Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Yaaan nmejitaid sana lkn hakuna kitu full stress
Sasa nafanya maamuz magum
 
Hata kama angekuwa wewe, ungeweza mchangamkia mtu anayewaza amepoteeeza sana kwa kutumia 30,000 kwa mpenzi mpya?
 
Kama hujui kusoma hata picha huoni? ukiona hivyo jua kabisa hupendwi ni vizuri ukaachana naye utafute mwingine, pole kwa yote.
 
Like seriously mwaka mzima?
 
Unalia umepoteza elfu 30 .

Mimi niliooteza si chini ya milioni 10 na makaburi ya wazazi wake nilijenga, ila naamini Mungu atanifuta machozi kwa furaha siku yangu ikifika
 
Ukakijipost nakujipost kbs au ulihis unablouse FB?

Nilipopna huo mpasuo wa suruali nikaahirisha kutoaushauri
 
Unashika mkia wa mbwa alafu unauliza mkundu upo wapi?
 
Najaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasababu nataka nioe kabisa
Unafanya mchezo mbaya
Wachezea sarafu chooni
Ikitumbuki usije kulalama
Twakataa kelele sizo haja
Wajikata kidole mwenyewe
Halafu walalama waumia
Acha ujinga

Bazazi
 
Mpo zaid ya kumi na umri unaruhusu akufikirie kwa lip? isikute anakuona unamchosha tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…