Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

If thats the case endelea kumnyinyesha mwanao huku unalea mimba, its a bit tricky but mungu atakusaidia!

Financially mumeo inabidi achakarike vbaya mno, manake after 2.5yrs mtaanza somesha, kama hamkujipanga mpaka hapo itakuwa taabu sana huko mbelen
hata angekuwa baba tofauti hakuna mahusiano na afya ya motto na mahusiano current ya mama!
 
Sijawahi kutoka nje ya ndoa, na wala sitarajii kutoka
weeee wasikupe kichwa kuuma hawa!
I AM A MOTHER OF THREE!
najua ninachokwambia!
ENDELEA KUNYONYESHA MWANAO!
 
Mtu akiwa na mimba ninavyojua hormones zinajitengeneza kwenye maziwa. Sasa huoni akiendelea kunyonyesha itakuwa ni problem
 
Ninachohitaji ni nifanyeje ili mtoto asidhulike kipindi hiki cha ujauzito? Maana hofu yangu ni juu ya huyu mtoto niliyenaye
Kupenda sana nanilii...! Ona sasa imedumbikia kitu nyingine.
 
Uache kumnyonyesha huyo mtoto mdogo umuanzishie chakula mbadala kama maziwa ya ng'ombe, maana kudhoofika kwake kunatokana na kunyonya maziwa yako ambayo tayari yamechanganyika na hormones za ujauzito.

Otherwise waone wataalamu wa uzazi wakupe njia nzuri ya kumlea huyo mtoto bila kumnyonyesha
 
pole!
zingatia diet utilie na uzae, then uanze kutumia njia za uzazi wa mpango ili yasikukute tena kama haya
 
Kubaliana na hiyo hali kwanza.
Tengeneza virutubisho vitakavyokuwa mbadala nyonyo kwa mtoto.
Msilale naye kitanda kimoja
Maisha yaendelee. Jihadhari usisononeke kwa kuwa itamwafect mtoto.
 
hata angekuwa baba tofauti hakuna mahusiano na afya ya motto na mahusiano current ya mama!
hapo ilitumika tafsida, ikimaanisha asiwe anabadilisha wanaume wataathiri afya ya mtoto
 
Kuharisha kwa mtoto huyo wa miezi minne ni effect inayotokana na kunyonya maziwa yasiyo bora na nimachafu hayafai kwa mtoto kunyonya, kwasababu ya ujauzito ulionao.

Yote ni dhambi kutompa mtoto maziwa chakula kisicho mfaa na kudhorotesha afya yake na pia kuwaza kutoa mimba nayo ni dhambi, mwanzishie mtoto maziwa ya kopo lactogen ambayo hayajachakachuliwa maana fake zipo nyingi, au SMA usiwaze kutoa mimba...
 
Duh miezi minne toka ujifungue umeanza sex,mbona haraka hivyo!kama hiyo mimba si baba wa huyo unae mnyonyesha hapo lzm aharishe na kwa kifupi umembemenda!
 
kabemenda mtoto tayari hana swali hapo, miezi mi nne sasa, kama uli nani? na mtumwingine tofauti na mzee mwenyewe ndo madhara hayo cha msingi wanasema acha kumnyonyesha mtoto tena mtafutie maziwa ya kopo na matunda uanze kumpa ila kwa ushauri zaidi muone dokta. maana nakubuka tatizo lako ni kama la mama mdogo wangu lilikuwa hivyo hivyo sema mtoto wa kwanza kawa mbilikimo namaana mfupi
 
Bado nina maziwa ya kutosha sana, hawezi hata kuyamaliza ... Sasa labda cjui huo utapiamlo unatokana na nini?
 
Kulea ni kazi sana, mimi hapa nna mapacha wa nje ila mwenzangu umezidisha miezi mi 4 kha?? Hahahhaa ila usijaliyameshatokea zipo njia za kumlea vyema mwanao atakua vzr tu
 
Hiyo sababu ya kutonyonyesha mtoto Mara kwa Mara mi naikataa, wengi tuliaminishwa hivyo hata baada ya kufuata bado tukajikuta tumenasa,
 
Nlisikia mwanamke anaenyonyesha hapati ujauzito kumbe ni porojo tu.

Kupitia wewe nimejifunza kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…