Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Sio kwelii.ww Nina Uhakika Una Nyumba kabisa na ujawai kujenga,Muwe mna washauli watu ukweliii
....
UMENIKUMBUSHA NILIWAI KUWA NA MAFUNDI MATAPELI..NILIWAAMBIA NINA KIASI CHA PESA FLANI NITAWEZA KUJENGA(KABLA SIJA ANZA UJENZI).WAKANIPA MOYO IYO PESA NI NYINGI..BASI NIKA ANZA UJENZI..PESA IMEFIKA KWENYE KUPAUA IKAKATA.WAO WANATAKA PESA ZAO NA MIMI PESA NIKAWA SINA..ILIBIDI TUPELEKANE PANAPO HUSIKA..

TUJITAIDI KUWASHAULI WATU UKWELI,KWENYE MASWALA YA UJENZI
Mim nna site ya ujenz,duka la ujenz na vifaa,.kwahyo hata material naponunua mim si sawa nawew bwana mkubwa,..unawajua kamaka ukiwa na akil pale unachkua material kwa bei ya chin kabsa,tatzo wa bongo wanajenga paspo tumia akil?halaf pia mi najenga kwa akil,mim ni contractor pia,
Tofal we ulinunua sh ngap? Kama sio 1200 bas elf1100,sasa mi sinunui tofal,..mi kiwanja changu kilikua cha kichanga,kwahyo nilichimba mchanga nikafyatua tofali,.yake mashimo nw ndo mashimo ya maj machaf ya nyumba,.kwahyo ukifyatua tofal linapungua bei karib nusu,linakua kama sh 650-700,.haya.square mita za nyumba unazingatia?au unajenga tu mi raman,halaf mi sebule yangu ni li design open kitchen,so nyumba yangu haina kuta nyingi.mi mfuko wa gypsum we unaonunua 16000 mi nanunua 10000,..bat ya guage 30 migongo mipana ya rang nanunu bei chee sana kiwanda cha shanshee,mbao nachkua bugurun kwa akil,ubao wa 2×2 we unanunua 3500-4000 wenye dawa,mi nanunua 2800,so nkikwambia nmetumia 24 mil,uamin,siko hapa kufurahisha genge,na najenga nyingne naamin hii ntatumia 25mil.kama huamin bas siko hapa kujisifu,nasema ukwl
 
Mim nna site ya ujenz,duka la ujenz na vifaa,.kwahyo hata material naponunua mim si sawa nawew bwana mkubwa,..unawajua kamaka ukiwa na akil pale unachkua material kwa bei ya chin kabsa,tatzo wa bongo wanajenga paspo tumia akil?halaf pia mi najenga kwa akil,mim ni contractor pia,
Tofal we ulinunua sh ngap? Kama sio 1200 bas elf1100,sasa mi sinunui tofal,..mi kiwanja changu kilikua cha kichanga,kwahyo nilichimba mchanga nikafyatua tofali,.yake mashimo nw ndo mashimo ya maj machaf ya nyumba,.kwahyo ukifyatua tofal linapungua bei karib nusu,linakua kama sh 650-700,.haya.square mita za nyumba unazingatia?au unajenga tu mi raman,halaf mi sebule yangu ni li design open kitchen,so nyumba yangu haina kuta nyingi.mi mfuko wa gypsum we unaonunua 16000 mi nanunua 10000,..bat ya guage 30 migongo mipana ya rang nanunu bei chee sana kiwanda cha shanshee,mbao nachkua bugurun kwa akil,ubao wa 2×2 we unanunua 3500-4000 wenye dawa,mi nanunua 2800,so nkikwambia nmetumia 24 mil,uamin,siko hapa kufurahisha genge,na najenga nyingne naamin hii ntatumia 25mil.kama huamin bas siko hapa kujisifu,nasema ukwl
Na Imani Ushauli wako wa Kwanza utaufanyia marekebisho.Umemshauli uyu jamaa as If ana duka la ujenzi na mchanga na baadhi ya Material kama wwe..Jamaa Anaitaji kujenga motel.Mshauli Kulingana na itaji lake na pesa yake
 
Alaf mwengine atakwambia inawezekana akichukulia experience ya ujenzi wake wa nyumba lets say..kwa kawaida wabongo ujenzi wetu sio ule budgeted cash inakua tayari..wengi ni kujikusanya unanunua hiki then unajenga adi utakapoishia..ukipata tena unajikusanya unanunua kile unaweka ndani adi utapokiongeza unaenda endeleza ujenzi..hiyo haiwezi kukupa exactly amount ya pesa ambayo utasema nilijenga nyumba kwa 24 mil..neverrr..lazma uwe umetumia zaidi tena zaidii..nna uhakika uyo aliesema nyumba yake kwa 24 kiuhalisia ametumia zaidi ya 35..kumpa moyo mleta mada kuwa 100 itatosha huo sio ungwana...mnashauje kuwa kila chumba kina mahitaji yanayofanana?

Ajiongeze atleast ifikie 190 mil ivi itotosha kwa executive lodge..
 
Mim nna site ya ujenz,duka la ujenz na vifaa,.kwahyo hata material naponunua mim si sawa nawew bwana mkubwa,..unawajua kamaka ukiwa na akil pale unachkua material kwa bei ya chin kabsa,tatzo wa bongo wanajenga paspo tumia akil?halaf pia mi najenga kwa akil,mim ni contractor pia,
Tofal we ulinunua sh ngap? Kama sio 1200 bas elf1100,sasa mi sinunui tofal,..mi kiwanja changu kilikua cha kichanga,kwahyo nilichimba mchanga nikafyatua tofali,.yake mashimo nw ndo mashimo ya maj machaf ya nyumba,.kwahyo ukifyatua tofal linapungua bei karib nusu,linakua kama sh 650-700,.haya.square mita za nyumba unazingatia?au unajenga tu mi raman,halaf mi sebule yangu ni li design open kitchen,so nyumba yangu haina kuta nyingi.mi mfuko wa gypsum we unaonunua 16000 mi nanunua 10000,..bat ya guage 30 migongo mipana ya rang nanunu bei chee sana kiwanda cha shanshee,mbao nachkua bugurun kwa akil,ubao wa 2×2 we unanunua 3500-4000 wenye dawa,mi nanunua 2800,so nkikwambia nmetumia 24 mil,uamin,siko hapa kufurahisha genge,na najenga nyingne naamin hii ntatumia 25mil.kama huamin bas siko hapa kujisifu,nasema ukwl
Niunganishe basi mkuu unaponunua vifaa..
 
Na Imani Ushauli wako wa Kwanza utaufanyia marekebisho.Umemshauli uyu jamaa as If ana duka la ujenzi na mchanga na baadhi ya Material kama wwe..Jamaa Anaitaji kujenga motel.Mshauli Kulingana na itaji lake na pesa yake
Siufanyii marekebisho yoyote,..nmekwambia nna duka la ujenz lakin si kwamba najenga na vifaa natoa dukan,hilo 1,..nikwamba nunua vfaa kwa akili sio unapigwa,na pia tafiti ujenz nafuu,google utajua materials za kutumia ,utajua rang gan upake,utajua ratio gan utumie mchanga na cement.sio unajenga jenga tuu ,..na hyo akil ya kufyatua tofal uwe nayo,kodi mashine ya kufyatulia etc...inshort ukitumia akil utajenga kwa unafuu,hiv unafkir zile nyumba zw national housing hua wanajenga kias gan?vile vijumba havizid mil 30. Ni 26mil-30...so usipende kubisha bisha ujinga..halaf nilimshaur jamas kua apunguze tuu vitu,kama ni vyumba 20 nas viwe 10,kama pool ya kuogelea ni m10 bas afanye m5,ni hvyo..usipende kukosoa ujinga
 
yaani usawa huu nikisikia mtu ana hela yote hiyo dah!
 
Alaf mwengine atakwambia inawezekana akichukulia experience ya ujenzi wake wa nyumba lets say..kwa kawaida wabongo ujenzi wetu sio ule budgeted cash inakua tayari..wengi ni kujikusanya unanunua hiki then unajenga adi utakapoishia..ukipata tena unajikusanya unanunua kile unaweka ndani adi utapokiongeza unaenda endeleza ujenzi..hiyo haiwezi kukupa exactly amount ya pesa ambayo utasema nilijenga nyumba kwa 24 mil..neverrr..lazma uwe umetumia zaidi tena zaidii..nna uhakika uyo aliesema nyumba yake kwa 24 kiuhalisia ametumia zaidi ya 35..kumpa moyo mleta mada kuwa 100 itatosha huo sio ungwana...mnashauje kuwa kila chumba kina mahitaji yanayofanana?

Ajiongeze atleast ifikie 190 mil ivi itotosha kwa executive lodge..
Mkuu,nmejenga kwa cash si kwa kudunduliza,..nyumba ilichkua 48days had kuisha,so nachosema 24mil ni kwel..nilijenga kwa akil,sabab mi mwenyew ni contractor bubu.
 
Niunganishe basi mkuu unaponunua vifaa..
Kwanza tuanze na cement,hii ukiongea na watu vzur unapata kwa 11000,kuna mpemba flan pale madafu ukonga anakupa,mchanga chimba mwenyew au nunua,lory lile la lak2,unaongea nao vzur hata 180,inategemea na site mi kwangu ilikua si mbal sana,.haya,mbao nenda bugurun,ongea nao piga ua 2×2 isizid 3000 ya dawa ile,4×2 isizid 4800,.misumar utanunua palepale kwa 2500 aina zote,..haya mbao za mkanda wa chini kodi,na linta pia kodi,bei chee tuu 1500 mbao1.ukifika kwnye gypsum na bat na rangi,gypsum nenda kachkue sehem flan mbagala kule,ila uchkue nying si ya kidgo kdogo,ndo wanashusha had elf10,au hata kkoo gerezan kule,mdomo wako tuu,vifaa cya bomba pia kuna jamaa anaitwa bonge pale ukitaja jina tuu unampata,pia tiles hapo hapo utazikuta bei chee ,na vtu vta umeme nenda kule karib na sokoni kwa mbele kkoo kuna mtaa ule sjui unaitwaje,huko nenda peleleza kwanza vifaa halaf sku nyingne nenda na fund,..simpo,...24mil ilitosha,ila sasa kua makin na mafund,tafta fund mwenye njaa sana,msing had linta na koz 3 za juu mpe 1.2mil au 1.3mi.kila kitu kwake hapo,..tumia akil tu utajenga,mi naenda mjengo wa pil nw,huu nataka uwe 25mil.
 
"sweeming pool" hiyo ndiyo nina wasiwasi nayo...maana hata bajeti ya kuindesha Marekani kwa zaidi ya miaka 200 haiwezi kutosha.
 
Kwanza tuanze na cement,hii ukiongea na watu vzur unapata kwa 11000,kuna mpemba flan pale madafu ukonga anakupa,mchanga chimba mwenyew au nunua,lory lile la lak2,unaongea nao vzur hata 180,inategemea na site mi kwangu ilikua si mbal sana,.haya,mbao nenda bugurun,ongea nao piga ua 2×2 isizid 3000 ya dawa ile,4×2 isizid 4800,.misumar utanunua palepale kwa 2500 aina zote,..haya mbao za mkanda wa chini kodi,na linta pia kodi,bei chee tuu 1500 mbao1.ukifika kwnye gypsum na bat na rangi,gypsum nenda kachkue sehem flan mbagala kule,ila uchkue nying si ya kidgo kdogo,ndo wanashusha had elf10,au hata kkoo gerezan kule,mdomo wako tuu,vifaa cya bomba pia kuna jamaa anaitwa bonge pale ukitaja jina tuu unampata,pia tiles hapo hapo utazikuta bei chee ,na vtu vta umeme nenda kule karib na sokoni kwa mbele kkoo kuna mtaa ule sjui unaitwaje,huko nenda peleleza kwanza vifaa halaf sku nyingne nenda na fund,..simpo,...24mil ilitosha,ila sasa kua makin na mafund,tafta fund mwenye njaa sana,msing had linta na koz 3 za juu mpe 1.2mil au 1.3mi.kila kitu kwake hapo,..tumia akil tu utajenga,mi naenda mjengo wa pil nw,huu nataka uwe 25mil.
Cement mpaka hapa nimechukua kwa 13500
Sasa kutoka Ukonga gharama itakuwa hiyo hiyo tu.
Kokoto nazo nimepata 180000

Hivyo vingine nitafuatilia,shukrani mkuu
 
Cement mpaka hapa nimechukua kwa 13500
Sasa kutoka Ukonga gharama itakuwa hiyo hiyo tu.
Kokoto nazo nimepata 180000

Hivyo vingine nitafuatilia,shukrani mkuu
Duh.cement 13500 mkuu,wamekupiga hao...cement ghar kabsa ni 12000...tena namba 42...we uko wap kwan.nauhakika cement kwa 12000 kokote unapata
.hyo kokote gar ya tani ngap?,..ile ndogo ya 3 au 7 ,
 
Duh.cement 13500 mkuu,wamekupiga hao...cement ghar kabsa ni 12000...tena namba 42...we uko wap kwan.nauhakika cement kwa 12000 kokote unapata
.hyo kokote gar ya tani ngap?,..ile ndogo ya 3 au 7 ,
Mpaka kufika site ndo bei hiyo
 
1. Room 20 za kisasa
2. Vitanda vikubwa vya kisasa
3. A.c.
4. Maji ya moto, kwa hita kubwa
5. Sweeming pool
6. Michezo ya watoto ya kuteleza kama pale Tanga beach resot na kwingine.
7. Reception safiii
8. Counter ya kisasa nje.
Yaani mimi ni kuanza kutumia tu.
Eneo ni langu Nina 100ml

Maana utatupa tenda? hivi kweli hapa ni mahali pa kuuliza hayo? au wataka tujue una 100m?
 
Cement mpaka hapa nimechukua kwa 13500
Sasa kutoka Ukonga gharama itakuwa hiyo hiyo tu.
Kokoto nazo nimepata 180000

Hivyo vingine nitafuatilia,shukrani mkuu
Dada uko wapi? Cement ilikuwa 11,000 sasa hivi imepanda ndio 12,000.
 
hivi hiyo pesa umeitafuta au imekufata?
 
1. Room 20 za kisasa
2. Vitanda vikubwa vya kisasa
3. A.c.
4. Maji ya moto, kwa hita kubwa
5. Sweeming pool
6. Michezo ya watoto ya kuteleza kama pale Tanga beach resot na kwingine.
7. Reception safiii
8. Counter ya kisasa nje.
Yaani mimi ni kuanza kutumia tu.
Eneo ni langu Nina 100ml
kabla ya yote tuambie kwanza hiyo hela umeitoa wapi?
 
Back
Top Bottom