mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 194
- Thread starter
- #41
Bado cjaazishaUshaanzisha biashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado cjaazishaUshaanzisha biashara?
Njoo PMBado cjaazisha
Biashara gani hiyoHizo nyingi laki 3 tu unalaza msimbazi kwa siku
fungua library ya kuingiza nyimbo na kukodisha cd kwa siku utakosa 25000.siku ikiwa mbaya sana 17000,kama unataka mchanganuo wa hii biashara nitakupa hapa jamiiHabari za majukumu ndugu zangu kijana mwenzenu nipo mbele yenu kwa ushauri wenu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni mkazi wa Dar maeno ya Kitunda umri wangu 27
Mama yangu kanipa milioni 1 nifanye biashara ambayo itanipa faida ya kukizi mahitaji yangu madogo.
Naombeni ushauri wenu ni biashara gani naweza fanya hapa Dar.
Michango ya wadau
Unashauriwa kusoma nyuzi hizi
1. Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?
2. Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
Wazo zuri sana Mkuu.#1. Chukulia kuwa una TZS. 500,000, kiasi kinachobakia hifadhi benki.
#2. Gawa tena mara mbili tena hicho kiasi.
- 2.1: 250,000 Tafuta mahitaji/ Vifaa vya kuanzisha biashara ya kukaanga Miogo/viazi/ chipsi.
Je wapi utafanyia biashara. Tafuta shule ya karibu, fuata taratibu za hapo shuleni ili uweke banda lako la biashara, shule ya msingi ni bora ziadi.
- 2.2: Anza biashara kwa mtaji wa 250,000 - Tegemea faida ya kati ya TZS 15,000 hadi 30,000 kwa huo mtaji wa 250,000.
Biashara mashuleni zinalipa sana.
Fanya Hivi tafuta diagnosis machine ya magari alafu tafuta fundi ambae anazo kazi nyingi sa magar kuwa nae ili kila ukipima gari moja ni 50,000 hivyo ukiweza kupima gari 10 kwa siku utapata pesa nying sana mpaka mwisho wa mwezi mkuu na utakuja nipa hata zawadi ya ukwaju wa bakheresa hapa JF zingatia kuwa na mafundi wa magari wenye kazi nyingi au tafuta sehem zenye garage ambazo hazina diagnosis machine upige pesaaaa sijui umeelewa mkuu au bado
Mwanaume anaitwa khadijaMim ni mwanaume
Mashoga yamekuwa mengi sanaMwanaume anaitwa khadija
Nilikushauri PM umpe Taifa Stars kwa Benin alikuwa na maji ya 6 na point, natumai sasa hivi huna tena mil 1 imeongezeka una mil 5 na kitu
Kibaha na kigamboni kuna vyuo vingi havijatanuka biashara ya chakula, kuna wanafunzi wana shinda njaa, na wengine hawashibi
Wazo zur sanaWazo zuri sana Mkuu.
Mashoga yamekuwa mengi sana