Mimi sijui Nina hormone za kiume,nimpeleke 10 home wakati nakaa nyumba ya kupanga?thubutuuu....wangeambulia 1M warekebishe kitu wanachoona kina kipaumbeleWewe unaGombana na mkeo kwa jambo la kijinga sana,unataka asijenge kwao!? Ishini na wake zenu kwa akili,mimi mke wangu juzi kakopa milioni 10 akaenda kukarabati nyumbani kwao ilikhali sisi tuko katika nyumba ya kupanga.
Pigia mstari neno ishini nao kwa akili.
A real definition of the Great Thinker [emoji2][emoji119]Chukua ninachokwambiaa! Hiyo nyumba ni ya mkeooooo anakupiga changalamacho kwa kigezo anamjengea mzazi! Jaribu kuulizia jina la hati.
Mkopo ukiisha, nachukua mwingine na NITAJENGA KWETU ili siku tukiachana niende kwetu kwa raha! Wanaume mna matatizo sana ACHA MKEO AJENGE KWAO, wewe Jenga KWAKO.
The last phrase says it all !!Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.
Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.
Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.
Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.
Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.
Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.
Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?
Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Hahaa na hawa hawabadiliki [emoji116][emoji16]wanawake sio watu wakuwaamini..Dead woman is the one to be trusted.
Women can change anytime.
kwenye hii dunia ni vitu vitatu vinabadilika wakati wowote
1.wanawake
2. Wanasiasa
3. Hali ya hewa
Ndo mbaya anaweza kuingia kweny mgogoro na ndugu zake mwenyewe kweny ishu ya mirathi bora ajijenge tu mwenyewe.Sasa mkuu huyo Mwanamke siku wazazi wake walifariki na mirathi ikigawanywa unazani hiyo nyumba ataimiliki yeye Mwanamke, na kama kajenga kwenye kiwanja cha familia , wazazi waki Afrika ukiwajengea nyumba kwenye maeneo yao elewa kwamba kama mpo watoto kumi kwenye mirathi mnagawana sawa, na Wazazi wetu kuandika wosia ni ngumu, wanajua wakiandika wosia utaleta chuki kwa watoto.
Haya maisha unayoongelea yapo first world ambapo mume na mke wanakutana kwa kujitoa kwa ajili ya ndoa tu hakuna attachment yoyote .Nimeona wengine wakimtetea mke wengine mume
Iko hivi kipato cha mke na mume ni cha familia au wanandoa sio cha wazazi, ndugu au wanaukoo
Kihalisi pesa yoyote ya familia (ya mke au mume) hasa kiasi kikubwa kabla hakijatoka na kufanyiwa matumizi lazima mume na mke wakae washauriane na kukubaliana
Hii ndio silaha pekee ya kuepuka migogoro ya pesa kwenye ndoa
Kumbe kuzaa ni kujitolea ila si wajibu wa Ke tokana na kauli za Mungu kwamba "Ke azae kwa uchungu na Me ale kwa jasho"?Sikia soma mwanzo upate kuelewa Mungu alimweka mwanaume kuwa kichwa cha familia sio mkia, kuna up and downs za kimaisha msaada unapewa pale unahitaji ila sio kila saa. Nainawezekana isiwe mke ndio anakupa pesa ni washkaji familia sio lazima mke ndio maana maisha bila baba hayasongi kabisa .
Endelea tu kudanganywa kuwa hela alizopata ni zako single mother sio rahisi mtu kuwa ujue na usione wenzako walicheza sebene Leba , huijui leba ,so heshimu sana wanawake wenye kunitolea kuwaza watoto.
Na uache upuuzi, mnajaza wasichana wawatu mnakimbia kusubiri 50% kwenye ndoa. Wanaume wote wangekuwa kama wewe maisha yasingekuwa hivyoo.
Unadharau wanadamu eti wamekuwa single mothers mxiuu hata mkeo ni single mother kwa hali hii nipo serious haya
Kama hiyo nyumba aliyotia 47 mil ni yake halafu wala haitumii na anakatwa kwenye mshahara ! Huo ni zaidi ya ujuha!Msimamo wa kijinga sana huu...
Mimi kama mwanamke nasema pesa ya baba na mama ni ya familia
Kila amount inayopatikana kipaumbele ni familia ndo wengine wanafata.
Ndoa ni taasisi.. kuna hela zinatoka tu kimya kimya,
Ila kuna kiwango kulingana na kipato cha wahusika lazima mshauriane
47M kwenye nyumba ya familia na hela inakatwa kwenye mshahara na nyumba haijaisha ni KUKOSA MAARIFA unless hiyo ni nyumba yake anazuga tu
Mfano kwa mkopo wa million 47 mpaka aje kumaliza mkopo sio leo😅😅..Kama hiyo nyumba aliyotia 47 mil ni yake halafu wala haitumii na anakatwa kwenye mshahara ! Huo ni zaidi ya ujuha!
[emoji120] The decent Woman.Kunywa maji kwanza upunguze presha maana maneno yanakutoka hata kilichoandikwa hujaelewa.
1. Acha kukariri mimi wala sio mwanaume ni mama tena mwenye watoto wengi wa kiume na wa kike.
2. Baba ni nguzo ya kiuchumi ya familia among other things, lakini mfumo wa maisha umebadilika baba huyo huyo alipe ada, anunue chakula, ajenge nyumba, awekeze kwaajili ya watoto, akupe mama hela ya mahitaji ya kike, bado hamjatoka out wazazi na muda mwingine kama familia.... bado majukumu ya kijamii ya hapa na pale.
Muda huo mama upo tu MY MONEY IS MY MONEY huyo baba si atatembea anaongea njiani?
Na atajikuta anaishia kubangaiza, ila penye ushirikiano na mgawanyo wa majukumu hata kufikia uhuru wa kifedha ni rahisi, watoto wenu hawatokua na haja ya kusaidiana majukumu na wake zao maana familia imeshatoka huko.
3. Mtoto ni zao la starehe siku hizi vijana hawaoi kwa sababu mbalimbali lakini sababu moja wapo ni ndoa kuwa kama mzigo majukumu ni mengi so bora mtu apige mechi za hapa na pale mimba ikitokea anakula kona au anatoa tu matunzo
Nawahurumia vijana wanaojitafuta na wanatoka familia za kawaida, kuoa itawachukua muda sana maana nayo imekua ni uwanja wa vita na kujiongezea majukumu
Achana na ndoa especially kama unatarajia mengi kutoka kwa mkeo!Kwa mtindo huu wa kuviziana, ngoja niendelee kukataa ndoa.
#YNWA
KabisaKwahiyo mwanamke akikwambia saa hizi ni mchana usimwamini inatakiwa utoke nje uhakiki kama ni kweli mchana?.
* Ever ndiye Kigeugeu bustanini Eden.Duu umewachoka haswa wanawake
Upumbavu wako ulianzia hapo. Huyo mkeo alishasoma ujinga wako mapema sana. Biblia imeandika mke ataambatana na mkewe na watakuwa mwili mmoja. Au hiyo biblia yako imesema mke ataambatana na kaka zake? Kutumia 47m ya familia kujenga kwao ni uhuni mkubwa kwa karne ya 21. Huyo mkeo ni mbinafsi mwenye tuzo ya Nobel kwenye ubinafsi. Ni shetani katika sura ya binadamu. Haya mambo yapo sana kwa watoto wa kike. Binafsi ilibidi nimwambie mdogo wangu wa kike aache kiherehere kujifanya anasaidia nyumbani bali awe bize na mumewe. Aliacha na sasa hivi wana maendeleo. Pole sana mkuu ila mwamuzi wa mwisho ni wewe kwenye hilo jambo.Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.