Nina mpango wa kuwapandisha Meridianbet mahakamani, wamenidhulumu pesa nyingi sana. Mmiliki ambaye ni Waziri jiandae

Uwezo wa kukufahamisha ninao ila mda ndiyo sina pia uwezo wako wa kufikiri ni finyu sasa ya nini kuchoshana akili
EeeeenHeeeee,
Mhanga wa madhara yatokanayo na kilevi cha kamari uwe na uwezo wa kunieleza chochote cha maana!
Huna uwezo huo.
 
Kuharibiana biashara siyo vizuri,ila kampuni za kubabaisha ndo mbaya zaidi,linapokuja suala la safe betting Companies kwa Tz hii kwa njia ya simu ni Sport Pesa pekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…