Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha história ya Issac Newton kuhusu Ureka, alopokuwa anaoga alipogundua alitoka nje na kukimbia uchi na kupiga kelele urekaaa, urekaaa, (ureka), when a body is partially or totally immersed in a fluid it displaces the amout of fluid equals to it own wheight, nilijifunza, 1978Faida yako ni nchi ikifanikiwa. Vizazi na vizazi watakukumbuka.
Unadhani kina Newton walifaidika nini walipotuambia g=9.8Kgm/S²
Inua uchumi wako kwanza, ukifanikiwa serikali itakufuata.Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Sijasema yr broke nimesema at least do something to attract attention.Nakuelewa Ila ikiwa haunijui who I'm inakuaje unaamini I'm broke person
Hata 'MO' anao thinkers na hao thinkers unaweza kukuta sio matajiri wakubwa Africa wala duniani.
Halafu mkuu dunia ya sasa ni ngumu kuuza mawazo...Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
wazo zuri aanze kwa kujifunza makosa madogo madogoInua uchumi wako kwanza, ukifanikiwa serikali itakufuata.
Yafanye mwenyewe hayo mawazo yakusaidie.OK Ila Mimi Kama thinker nitafaidika vipi?
Hauko peke yako Mkuu, anzisha kwanza huo mchakato wako halafu ndio uombe support lasivyo kama haujauanzisha huo mchakato na ukauweka kwa maandishi mitandaoni utakuwa umepoteza kila kitu. Nakumbuka kuna siku nadhani ilikuwa Twitter (X) Mo Dewji alikuwa anatangaza dau la milion 2 kwa mwenye wazo zuri la biashara, na watu wasivyo jielewa walikuwa wanaandika mawazo yao tu. Hapo waliliwa tu. Anza mwenyewe kutekeleza wazo lako mambo mengine yatakuja tu.Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia .
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Nashukuru Sana .Hauko peke yako Mkuu, anzisha kwanza huo mchakato wako halafu ndio uombe support lasivyo kama haujauanzisha huo mchakato na ukauweka kwa maandishi mitandaoni utakuwa umepoteza kila kitu. Nakumbuka kuna siku nadhani ilikuwa Twitter (X) Mo Dewji alikuwa anatangaza dau la milion 2 kwa mwenye wazo zuri la biashara, na watu wasivyo jielewa walikuwa wanaandika mawazo yao tu. Hapo waliliwa tu. Anza mwenyewe kutekeleza wazo lako mambo mengine yatakuja tu.
Kama ni hivyo tafuta watu wenye ushawishi ili iwe rahisi kupata muitikio mzuri. Mfano Edo KumwembeNashukuru Sana .
Ila wazo hili sio la kutekeleza MTU mmoja au kikundi cha watu .
Ni wazo ambalo litakuwa zaidi katika mfumo wa uendeshaji wa nchi .
Binafsi sio wazo la kibiashara Ila ni la kimfumo zaidi .
Hawawezi kukubali kwasababu mfumo uliopo ni wa kujizima data, yaani kuahirisha kufikiri kwa nafsi, mimi mwenyewe ninadhana ambayo ikitumika biashara nyingi zinatakuwa zinafanikiwa lakini kwa mfumo wa utawala wa CCM haiwezekaniNashukuru Sana .
Ila wazo hili sio la kutekeleza MTU mmoja au kikundi cha watu .
Ni wazo ambalo litakuwa zaidi katika mfumo wa uendeshaji wa nchi .
Binafsi sio wazo la kibiashara Ila ni la kimfumo zaidi .
ššš Wajumbe wanakuwaga na njaa kali kinyama... hawataelewanaFikisha kwa mjumbe wa serikali za mtaa wako
šššššššš Wajumbe wanakuwaga na njaa kali kinyama... hawataelewana
Hakuna wa kukusikiliza, labda utangaze kuwa una mbinu za kuwateka na kuwaua wapinzani wote ili CCM na Samia washinde kwa 100%, hapo watakutafuta haraka sana ili uwamegee huo ujuzi.Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Kama wewe ni mtu mwenye mawazo mazuri na yenye kuleta impact iwe katika uchumi au sayansi tuwasiliane PM.Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.
Anataka alipwePeleka kwa mwenyekiti wa kitongoji chako
Hamna sijataja malipoAnataka alipwe
Sawa Ila Mimi nitasikilizwa na Mawazo yangu yatafanyiwa Kazi .Hakuna wa kukusikiliza, labda utangaze kuwa una mbinu za kuwateka na kuwaua wapinzani wote ili CCM na Samia washinde kwa 100%, hapo watakutafuta haraka sana ili uwamegee huo ujuzi.
Peleka kwenye ofisi yako ya CCM na namba ya kadi yako, kama si mwanaccm basi asante kaa nayo hayo mawazo mazuri.Najua 90% ya wale great thinkers wa serikali huwa wanakuja JF kuchukua madini na kwenda kuyatumia.
Hivyo ningependa kutoa Mawazo yangu haya Kwa njia yenye kuleta maana na sio bila Mpangilio.
Mawazo yamejikita Katika kuinua Uchumi wa serikali kuanzia juu hadi katika grassroots.
Najua viongozi mnapitia hapa mtaniambia njia gani bora ya kuwasilisha mawazo yangu.