Sidhani kama kuna binadamu yeyote duniani anaeweza kula mizoga kama fisi,hata kama huyo mtu hana elimu yeyote ile hawezi kila mzoga.Lakini kama una maanisha kuwa mnyama aliechinjwa na mkristo ni mzoga basi hiyo itakuwa ni dharau iliopitiliza na kamwe hakuwezi kuwa ni mpango wa mungu.Kama ni mpango wa mungu basi atakuwa ni mungu wa Kiarabu( Allah).cDNA;
Umesoma Kuran ipi weye?? Acha kupotosha watu. Kama una uchu wa kula mizoga kula mwenyewe. Usiwe na tabia ya kutamka usokijua.
Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye