TRA wahuni sana wanaona nyie mtafaidi sana.Badala wangepunguza kodi magari yawe mengi wapate volume kubwa ya ushuru, pia wapate kodi kubwa kwenye vipuri na mafuta wenyewe wanakamua tu
Kwa mkononi sawa, ila nna mashaka kama itakua haina vipengele.
[emoji28][emoji28][emoji28]ataliwa mtu kimasiharaZingatia iwe ya yard [emoji3] otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!
Mapema sana[emoji28][emoji28][emoji28]ataliwa mtu kimasihara
Tatizo hii akili hawanaTRA wahuni sana wanaona nyie mtafaidi sana.
Kwa wafanyabiashara naona hata wakiwekewa flat rate ya kodi watalipa kodi nyingi sana kuliko kuwaminya na wanavyopambana kuikwepa.
Hata magari bongo wangeweka kodi flat rate na waka encourage watu kununua gari mpya na gari zikifika 10 years after manufacturing date ziondolewe mjini ziende mikoani ingesaidia kupunguza jam mjini.
Kwani yeye ni mwanamke?Nunua Toyota Rush
Sawa bhanaZingatia iwe ya yard π otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!
Anamfundisha kamali mwenzie na vitabu vyote vya dini vimekataza gambling [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe unafanya inshu za kilimo?
Analeta mambo ya akina hakika Ruben hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani yeye ni mwanamke?
Uko kwa wapi nikupitie mamaSawa bhana
π labda zile gari za watotoπ€£π€£π€£π€£ Arusha ipi unayouziwa gari kwa 12M? Ist new uuziwe 12M kweli? Au umechanganya gari?
π π π π Kazi ipoDuka la magari used Tanzania au sio? π€£
Mmmmh! We umeamua kutuchekesha tu humu πYes,ila hizo ni new model Ile ist ya zamani ni cheap 5.5 unapata dar
π π π πZingatia iwe ya yard π otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!
Siotagi najuaga hili diliMmmmh! We umeamua kutuchekesha tu humu π
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ we jamaa phalwa sanaZingatia iwe ya yard π otherwise naenda kukufuturu na sitanii!!!
Kiukweli kwa sasa hayupo mwenye akili timamu wa kukuuzia ist/ vits cravia/ vits RS zilizosimama kwa 5.5m unless magumashi matupu.Siotagi najuaga hili dili
Brother takwimu zako ni za miaka miwili/mitatu iliyopita hizo bei sio za sasa
Motivation [emoji344]Hiyo hela yako ipe thamani mkuu just start thinking on what and where you can invest it rather than wasting your money for just show off...Wekeza pesa kwenye kilimo cha mdaa mfupi kisha uagize gari yako kali matata sana...kuliko hizi za mitaani utapasuka kichwa nakwambia hutaamini...
PoaKiukweli kwa sasa hayupo mwenye akili timamu wa kukuuzia ist/ vits cravia/ vits RS zilizosimama kwa 5.5m unless magumashi matupu.