Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Tena ukae mbali, uaminifu ni changamoto kubwa sana kwenye hili bara.Doooh mtihanii 😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ukae mbali, uaminifu ni changamoto kubwa sana kwenye hili bara.Doooh mtihanii 😢
Kama ni Kijijini na kuna mzunguko wa watu fungua :Mimi ni muajiriwa niko maeneo ya kijijini
Nina kahela nmesave sh mil 7 nataka nizungushe kanipatie faida
Biashara gani itanifaa maana huku nilipo mzunguko wa hela ni mdogo.
Napata wakati mgumu
Tena ukae mbali, uaminifu ni changamoto kubwa sana kwenye hili bara.
Fungua danguro kigamboni utanishukuru badaeMimi ni muajiriwa niko maeneo ya kijijini
Nina kahela nmesave sh mil 7 nataka nizungushe kanipatie faida
Biashara gani itanifaa maana huku nilipo mzunguko wa hela ni mdogo.
Napata wakati mgumu
Kama ni Kijijini na kuna mzunguko wa watu fungua :
- Wakala huduma za kifedha .
- Duka la mahitaji ya nyumbani ( unaweza ongeza nguo, sandal etc).
- Duka la dawa.
- Duka la spea za pikipiki.
- Mini Hardware
Shukran sana kuna vitu nmevutiwa ntafanyia kaziKama ni Kijijini na kuna mzunguko wa watu fungua :
- Wakala huduma za kifedha .
- Duka la mahitaji ya nyumbani ( unaweza ongeza nguo, sandal etc).
- Duka la dawa.
- Duka la spea za pikipiki.
- Mini Hardware .
Kamtaji kadogoChangamoto ni ipi
Hailipi?
Au kamtaji kadogo
Jaribu biashara hukohuko ulipo ambayo unahisi unaweza kusimamia kwa ukaribu hata kama faida au mzunguko ni kidogo yapo mengi utajifunza.Shida hela nayo kutunzika inakuwa ngumu hasa kwa familia zetu za hali ya kati
Utakuta mjomba kameza shoka kamchango
Kiasi gani kinaweza tosha?Kamtaji kadogo
Asanteee sana kwa ushauri🙏Jaribu biashara hukohuko ulipo ambayo unahisi unaweza kusimamia kwa ukaribu hata kama faida au mzunguko ni kidogo yapo mengi utajifunza.
🤔danguro mkuuFungua danguro kigamboni utanishukuru badae
DomUpo mkoa gani.
Itakuwa na faida kubwa maana demand ni kubwa,siwezi kusema exactly ni kiasi gani kinatosha ila sio hiyo 7MKiasi gan kinaweza tosha?
Vipi faida yake
Kama uko dom fungua duka la nafaka au urembo
mpuuze tuh, nafikiri ni wale wanawaita vijana wa hovyo huyo.Unantisha🤣
Haya ndio mawazo yako, sioHuko kijijini jifanye mganga wa kienyeji,utapiga hela mpaka uzikimbie,
Kwa ushauri zaidi njoo hapa Bar nikushauri huku tunapata moja moto moja baridi.
Hahaaaa jmanii sawaHuko kijijini jifanye mganga wa kienyeji,utapiga hela mpaka uzikimbie,
Kwa ushauri zaidi njoo hapa Bar nikushauri huku tunapata moja moto moja baridi.