Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Ndiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Nyumba na vyote viijazavyo ni mali ya baba!😂😂
 
Mimi nadhani Mme ndo Una makosa tangu mwanzo kivip.ulipaswa umpe mikakati mikubwa ya malengo yako na wakati huo huo umwonyeshe uhitaji ulionao wa kifedha ili uyakamilishe maanake ili yatimie inahitajika jasho lake liwemo nadhani ingekuwa ngumu kuleta wazo la ujenzi Kwao na kama angelazisisha basi ungejua mipango yenu si mimoja,lakini Kwa sasavumilie akatwe asilimia 60 ya mshahara kwa miaka minne ndo mpange tena kuhusu mshahara wake
 
Mimi nadhani Mme ndo Una makosa tangu mwanzo kivip.ulipaswa umpe mikakati mikubwa ya malengo yako na wakati huo huo umwonyeshe uhitaji ulionao wa kifedha ili uyakamilishe maanake ili yatimie inahitajika jasho lake liwemo nadhani ingekuwa ngumu kuleta wazo la ujenzi Kwao na kama angelazisisha basi ungejua mipango yenu si mimoja,lakini Kwa sasavumilie akatwe asilimia 60 ya mshahara kwa miaka minne ndo mpange tena kuhusu mshahara wake
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana👈Point hii hapa...
 
Kama anajenga kwa pesa yake ni sawa,huo mkopo atalipa yeye..wewe pesa yako jenga hiyo yako,ingekua ni mimi ningemwacha ajenge kiroho safi
Ni kweli anajenga kwa pesa yake. Lakini mwenzetu ndiye anayeiangalia familia kwani mama pesa yake inalipia madeni aliyokopa. Mzigo umemzidi uzito.
 
Huyo siyo mwanamke. Hilo ni jini

Ukitaka kuishi maisha marefu achana na huyo mwanamke haraka oa mwingine.

Tatizo mnajiwekea limit za maisha sababu ya upumbavu wenu

Binafsi siwezi kuendelea kuishi na chizi kama huyo mwanamke wako
 
Nawenye akili kama yako ni tahira hajitambui
Uzuri ni kuwa mke wangu hana akili mbovu kama zako wala hajawahi waza upumbavu kama huo

Mil 47 kujenga nyumba ya kibibi badala ya kuwaza wanao
 
Uzuri ni kuwa mke wangu hana akili mbovu kama zako wala hajawahi waza upumbavu kama huo

Mil 47 kujenga nyumba ya kibibi badala ya kuwaza wanao
Ni zake sio zako tafuta hela acha utegemezi kengele wewe🤣🤣😝😛
 
Back
Top Bottom