Nina mtaji wa milioni 6 nataka nianze biashara ya bodaboda

Nina mtaji wa milioni 6 nataka nianze biashara ya bodaboda

Amna kama kijana unaangalia na was kumpa kuna wengine awajui kazi huwezi MPA na lazma utakua umefanya investigation ad kumpa chombo chako wako vzur me nawamudu chombo nmefunga GPS aendi kokote anidanganyi na mwisho was kaz sa 5 baada ya hapo unaizima tuu kwa GPS aendi kokote biashara hzi zataka use na jicho
Ooo kumbe kuna hii technology [emoji1787][emoji1787][emoji119]!

Unaizima mwenyewe, na haendi kokote. Dah hii imekaa super aisee
 
Ukitoa hapo hizo cost waweza bakia na 25k kama faida kwa dumu moja la 20lt
Kumbe kichwa yako ina charge charge eeh,ikipata booster kidogo tu nakuona kabisa Boss lady huyu hapa...

iambie hiyo jamaaa imepata waifu matirio hebu iwe booster ione matokeo chanya ya mshiko nnje nnje...
 
Ngoja nijitahidi nikijuacho…


1. Wewe na mfuko

2. Hapo sasa ni ww, either ufungue frame/ stoo ama uwe unaweka home kwako kama kuna nafasi….

3. Changamoto ipo wakati ambapo alizeti iko shambani,, pale unaweza pata alizeti itakayokutoleshea mafuta yasio mazuri… yenye povu na machungu

4. Dumu la lita 20 Singida linauzwa 80K.. unaweza pack kwa 5lt ama ukauza lt 20… ukipack kwa 5lt sana sana 5lt utakuja kuuza kwa 27000 au juu pia kutegemea na soko .. ktk 20lt utatoa 5lt 4= 108,000 … ukitoa 80k uliyonunulia dumu la 20lt,, itabaki faida 28,000…. Ndani ya 28,000 toa gharama za kidumu cha 5lt na stika utakayobandika kwenye pack yako ya 5lt… hii itakusaidia hata uweze kuuza mafuta kwa supermarkets….

Ukitoa hapo hizo cost waweza bakia na 25k kama faida kwa dumu moja la 20lt
Barikiwa sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Achana na biashara kichaa hio, kwa hela hiyo vuta toyo au bajaj ukomae mwenyewe. Ukosi 50 kwa siku.
The best ni toyo ya mizigo paki sokoni ukiwa na wateja wako wawili tu watu wa magengeni uhakika. Nidhamu ya Kazi, uharaka, uaminifu, networking, tengeneza group lako la wasap la wateja wako, pesa utazikimbia.
Nakubali sana man[emoji817]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Toyo ya mizigo Inaweza kuiizidi bajaji kuingiza mapato ?

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Zote zina hela hila toyo ni [emoji91]

Hesabu kidogo hivi hizo za abilia utoka kwa foreni tena mpaka ijae kwa nauli ya jero kila abilia amabapo ikijaa jumla aifiki ata elfu nne net

Sasa toyo zinatoka muda wowote na mara nyingi ubeba mzigo mkubwa na kupeleka sehemu za mbali kidogo yaani pesa ya toyo kwa siku ni kubwa mara nne au sita ya pesa ya bajaji ya abilia.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hongera kwa kuweza kutunza. Kuanzia Ijumaa tupo wadau kadhaa tunajadiliana mambo hayo hapa Opp na Mlimani city. Kama vipi njoo tushauriane.na leo tena saa 10 tunakutana wadau mpaka saa 7 au 8 usiku. Mjadala ni mpana mambo mengi so kila weekend tutakutana. Njoo utapata tu wazo la kufanya.
Mjadala hadi saa 7 au 8 usiku, halafu unachukua boda kurudi hom
 
Dah ukiwa na mtaji unakosa chakufanyia aide usinunue bodaboda mkuuu utachoma hela fungus tu duka la mango na mpesa gesi the 3 millionwekeza mwingine.
 
Biashara ya boda boda ni nzuri kama utaendesha mwenyewe,japo siku hizi imekua biashara ngumu kiasi maana abiria hawapandi mtu wasie mjua.

binafsi hata mimi sipandi tu boda boda ilimradi nimepanda,hivyo ili uanze ona matunda ya hii biashara itakubidi uchaji solar sana kijiweni wakati wenzio unawaona wanatoka na kuingia.

ukizoeleka biashara utapga sana ila hapo mpaka uzoeleke sasa (maji umeyaita mma)

Kwa mtaji huo nakushauri kitu ambacho vijana wengi wanakichukulia poa mno mwisho wake wanawaza mabiashara yasio na future ya kueleweka.

Binafsi siwezi fanya biashara ya boda,ila mkuu nakushauri kwa mtaji huo Hebu kaa chini tafuta location nzuri chukua frem kisha fungua DUKA LA MANGI.

duka la vitu vya majumbani tunapenda kusema dukani kwa mangi,Mkuu nakuhakikishia hili duka ukiweza litunisha mtaji kama ulionao ukajaza mazaga zaga yote na mkawa wawili (wewe na waifu) waifu mchana yote anatoka saa 8:00 usiku,wewe unaingia muda huo hadi majogoooo, BABA BABA BABA mchawi lazima uitwe braza.


Duka la mangi ni biashara bomba sana yenye Future inayoeleweka,unapokua na mtaji mkubwa biashara ya Mangi inakupa more income ila boda boda hata ujambe uharishe hutokaa hata siku 1 ulaze faida LAKI ng'ooo utachora chini.

DUKA LA MANGI uwezo wa kulaza faida zaidi ya 100k per day kila siku biashara ikija changanyia mwendo wa 360km/hr boss kama nakuona hivi utavyokuja nishukuru badae.

Achana na ma idea ya vijana sijui boda boda,sijui toyo,sijui bolt,nk (sidharau hizi idea zao) lakini future yahizo biashara zao ni inaonekana kabisa, binafsi mimi sasa hivi huwezi niambia nifungue biashara ambayo nikiiangalia baada ya 5yrs haitoweza nipa 500k per day, sifungui mimi biashara.

Biashara zenye COSTANT INCOME sizitaki na wala siziwezi,napenda duka la mangi maana the more the capital the more the income the more the customer,nk

DUKA la Mangi ni biashara ambayo kijana yeyote anaetafuta maisha na amedhamiria kupambana na ana mtaji basi simshauri mara mbili namwambia tu mara 1 Asijifikirie aifanye bila kusita sita.

Duka la mangi linauza vingi brooo,kuna mchele,unga,sabuni,wine zote,vinywaji vyote yani unakusanya unakusanya hadi ukija jumlisha faida unasema Asante BABA wewe ni mkuu.

Mama yangu alikua akimiliki duka la mangi ezi hizo,ilikua ukiingia dukani chini sakafuni kuna coin kama zote zimedondoka,huwa haziokotwi dukani kuna coin nikawa najiuliza kwann mama anaacha pesa chini? nikienda dukani kwake najifanya viatu vinanibana nikiwa pale nnje nakunywa soda navua viatu then natafuta namna yyte ile niingie dukani,napita kukanyaga maeneo yenye coin nazifinya na kidole cha mguu naziinua natia mfukoni...

Mpaka nitoke dukani mfukoni nishamake hadi buku, (buku enzi zetu wazee sio masihara)

Leo nimekua ndio naelewa kwanini duka la mangi lina pesa,kwann mama alikua haokoti coin zikidondoka,mkuu duka ya mangi ina pesa kuliko watu wafikiriavyo.

Nafanya biashara nyingi ila mwaka Huu biashara yangu kubwa ninayoenda ifungua ni DUKA LA MANGI brother penye asali washirikshe na wengine,ifanye hii biashara ina faida nyingi sana sana sana.
Twende na DUKA LA MANGI
 
Back
Top Bottom