Nina mawazo mazuri kuisaidia nchi ila sijui nimfikishie nani

Nina mawazo mazuri kuisaidia nchi ila sijui nimfikishie nani

Faida yako ni nchi ikifanikiwa. Vizazi na vizazi watakukumbuka.
Unadhani kina Newton walifaidika nini walipotuambia g=9.8Kgm/S²
Umenikumbusha história ya Issac Newton kuhusu Ureka, alopokuwa anaoga alipogundua alitoka nje na kukimbia uchi na kupiga kelele urekaaa, urekaaa, (ureka), when a body is partially or totally immersed in a fluid it displaces the amout of fluid equals to it own wheight, nilijifunza, 1978
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Inua uchumi wako kwanza, ukifanikiwa serikali itakufuata.
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Halafu mkuu dunia ya sasa ni ngumu kuuza mawazo...
Nakumbuka kuna kipindi tulikuwa mimi na rafiki tuna mawazo fulani, so katika kuhangaika jinsi ya kuyatekeleza nikaamua nimtafte Kelvin Twissa. Nikamueleza na nikamwomba kama anaweza kuniconnect na wahusika. Nakumbuka alinijibu, kwa sasa ideas ni ngumu kuuza walau uje na prototype au uwe umeanz akuitekeleza ila sio idea just as idea.
So, safari ikawa imebuma maana we had no money ya kusonga mbele.
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Hauko peke yako Mkuu, anzisha kwanza huo mchakato wako halafu ndio uombe support lasivyo kama haujauanzisha huo mchakato na ukauweka kwa maandishi mitandaoni utakuwa umepoteza kila kitu. Nakumbuka kuna siku nadhani ilikuwa Twitter (X) Mo Dewji alikuwa anatangaza dau la milion 2 kwa mwenye wazo zuri la biashara, na watu wasivyo jielewa walikuwa wanaandika mawazo yao tu. Hapo waliliwa tu. Anza mwenyewe kutekeleza wazo lako mambo mengine yatakuja tu.
 
Hauko peke yako Mkuu, anzisha kwanza huo mchakato wako halafu ndio uombe support lasivyo kama haujauanzisha huo mchakato na ukauweka kwa maandishi mitandaoni utakuwa umepoteza kila kitu. Nakumbuka kuna siku nadhani ilikuwa Twitter (X) Mo Dewji alikuwa anatangaza dau la milion 2 kwa mwenye wazo zuri la biashara, na watu wasivyo jielewa walikuwa wanaandika mawazo yao tu. Hapo waliliwa tu. Anza mwenyewe kutekeleza wazo lako mambo mengine yatakuja tu.
Nashukuru Sana .

Ila wazo hili sio la kutekeleza MTU mmoja au kikundi cha watu .

Ni wazo ambalo litakuwa zaidi katika mfumo wa uendeshaji wa nchi .

Binafsi sio wazo la kibiashara Ila ni la kimfumo zaidi .
 
Nashukuru Sana .

Ila wazo hili sio la kutekeleza MTU mmoja au kikundi cha watu .

Ni wazo ambalo litakuwa zaidi katika mfumo wa uendeshaji wa nchi .

Binafsi sio wazo la kibiashara Ila ni la kimfumo zaidi .
Hawawezi kukubali kwasababu mfumo uliopo ni wa kujizima data, yaani kuahirisha kufikiri kwa nafsi, mimi mwenyewe ninadhana ambayo ikitumika biashara nyingi zinatakuwa zinafanikiwa lakini kwa mfumo wa utawala wa CCM haiwezekani
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Hakuna wa kukusikiliza, labda utangaze kuwa una mbinu za kuwateka na kuwaua wapinzani wote ili CCM na Samia washinde kwa 100%, hapo watakutafuta haraka sana ili uwamegee huo ujuzi.
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Kama wewe ni mtu mwenye mawazo mazuri na yenye kuleta impact iwe katika uchumi au sayansi tuwasiliane PM.
 
Hakuna wa kukusikiliza, labda utangaze kuwa una mbinu za kuwateka na kuwaua wapinzani wote ili CCM na Samia washinde kwa 100%, hapo watakutafuta haraka sana ili uwamegee huo ujuzi.
Sawa Ila Mimi nitasikilizwa na Mawazo yangu yatafanyiwa Kazi .

Wewe ni MTU mzima ambaye huwa tunakutazama Kama kioo Ila unachokosea ni kuamini katika siasa .
Na wanasiasa na kusahau kuwa nchi haiongozwi na wanasiasa peke yake.

Tumetembea wote nje sijui Kama unakumbuka na uliwahi kutafuta kuonana na kiongozi Fulani ukashindwa .

Sasa sijui Kama unakumbuka.
 
Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.

Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.

Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.

Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Peleka kwenye ofisi yako ya CCM na namba ya kadi yako, kama si mwanaccm basi asante kaa nayo hayo mawazo mazuri.
 
Back
Top Bottom