Kwenye magari kuna ma oligach wengii angeanza na za pikipiki meaning kufanya services za pikipiki na bajaj zitamtoa taratibu 2M kwa kuanzia, kisha kaingizaa pesa tena katika magahawa wa kisasa 2M kwa kuanzia sio mbaya, tena akaingiza pesa katika usafiri meaning bajaji zake kadhaa labda 2 tu hapa sijajua sinacost bei gani, lastly akimaliza katika hayo anakuja kumwaga hela katika bar na nyama choma.hapo jamaa ametawanya pesa katika kila kitu muhimuu yani kiufupi hakwepeki ,yan usipo mpa hela kwenye bajaj utampa kwenye,pkpk ,usipompa hela kwenye pikipiki utampa kwenye chakula au pombe na nyamachomaaaa easy tuuuuuu.....
Sio mbaya akitumbukiza hela chache zitakuwa easy kumanage na easy kufollw up so kile kinachobakia kinaweza kuwa kinaboost biashara na kutatua changamoto mbalimbali........................