Nyumba na vyote viijazavyo ni mali ya baba!😂😂Ndiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba na vyote viijazavyo ni mali ya baba!😂😂Ndiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
To yeye hongera acha shemeji ajivunie kuwa na weweNi kweli kabisa....nakutawala kabisa
😂😂😂anajivunia? Au anatoa michoz daily?😪To yeye hongera acha shemeji ajivunie kuwa na wewe
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
aisee genta ana ID nyingi[emoji23][emoji23]Mkeo atakuwa na tabia kama za Shangingi MZURI SANA a.k.a GENTAMYCINE
Sidhani anakula mema ya dunia[emoji23][emoji23][emoji23]anajivunia? Au anatoa michoz daily?[emoji25]
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana👈Point hii hapa...Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.
Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.
Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.
Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.
Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.
Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.
Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.
Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.
Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.
Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?
Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Hujiulizi Kwa Nini Yesu aliweza mambo meeengi ila hakuzurura na wanawake kwenye mitkasi zake.🤣Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.
Sawa bhana
Hatari sana, watu wanaji commit kwenye matesoNdoa ni uvumilivu ukisikia neno uvumilivu ujue kuna mateso ya aina yote[emoji2]
Only committed wanachagua kuingia
Ale kwa jasho nasio kutunzwa hii nikengele apeleke umarioo hukoKumbe kuzaa ni kujitolea ila si wajibu wa Ke tokana na kauli za Mungu kwamba "Ke azae kwa uchungu na Me ale kwa jasho"?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni kweli anajenga kwa pesa yake. Lakini mwenzetu ndiye anayeiangalia familia kwani mama pesa yake inalipia madeni aliyokopa. Mzigo umemzidi uzito.Kama anajenga kwa pesa yake ni sawa,huo mkopo atalipa yeye..wewe pesa yako jenga hiyo yako,ingekua ni mimi ningemwacha ajenge kiroho safi
Hela sio zako,majukumu ya familia niwewe sio mkeo , fanya hivi mtu wangu jitume sisi wanawake sio wakuwategemea
Nawenye akili kama yako ni tahira hajitambuiMwanamke mwenye akili kama hii ni takataka kamili
Uzuri ni kuwa mke wangu hana akili mbovu kama zako wala hajawahi waza upumbavu kama huoNawenye akili kama yako ni tahira hajitambui
Acha kumfokea mwenzakoAle kwa jasho nasio kutunzwa hii nikengele apeleke umarioo huko
Ni zake sio zako tafuta hela acha utegemezi kengele wewe🤣🤣😝😛Uzuri ni kuwa mke wangu hana akili mbovu kama zako wala hajawahi waza upumbavu kama huo
Mil 47 kujenga nyumba ya kibibi badala ya kuwaza wanao