Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

Naona huu ni ushauri murua kbsa
Tafuta wataalam wa green house wakufundishe kulima nyanya kwenye huo mjengo, Kwanza kabisa uwaeleze una huo mtaji hivyo wakupe mchanganuo wote wa gharama ya huo mjengo na gharama zingine za kama mbegu, drip pipes, water tanks, na vinginevyo, kwa sababu hela inaweza isitoshe Kuna wataalamu huwa wanauza green house na pia kukufundisha hadi zao likomae ibakie kwako tu kuamua unataka kuuza lini zao lako maana likiwa hata limeiva na lipo kwenye huo mjengo lina uwezo wa kukaa hadi miezi kadhaa bila kuharibika huku ukisubiria bei ya nyanya sokoni ipande madalali waanze kukumezea mate huku udende ukiwatoka

Hiyo biashara itakufanya utulie nyumbani ukiwa bizy na kilimo chako ambacho ni kidogo na cha kisasa na chenye faida kubwa huku ukiwa umekwepa msala wa kukimbizana na Uba ambayo itakufanya urudi na hela ya kula tu ya maendeleo haipo.

Cha msingi poteza mwezi mzima, ukitembelea wenye green house ulizia changamoto za hiyo biashara na faida ukiona inakufaa chukua hatua.
 
Nimesikiliza Kipindi cha Power Breakfast Asubuhi ya Leo Clouds Fm, Madereva wa Uber na Bolt Wanalia Kamisheni Kushushwa Toka Kulipwa Tshs 950 kwa Kilometer hadi Tshs 450 kwa Kilometer
.
Mdau Anasema kwa Siku Kama Una-drive Uber au Bolt kwa Upande wa Gari, Mafuta Ukiweka Tshs 35.000 Kama Litres 15 hivi Unaweza Kuingiza Kuanzia Tshs 100.000 (Ukikomaa Haswa)
.
Mgawanyo wa Asilimia Wenye Mtandao wanachukua 30% na Dereva anachukua 70%
.
Hapo Inamaana Ukitoa 30% ya Tshs 100.000 ni Tshs 70.000, Ukitoa na Petrol 35.000 Utabaki na 35.000. Hapo Kuna Kula, Kunywa Car Wash na Mengineyo, na Abiria Akiripoti au A-Comment Kuwa Gari yako Chafu Unalo
sasa sheikh wangu 35k per day ni ndogo kweli?
 
Kwa milioni tano ni ngumu kupata IST ya maana ili ufanye uber, pia biashara ya uber ni ngumu kwa sasa.

Ushauri wangu tu, chukua nusu ya hiyo pesa (2.5m) nunua pikipiki (boxer?) halafu fanyia biashara wewe wenyewe, hiyo hela nyingine weka akiba tu, wakati unapiga miche miche za bodaboda kuna deal za biashara zingine unaweza ukazijua then ukaitumia hiyo pesa iliyobakia kama mtaji. Kwa boda upo uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 10 kwa siku.

Ushauri mwingine unaweza ukanunua bajaj used kwa hiyo milioni tano halafu ukapiga mwenyewe hiyo biashara, na kuwa na uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 25 kila siku.
Biashara ya Uber inaugumu gani kwasasa?
 
Kama vip njoo ibox tufamiane Mkuu tuanze wote mim gari ni yangu mwenyewe
 
Nimesikiliza Kipindi cha Power Breakfast Asubuhi ya Leo Clouds Fm, Madereva wa Uber na Bolt Wanalia Kamisheni Kushushwa Toka Kulipwa Tshs 950 kwa Kilometer hadi Tshs 450 kwa Kilometer
.
Mdau Anasema kwa Siku Kama Una-drive Uber au Bolt kwa Upande wa Gari, Mafuta Ukiweka Tshs 35.000 Kama Litres 15 hivi Unaweza Kuingiza Kuanzia Tshs 100.000 (Ukikomaa Haswa)
.
Mgawanyo wa Asilimia Wenye Mtandao wanachukua 30% na Dereva anachukua 70%
.
Hapo Inamaana Ukitoa 30% ya Tshs 100.000 ni Tshs 70.000, Ukitoa na Petrol 35.000 Utabaki na 35.000. Hapo Kuna Kula, Kunywa Car Wash na Mengineyo, na Abiria Akiripoti au A-Comment Kuwa Gari yako Chafu Unalo
Kwahiyo jamaa wamewekeza kwenye app Tu wanakula hiyo hela ...kweli mjini mipango
 
Kwahiyo jamaa wamewekeza kwenye app Tu wanakula hiyo hela ...kweli mjini mipango
Kuwekeza kwenye app sio rahisi rahisi tu mjomba..... kuna appa kibao zinazifanya kitu kimoja so mpaka utusue uwe on top ni mziki mkubwa sana

Kama unapenda kusoma vitabu tafuta kitabu kinaitwa internet wars sidhani kama jina ni sahihi au vp ila humo ndani zinaelezwa vita zinazopiganwa huko sio mchezo huyo jeff bezos wa amazon ni mafia hatari ana mbinu kali kuliko alshabab
 
Kuwekeza kwenye app sio rahisi rahisi tu mjomba..... kuna appa kibao zinazifanya kitu kimoja so mpaka utusue uwe on top ni mziki mkubwa sana

Kama unapenda kusoma vitabu tafuta kitabu kinaitwa internet wars sidhani kama jina ni sahihi au vp ila humo ndani zinaelezwa vita zinazopiganwa huko sio mchezo huyo jeff bezos wa amazon ni mafia hatari ana mbinu kali kuliko alshabab
Nimekupata mkuu...
 
Kwa milioni tano ni ngumu kupata IST ya maana ili ufanye uber, pia biashara ya uber ni ngumu kwa sasa.

Ushauri wangu tu, chukua nusu ya hiyo pesa (2.5m) nunua pikipiki (boxer?) halafu fanyia biashara wewe wenyewe, hiyo hela nyingine weka akiba tu, wakati unapiga miche miche za bodaboda kuna deal za biashara zingine unaweza ukazijua then ukaitumia hiyo pesa iliyobakia kama mtaji. Kwa boda upo uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 10 kwa siku.

Ushauri mwingine unaweza ukanunua bajaj used kwa hiyo milioni tano halafu ukapiga mwenyewe hiyo biashara, na kuwa na uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 25 kila siku.
Boda?....risk ya kufa ni nje nje
 
Hali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
Nunua mwanangu kama ni gari yako mwenyewe itakulipa maana hakuna cha kusema umpelekee tajiri hesabu yake cha msingi sajili zote Uber, bolt, taxify.

Pia ukianza biashara uwe msafi wewe mwenyewe kimuonekano vaa kiprofesional, kata nywele zako vizuri, weka gari lako Safi ndani na nje (ikiwezekana weka leather seat covers) hii itakisaidia kupata wateja wa kudumu.
 
Mimi nae nina ka million tano kangu nafikiria kununua gari ya kufanyia Uber
 
Mista Kuku sikuhizi analima mahindi. Unampa milioni moja na laki mbili anakulimia ekari moja. Return kwa ekari ni 5m. Sasa wewe unaweza kulima ekari 4 ukapata 20m ndani ya kama mwaka hivi.
Hayo mahindi unalimia wapi kaka???? Heka moja ikupe milion 5?????
 
Kwa milioni tano ni ngumu kupata IST ya maana ili ufanye uber, pia biashara ya uber ni ngumu kwa sasa.

Ushauri wangu tu, chukua nusu ya hiyo pesa (2.5m) nunua pikipiki (boxer?) halafu fanyia biashara wewe wenyewe, hiyo hela nyingine weka akiba tu, wakati unapiga miche miche za bodaboda kuna deal za biashara zingine unaweza ukazijua then ukaitumia hiyo pesa iliyobakia kama mtaji. Kwa boda upo uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 10 kwa siku.

Ushauri mwingine unaweza ukanunua bajaj used kwa hiyo milioni tano halafu ukapiga mwenyewe hiyo biashara, na kuwa na uhakika wa kulaza sio chini ya elfu 25 kila siku.
Una akili sana yan
 
Back
Top Bottom