Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Nina milioni 100 naweza jenga motel yenye room 20, swimming pool , na vifaa vyake vyote?

Motel za tembe kama za wapiga kura wa CCM inawezekana kabisa na chenchi kubaki kama milioni 90.
 
Nadhani wengi humu wanatazama gharama ya matofali,mbao na bati ila nadhani unaweza pata architecture mzuri akadesign ambayo ni ya kipekee yenye kuendana na mahitaji yako.

Tazama hii Maramboi tented camp iko Tarangire,ni very nice place yenye unique design na nyumba zimejengwa juu ila kuta ni turubai tu

Maramboi Tented Camp – TWC
Na swimming nayo itakuwa ya maturubai?
 
1.AC zipo kuanzia 500,000/-
2.Kitanda sio lazima 600,000/-
3.Heater......
4.Vyoo vya kukaa Hotel nyingi za kati wanaweka vya 180,000
5.....
6.TV zipo hadi 300,000/-

Wenye hotels wengi furniture wanaenda kununua wenyewe China.....sooooooo cheap!
ni kweli. Point yangu ni kuwa kwa mradi anaousema hawezi kuutekeleza kwa milioni 100 ikatosha. Nilikuwa najaribu kujenga hoja kuwa hiyo 100 inaweza kuishia kwenye vitu tu na sio jengo/majengo yenyewe. AC si tu laki tano hata laki tatu unapata, issue ni quality gani.

Nimemshauri atafute mtalaamu wa ujenzi amsaidie kufikiri/kuplan kabla hajaamua kuingia. Magofu mengi yanasababishwa na watu kuwa na ndoto kubwa kuliko uwezo wao. Wanajikuta pesa imeishia kwenye msingi au lenta tu.

Binafsi nimejenga na kusimamia ujenzi. Najua gharama zake na magumu yake. Si vibaya kumpa moyo mtu lakini ni vizuri zaidi kumsaidia awe realistic.
 
Nilitaka niandike kitu hapa,ila nmeona bas,..ila nauhakika hata kibanda huna,sisi ambao tumejenga tunafaham vzur kua 100mil unajenga tena ua dream house,tatzo jf watoto ni weng sana na stor zao za vijiwen.
Andika tu. Hii jukwaa huru. Na wengine hata ukiamua kutuita majina hatujali sana mkuu.
 
Kama una mia tu, hyo haitoshi kabisa. Ushauri wangu jenga lodge, hata ikiwa 20k per room itakulipa vizuri sana.
 
1. Room 20 za kisasa
2. Vitanda vikubwa vya kisasa
3. A.c.
4. Maji ya moto, kwa hita kubwa
5. Sweeming pool
6. Michezo ya watoto ya kuteleza kama pale Tanga beach resot na kwingine.
7. Reception safiii
8. Counter ya kisasa nje.
Yaani mimi ni kuanza kutumia tu.
Eneo ni langu Nina 100ml
Ukijitahidi kubana sana unaweza kujenga ya vyumba vitano
 
1. Room 20 za kisasa
2. Vitanda vikubwa vya kisasa
3. A.c.
4. Maji ya moto, kwa hita kubwa
5. Sweeming pool
6. Michezo ya watoto ya kuteleza kama pale Tanga beach resot na kwingine.
7. Reception safiii
8. Counter ya kisasa nje.
Yaani mimi ni kuanza kutumia tu.
Eneo ni langu Nina 100ml
Haiwezekani[emoji120]
 
Bwana mbere weng hum hata kibanda hawana,halaf jf sio sehem ya kuomba ushaur wa maendeleo,humu kuna watu masikin na wenye wivu wa ajab..si unaona comments zao?..100mil ni hela nying kwa ambao tunafaham hayo mambo na ambao tushajenga hzi nyumba,askutishe mtu,hvyo ulivyotaja unaweza vipunguza kwa idad ila lengo lako likatimia..i built 4 apartments za mteja wangu kwa 100mil ila not furnished.ila askukatishe mtu tamaa,nna mjengo wa 24mil ukiuona huwez amin,na bado nashusha mwingne,usiwaskie hawa wapumbav wa jf.maskin hawa wazee wa kukatisha watu tamaa
Mkuu.Nyumba Yako hipo Mkoa gani?hyo ya Million 24
 
Dar es salaam,..not funirshed lakin usi quote vbaya....
Sio kwelii.ww Nina Uhakika Una Nyumba kabisa na ujawai kujenga,Muwe mna washauli watu ukweliii
....
UMENIKUMBUSHA NILIWAI KUWA NA MAFUNDI MATAPELI..NILIWAAMBIA NINA KIASI CHA PESA FLANI NITAWEZA KUJENGA(KABLA SIJA ANZA UJENZI).WAKANIPA MOYO IYO PESA NI NYINGI..BASI NIKA ANZA UJENZI..PESA IMEFIKA KWENYE KUPAUA IKAKATA.WAO WANATAKA PESA ZAO NA MIMI PESA NIKAWA SINA..ILIBIDI TUPELEKANE PANAPO HUSIKA..

TUJITAIDI KUWASHAULI WATU UKWELI,KWENYE MASWALA YA UJENZI
 
Back
Top Bottom