Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo siyo swala hapa.Unatambua kuwa watu wanatumia hadi mil 50 kwa kamali tu?
thank umimi toka 2017 kampuni yangu ni moja tu Playmaster awa jamaa unatoa pesa kwa namba zako za simu ata 10 kama unazo namba za ID ikienda kwa mwingine ukiwapigia ni dk2 tu mzigo unarudi wote
Kubet ni mchezo wa luxury.Halafu kule unakandia watumishi wa LGAs' huku unabet... hovyo kabisa.
Kwenye haya maisha kila kitu ni kubeti, niambie kitu gani unakifanya ambacho haubeti?? Ukifikiria nawe pia ni mjinga! kuishi kwenyewe ni kubeti, unajua kinachokukuta dk20 zijazo?Binafsi mtu akishasema ana bet kwangu ni mjinga kama wajinga wengine
Aunthetic ya madai yako ina shaka, pia username yako na thread. All in all ukiwa na account kwenye sector zinazo-deal na fedha kamwe hawawezi na hawatakiwa kujua password yako. Hata benki hawawezi na hawatakiwa kujua password ya account yako.ni wapi nimeandika sina pesa ya kumlipa wakili? are u a great thinker?
Wewe tulia hivyo hivyo na senti zako za ngama za kubangaizaHilo siyo swala hapa.
Hao unaowasema wewe ni wagonjwa wachache wanaohitaji matibabu ya kisaikolojia. Kuna walio tayari kuweka rehani hata wake zao kama sheria ingeruhusu!
Hizi senti zangu zinauwezo wa kukuhudumia wewe maisha yote uliyobaki nayo hapa duniani.Wewe tulia hivyo hivyo na senti zako za ngama za kubangaiza
Bila shaka unazungumzia hawa walioongezewa buku 8. Madam nitakutafuta unipe ndoano, sitaki samaki.Kubet ni mchezo wa luxury.
Mimi sibeti mpira lakini, napiga gamble ya casino. Juzi playmaster wamenipa IST mpya.
Siwezi kubet mpira Mimi. Ni kupoteza muda na pesa tu.
Casino tunacheza watu wenye pesa, watumishi wa local government hawana uwezo wa kucheza online casino, na wakijaribu lazima watalia.
Kila siku nadepose pesa sio chini ya 50000. Mtu wa local government hana ubavu huo
😄😄Hizi senti zangu zinauwezo wa kukuhudumia wewe maisha yote uliyobaki nayo hapa duniani.
Kwa hiyo hilo lisikusumbue wewe.
PoaBila shaka unazungumzia hawa walioongezewa buku 8. Madam nitakutafuta unipe ndoano, sitaki samaki.
Hyo siyo issue ya meridian wanaotakiwa wakuwekee pesa kwenye account ni selcom, so wasiliana nao wassap watumie na SMS ya muamala then tatizo linakuwa solved, hao wafanyakazi wa meridian ni mazuzu tu hawana hata abcd kwa baadhi ya mambo, mm lilinitokea 22 bet but mlipa wakanirudishia pesa lakini mwanzoni sikujua nikawanadeal na customer care ya 22 walinizingusha three weeks kli Mara tupo tunashughulikia, tuma copy ya kitambulisho umekishika oooh Mara una accounts mbili na ni kosa but nilivyoambiwa na MTU kwamba deal na wakala wa kudeposit na kuwithdraw tu hao mabwege watakupotezea muda na akanipa namba ya boss wa mlipa but within five minutes aliniambia nitumie SMS ya malipo uliyofanya chap akanirudishia pesa yangu ,so huna haja ya kuingia gharama za kumkodi mwanasheria, kuwa na multiple accounts ni kosa ila kwa kula viela vidogo laki had I milioni hawakusumbui but ikitokea umepiga mshindo mkubwa kitu cha kwanza wanasearch ids kama unazo zaidi ya moja then pesa unanywimwa watakuulizia ulizisoma terms and conditions ukazielewa? Mm mwaka Jana nilinyimwa mil35 kwa sababu ya multiple accounts nilienda had I bodi ya michezo ya kubahatisha lakini walistick kwenye terms nikashindwa.thank u
Wewe mtoto mdogo ukikua utayaona. Kama ni mtu matured umeandika huu ujinga basi una shida mahali...ina maana hujui umuhimu wa hii mitandao ya kijamii na elimu inayopatikana humu!?Kwanini ujatushirikisha kabla ya kucheza je ungepiga hela ungetusgirikisha?
Tafuta hela wewe uache makasirikoM bet meridian bet hao wote n matapeli nashangaa Simba sport club kukubali udhamin wa m bet
Huo mkataba hautadumu hakika nawaambia
[emoji16][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]umefanya nicheke km mwehuNa ikishindikana amcheki braza chalamila ampe namba za mganga wake awaroge ng'ombe hao