Weka bank. Fahamu kuwa wazo la biashara linaanza na wewe na kuboreshwa na wengine. Kama huna idea weka hela yako bank usijewalaumu wanadamu. Bank ndio sehemu salama ya kuhifadhi hela kwa watu wasiojua nini cha kufanya nayo kazi.Nina milioni 25, naweza wekeza kwenye nini ili nipate pesa nzuri kwa muda mfupi?
Wadau mawazo yenu Tafadhali.
Mchango wa mdau
Pia soma: Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?
Ndio. mtu anaweza kununua gari la 2.5m na kuliboresha kidogo (ila sio lazima kama lipo salama) na kuirudisha mtaani na kuulizia 3.5m hadi 6m saa zingine. ni swala la kujua tu wapi kuangalia na kuwa makini kwani kuna walengaji na wanunuzi.yaani hapa ni unanunua na kuuza.
Twin hujapata heart attack?...mi nashinda polisi daily[emoji848]hebu elezea hii Mkuu kwa kirefu nikuelewe, mimi nafanya kwa mwezi Mungu ni mwema si haba inalipa ila nataka nijitanue zaidi.
Kubet?Mimi mpaka sasa kubet ndo kunanipa faida, nadhani upepo umenielekeza huko
Ndugu yangu aliuza nyumba ya urithi Mikocheni, akaenda kununua nyumba Sinza, akafungua studio ya kurekodi muziki, Hadi leo sijawahi kusikia redioni wimbo kutoka studio yake, sijui zinapigwa kwenye space station anga za mbali?!?!¿‽‽🤔🤔🤔
Kwenye magari kuna ma oligach wengii angeanza na za pikipiki meaning kufanya services za pikipiki na bajaj zitamtoa taratibu 2M kwa kuanzia, kisha kaingizaa pesa tena katika magahawa wa kisasa 2M kwa kuanzia sio mbaya, tena akaingiza pesa katika usafiri meaning bajaji zake kadhaa labda 2 tu hapa sijajua sinacost bei gani, lastly akimaliza katika hayo anakuja kumwaga hela katika bar na nyama choma.Wekeza kwenye spare za magari. Anza na zile ndogondogo zinazohitajika wakati wa service za magari....sparkplugs, air and oil filters, oils, coolant....mdogo mdogo utaanza kuongeza heavy spare parts.....oil filter kwa mfano ya toyota maduka ya jumla utanunua kwa bei isiyozidi sh 4000. Rejareja utauza kwa sh 10,000
Sawa sawa maana kuna jamaa mwaka huu huu huku chuga aliitupa crown yake kwa 6mil na alinunua 12mil ndani ya mwezi sababu alitaka pesa ya haraka akauza 6mil dah ila r.i.p kwake jamaa aliyeuza maana alifariki kwa mawazo.Ndio. mtu anaweza kununua gari la 2.5m na kuliboresha kidogo (ila sio lazima kama lipo salama) na kuirudisha mtaani na kuulizia 3.5m hadi 6m saa zingine. ni swala la kujua tu wapi kuangalia na kuwa makini kwani kuna walengaji na wanunuzi.
Bei nzuri ni mnunuzi na bei ya chini ni mlengaji. la wewe ndio wakuangalia profit yako. sio biashara ya kuparamia ila mtu ukiwa mtulivu na ikawa na adabu ya pesa, ni kitu kizuri sana. ingawa siku hizi hii shughuli imevamiwa sana. so mzunguko unachukua muda kidogo ila inalipa.
Aiseh! pole kwa wafiwa 🙏Sawa sawa maana kuna jamaa mwaka huu huu huku chuga aliitupa crown yake kwa 6mil na alinunua 12mil ndani ya mwezi sababu alitaka pesa ya haraka akauza 6mil dah ila r.i.p kwake jamaa aliyeuza maana alifariki kwa mawazo.
Hapana Mungu ni mwema ipo poa sana, hapa naafuta hela niongeze mtajiTwin hujapata heart attack??...mi nashinda polisi daily[emoji848]
Mimi mpaka sasa kubet ndo kunanipa faida, nadhani upepo umenielekeza huko
Location ndo kisangaKwenye magari kuna ma oligach wengii angeanza na za pikipiki meaning kufanya services za pikipiki na bajaj zitamtoa taratibu 2M kwa kuanzia, kisha kaingizaa pesa tena katika magahawa wa kisasa 2M kwa kuanzia sio mbaya, tena akaingiza pesa katika usafiri meaning bajaji zake kadhaa labda 2 tu hapa sijajua sinacost bei gani, lastly akimaliza katika hayo anakuja kumwaga hela katika bar na nyama choma.hapo jamaa ametawanya pesa katika kila kitu muhimuu yani kiufupi hakwepeki ,yan usipo mpa hela kwenye bajaj utampa kwenye,pkpk ,usipompa hela kwenye pikipiki utampa kwenye chakula au pombe na nyamachomaaaa easy tuuuuuu.....
Sio mbaya akitumbukiza hela chache zitakuwa easy kumanage na easy kufollw up so kile kinachobakia kinaweza kuwa kinaboost biashara na kutatua changamoto mbalimbali........................
Anaweza akaaanzisha kijiwe na akakichangamsha yeye mwenywee.Location ndo kisanga
Ikitokea imeharibika pesa ya service inatoka wapi?Hizi hisabati huwa zinaonekana nzuri sana lakini uhalisia haupo hivyo.
Tatizo humu watu wa nadharia wengi..nenda mgodi wa dhahabu kafanye VAT leanching (kuozesha masalio)mwaka tu una nyumba na Range rover Velar...na mtaji unabaki..
Kweli wewe "mpuuzi" unafikiri utajiri ni kwa watu Kama wewe mjingamjinga..theory kibaoooingekua rahisi hivyo kila mtu angekua na range
Umeona umeongea mwenyewe!Kweli wewe "mpuuzi" unafikiri utajiri ni kwa watu Kama wewe mjingamjinga..theory kibaooo
Fanya biashara bubu ya kukopesha Ila wateja wawe waaminifu .
Kujenga ni sawana kufukia hela chini, hivi hizo tshs 25m itachukuwa muda gani kurudi?Vyumba vya kupanga