleza watu.
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Mkuu unataka kusaidia au unataka kuuza msaada?
 
Back
Top Bottom