mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 194
- Thread starter
- #61
Wabongo bhana
Mwanaume anaitwa khadija
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anaitwa khadija
Wazo zuri sana Mkuu.
Ni kazi inayo lipa kwa sasa sema wasio jua fani hawatakuelewa 😅😅😅Fanya Hivi tafuta diagnosis machine ya magari alafu tafuta fundi ambae anazo kazi nyingi sa magar kuwa nae ili kila ukipima gari moja ni 50,000 hivyo ukiweza kupima gari 10 kwa siku utapata pesa nying sana mpaka mwisho wa mwezi mkuu na utakuja nipa hata zawadi ya ukwaju wa bakheresa hapa JF zingatia kuwa na mafundi wa magari wenye kazi nyingi au tafuta sehem zenye garage ambazo hazina diagnosis machine upige pesaaaa sijui umeelewa mkuu au bado
Japo ni biashara zenye msimu lakini biashara za chuoni ni nzuri, hapo umepangisha fremu ama kitalu bei gani?Nimeulizia mwalim nyerr garama kubwa kupata sehemu nimepata TIA nauza juice kaka
Pale maili moja katika kuzunguka kwangu sijaona mtu akiwa ame specify kuuza juice au maziwa.Kila la kheri ila na Mimi nilikua n amount kama hiyo nawaza kupata maeneo yenye fursa pembeni kidogo ....msaada Kwa walio kibaha au mbezi kma naweza pata muongozo nije nifanye kitu nipte walau amount ndogo y kutumia kupitia mil 1 niliyonayo
Sawa nashukuru Sema Mimi c mwenyej sana maeneo hayo ila nitafnya survey nipate kuish pia mazingira hayo ya karibu....maana Nina ujuzi w kutengenez juice ya matundaa ahsante nitajitahid nichangamkie fursa hiyo[emoji120]Pale maili moja katika kuzunguka kwangu sijaona mtu akiwa ame specify kuuza juice au maziwa.
Ama chuo cha Uongozi kule kwa mfipa. Hii hela inaweza kufanya japo kati ya hizo
Kila la heriSawa nashukuru Sema Mimi c mwenyej sana maeneo hayo ila nitafnya survey nipate kuish pia mazingira hayo ya karibu....maana Nina ujuzi w kutengenez juice ya matundaa ahsante nitajitahid nichangamkie fursa hiyo[emoji120]
Hivi ili kuwa mtaalamu wa hayo mambo ya diagnosis unahtaj kusomea kozi gani? Iwe ngazi ya diploma lakiniNi kazi inayo lipa kwa sasa sema wasio jua fani hawatakuelewa [emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi ili kuwa mtaalamu wa hayo mambo ya diagnosis unahtaj kusomea kozi gani? Iwe ngazi ya diploma lakini
hii bei gani mkuuFanya Hivi tafuta diagnosis machine ya magari alafu tafuta fundi ambae anazo kazi nyingi sa magar kuwa nae ili kila ukipima gari moja ni 50,000 hivyo ukiweza kupima gari 10 kwa siku utapata pesa nying sana mpaka mwisho wa mwezi mkuu na utakuja nipa hata zawadi ya ukwaju wa bakheresa hapa JF zingatia kuwa na mafundi wa magari wenye kazi nyingi au tafuta sehem zenye garage ambazo hazina diagnosis machine upige pesaaaa sijui umeelewa mkuu au bado
Mkuu unaweza kuongezea nyama kidogoNi kazi inayo lipa kwa sasa sema wasio jua fani hawatakuelewa [emoji28][emoji28][emoji28]
Yupo fundi wangu hapa ana utaalamu wa kufanyia hayo mambo yaani huwa ana mashine ya kutrouble shoot na kujua tatizo.Mkuu unaweza kuongezea nyama kidogo
Mwanaume unaitwa khadija, nini unataka zaidi ya kufumuliwa?Jamiiforums inavituko Sana Ila nataka nikwambia uctafute bwana kilazima maana wafilaji wengi Sana sikuizi
Ukishindwa vyote chuku $200 weka kwa broker afu trade eka 20K a day, scale up huku ukiwa na proper risk management. Kama hujui kutrade pole.#1. Chukulia kuwa una TZS. 500,000, kiasi kinachobakia hifadhi benki.
#2. Gawa tena mara mbili tena hicho kiasi.
- 2.1: 250,000 Tafuta mahitaji/ Vifaa vya kuanzisha biashara ya kukaanga Miogo/viazi/ chipsi.
Je wapi utafanyia biashara. Tafuta shule ya karibu, fuata taratibu za hapo shuleni ili uweke banda lako la biashara, shule ya msingi ni bora ziadi.
- 2.2: Anza biashara kwa mtaji wa 250,000 - Tegemea faida ya kati ya TZS 15,000 hadi 30,000 kwa huo mtaji wa 250,000.
Biashara mashuleni zinalipa sana.
AiseeeNatafuta mtu was kunikopesha 16million Niko serious