Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahitaji Business sio longterm Investment...Ethereum,dogecoin and Ripple harafu uje uzichungulie 2027.
Biashara tz ziko saturated na mzunguko Mdogo wa fedha
Akiweka GG game ya Simba leo kesho anaamka na 1.9M.Kuna mtu atakuja kusema hapa atoe laki tatu abetie Man city, Kuwa atapata laki 9 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Kama alifuata huu ushauri, imesha kula kwakeAkiweka GG game ya Simba leo kesho anaamka na 1.9M.
GG[emoji23][emoji23]Akiweka GG game ya Simba leo kesho anaamka na 1.9M.
Kitunda hii njia ya kwenda magoreUpo kitunda sehemu gani
Nimepata wazo la chips nimelipendaNatumae mleta mada ulipata muongozo...
Mim ni mwanaumewewe ni mwanaume au mwanamke?
Natamani sana kuchukua balo za mtumba za kike kwenda kuzifungulia MakambakoKwa wewe mwanamke na mtaji huo unaweza kupoint nguo na kuuza kwa watu wenye hela (People With Money). Nunua viguo vya Tsh 300,000 hadi Tsh 500,000 vya kuanzia then pesa nyingine iwe akiba na bajeti ya promosheni na matangazo. USIKOPESHE MTU, HATA MAMA YAKO ALIYEKUPA HUO MTAJI.
Usijistress sana na faida ya Tsh 12,000 kila siku, practically ulimwengu wa biashara haupo hivyo. Utajiona failure kila siku.
Weka tu malengo ya kuuza mzigo wa Shillingi ngapi kwa mwezi na kwa profit margin gani. Ni rahisi zaidi kupigania target ya mwezi kuliko target ya kila siku. You will die everyday
NyangasaKitunda hii njia ya kwenda magore
Ushaanzisha biashara?Mim ni mwanaume