Nina milioni 25, naweza kuwekeza kwenye nini ili nipate pesa nzuri kwa muda mfupi?

Nina milioni 25, naweza kuwekeza kwenye nini ili nipate pesa nzuri kwa muda mfupi?

Fungua duka la kuuza pombe kwa jumla kwa huo mtaji inalipa sana
 
mkuu kama unataka kujenga kweli tafuti week zako 3 ambazo uko free kama una kiwanja tafuta fundi mzuri fanya research kusanya vifaa anza ujenzi ukisikiliza sana ushauri utajenga mimi nilipa ela flani nilifanya ingawa sija amia coz sina alaka ila nimeweka grill mengineyo baadae ila nilkua nasikiliza sanaah maoni ya wadau mpka niltaka kuacha
 
Kwanza upo wapi? Upo mkoa gani. Nifuate mp nikupeleke sehemu ukafungue mashine ya kukoboa mpunga, mashine ya kisasa na unakuwa na stoo kuuubwa ya kuhifadhia mpunga kutoka kwa wakulima na wanunuzi wanaokuja kuhifadhi wakisubili bei ipande wakoboe, hii biashara inalipa sanaaa ukiwa na elimu nayo ,faida ni kubwa kuliko hasara, cha kufanya ni kutafuta eneo kubwa ambalo utajenga mashine, stooo na sehemu ya kuanikia mpunga , ukiwa tayali njooo tufanye kazi hiii ila ni nje ya dar , hauojuta kamwe.
 
Kwanza upo wapi? Upo mkoa gani. Nifuate mp nikupeleke sehemu ukafungue mashine ya kukoboa mpunga, mashine ya kisasa na unakuwa na stoo kuuubwa ya kuhifadhia mpunga kutoka kwa wakulima na wanunuzi wanaokuja kuhifadhi wakisubili bei ipande wakoboe, hii biashara inalipa sanaaa ukiwa na elimu nayo ,faida ni kubwa kuliko hasara, cha kufanya ni kutafuta eneo kubwa ambalo utajenga mashine, stooo na sehemu ya kuanikia mpunga , ukiwa tayali njooo tufanye kazi hiii ila ni nje ya dar , hauojuta kamwe.
Nje ya dsm..wapi mkuu?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo nikupe kazi yakufanya utatumia 10 mil only kama mtaji na utatengeneza 5mil per month
Ukiwa tayari dm
 
Kama bado ujapata mchongo njoo dm nikupe fursa ukiona inakufaa fresh ukiona haikufai unapiga chini
 
Kama bado ujapata mchongo njoo dm nikupe fursa ukiona inakufaa fresh ukiona haikufai unapiga chini
Kuitana dm ni kuikosea heshima JF na kupotezea umaana wake kwani iliwekwa ili tujifunze wote na kila kitu kiwe hadharani. Kuitana dm ni UBINAFSI ULIOKITHIRI! Nawasilisha.
 
Njoo nikupe kazi yakufanya utatumia 10 mil only kama mtaji na utatengeneza 5mil per month
Ukiwa tayari dm
Wale wale tena wa dm - huu ni ubinafsi jamani, tuache hizi za dm. Huko mtafika kama final point ya utekelezaji wa mambo yenu ya siri, kama yapo. Kwa sasa mambo ni humu humu kwenye bango JF.
 
-Wazo la kwanza chukua milion 3 ingia zenj nunua vyombo utapata vyombo vingi Sana Tena vzuri mno na unique na vyombo vinafaida sana,,uza utakuja nishukuru
-Wazo la pili ingia vijijn nunua nafaka kwa Bei za jumla tafuta sehem nzur sokon fungua Banda la kuuza nafaka jumla na rejareja.
-Wazo la tatu mafuta ya alizet jumla na rejareja utauza sana
-wazo la nne spare za magari ,pilipili
-wazo la tano tafuta eneo maeneo ya stend fungua nyama nyoma hapo na ugali tu weka na vinywaj basi.
- wazo la sita tuambie kwanza unapenda
kufanya biashara gani kutoka moyon?? Tukishajua nirahisi mtu kukupa nondo za hio biashara mkuu na
Kila la heri mkuu
 
Nunua Bajaj 2 milioni 6 tafuta nyumba ya kupanga na fenicha na mtoto mzuri wa kimachame au Siha.

Kila siku Bajaj unaletewa 20k
20,000 x 2 x 365=14,600,000.
Iko chombo hakiaribiki unavyopigia siku 365
 
Kama haya ndio mawazo ya biashara mliyonayo vichwani, mama ana kazi kubwa kuwavusha. Inasikitisha sana.
 
Hapo mimi ushauri wangu faida unayotaka kubwa kwa muda mfupi kiukweli kabisa hamna,tena hamna kwasababu biashara utakayotaka kuifanya nyingi ni za hatari,Kama kijana mwenzangu kaa chini ujitafakari ni wapi utakapoiendesha iyo hela vizuri kwa kipato kidogo japokuwa kitachukua muda mrefu,Uwekezaji mzuri ni ardh kwanza,kwani ardhi thamani yake kila siku inapanda ni uwekezaji mzuri,pili unaweza ukatafuta nyumba zile za kuuzwa na taasisi za mabenk ama zile nyumba za urithi,ukinunua nyumba mfano kwa maeneo ya kigogo uko unapata ama hata isiwe nje sana ya mji unapata,tena ukipata zenye vyumba vingi ni bora zaidi unapangisha na kupata hela ndogo lakini unakuwa na uhakiwa wa kila baada ya miezi 3 ama 6 unaingiza mkwanja,hap unaweza ukatenga kununua kwa milioni 15,kisha hela nyingine unaweza kufanya kuendeshea biashara nyingine,so utakuwa unaingiza uku na uku,biashara ikiyumba basi nyumba inakuinua,ilo ndilo wazo langu
 
-Wazo la kwanza chukua milion 3 ingia zenj nunua vyombo utapata vyombo vingi Sana Tena vzuri mno na unique na vyombo vinafaida sana,,uza utakuja nishukuru
-Wazo la pili ingia vijijn nunua nafaka kwa Bei za jumla tafuta sehem nzur sokon fungua Banda la kuuza nafaka jumla na rejareja.
-Wazo la tatu mafuta ya alizet jumla na rejareja utauza sana
-wazo la nne spare za magari ,pilipili
-wazo la tano tafuta eneo maeneo ya stend fungua nyama nyoma hapo na ugali tu weka na vinywaj basi.
- wazo la sita tuambie kwanza unapenda
kufanya biashara gani kutoka moyon?? Tukishajua nirahisi mtu kukupa nondo za hio biashara mkuu na
Kila la heri mkuu
Luvh nimesoma ulicho andika nimeelewa ILA naomba ufafanuzi kuhusu wazo la kwanza. Kwani ushuru yaani lile suala la kodi limefikia wapi? Zamani ulikuwa unalipa kodi Zenj na ukifika huku Bara unalipa tena ushuru. Halafu kuna hili la vyombo kutoka Zenj, ni aina gani ya vyombo vyenye faida ukuvileta huku Bara? Nauliza hayo kwani nina fuatilia kamkopo kangu huko benki na ninataka nikaweke kwenye biashara. Asante nasubiri nondo zenu!
 
Kama haya ndio mawazo ya biashara mliyonayo vichwani, maushungi ana kazi kubwa kuwavusha. Inasikitisha sana.
Tutajivusha wenyewe kwani umeambiwa AKILI ZA KUAMBIWA ZACHANGANYA/ONGEZA NA ZAKO! Hiyo ndiyo njia pekee ya kuvuka bila kumtegemea YEYOTE ila Mungu tu!
 
Back
Top Bottom