Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,551
- 4,454
Usije sema ukuambiwa!Huko Mkoa gani tukupe direction kulingana na mazingira ya huko Bush kwako?Unantisha🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije sema ukuambiwa!Huko Mkoa gani tukupe direction kulingana na mazingira ya huko Bush kwako?Unantisha🤣
Link haifunguki mkuu...!Kama ni unataka uzungushe wewe binafsi inabidi uangalie biashara kutokana na mazingira uliyopo, kwa kijijini biashara ya mazao inaweza kuwa vizuri, unaenda mjini unatafuta tenda ya mazao maofisi yapo unakuwa supplier wao, kama unaweza kutusupply mazao karibu.
Kampuni yetu inadeal na kununua wanyama na kuuza nyama, kufuga ng’ombe wa maziwa na kuuza maziwa, tunaexport nyama. Tunanunua mazao (mahindi, maharage, mchele).
name of company: DAN’G GROUP CO.LTD
website: www.danggroup.ltd
Adress Dodoma.
Aseee.Kama hutaki usifanye.
Kiislam huwezi kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa.
Sikifahsmu ni nini hicho ulichoanduka.Sasa wapi waliharamisha ushoga na kufirana ndani ya kurwani?
Una haki na fikra zako.Sigara?soon utashauri afuge na kuuza kitimoto nyama saafi kabisa.
Kama hutojali naomba tuonane kwa ajili ya kujadiliana ni vip tutakuwa partner ktk biashara ya madawa mi sina mtaji ila nina mtu toka Turkey anataka kuekeza ktk madawa na biashara nyingine ila alinihitaj mimi nianze kwa chochote ila nimekwama kutokana na hali ya kimaisha kuwa mbayaok ni PM binti yangu
Shukran sana kuna vitu nmevutiwa ntafanyia kazi
ETI 'nina mtu toka Turkey anataka kuekeza ktk madawa na biashara nyingine ila alinihitaj mimi nianze kwa chochote ila nimekwama'Kama hutojali naomba tuonane kwa ajili ya kujadiliana ni vip tutakuwa partner ktk biashara ya madawa mi sina mtaji ila nina mtu toka Turkey anataka kuekeza ktk madawa na biashara nyingine ila alinihitaj mimi nianze kwa chochote ila nimekwama kutokana na hali ya kimaisha kuwa mbaya
Zile za miguu mitatu?Nunua bajaji ya mizigo utanishukuru
Soma kwanza kisha upate kuelewa ,amekambia muajiliwa yupo kijijinKachukue meza kkoo (biashara ndogo),
Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Sasa kijijini atafungua biashara ya m7 ..Soma kwanza kisha upate kuelewa ,amekambia muajiliwa yupo kijijin
Uweke mtu atayekuwa ananunua na kuweka kwenye meza kitu husika. Mfano unauza sandals za wadada, vijora, sandals za kiume au jeans inategemea wewe utafanya issue gani.
Cha msingi ujue kupoint vitu vizuri vya kuweka mezani, ni biashara nzuri.
Ya Gas ni poa pia. Maana hela yako itanunua vifaa. Hivyo. Mkifunga gas tu gari tayari unajua faida ako.
Hamna kauli nimesema amuachie mtu. Hiyo ni juu yake na mipango yake.Unamdanganya
Yaani yeye akae kijijini amuache mtu mezani kariakoo?
Nipo nimekaa pale…..
Endelea kusave site hakujatulia sabbau vijana sio waaminifu,ukiwa tayari wekeza kwenye small apartment za kupangisha mtu mmoja mmoja ,usiwe na haraka.Mimi ni mwajiriwa niko maeneo ya Kijijini
Nina kahela nmesave sh milioni 7 nataka nizungushe kanipatie faida
Biashara gani itanifaa maana huku nilipo mzunguko wa hela ni mdogo.
Napata wakati mgumu
Hamna kauli nimesema amuachie mtu. Hiyo ni juu yake na mipango yake.
👎🏼“Umuweke mtu “
Akishamuweka huyo mtu siyo amemuachia?
Unaenda kupigwa very soonETI 'nina mtu toka Turkey anataka kuekeza ktk madawa na biashara nyingine ila alinihitaj mimi nianze kwa chochote ila nimekwama'
FANGASI WEWE
ndio mana tukanza na neno "eti'Unaenda kupigwa very soon
Upo kijiji gani mwl, tuanzie hapo tukupe ushauri uanze na mtaji wa 1m kwanza.Mimi ni mwajiriwa niko maeneo ya Kijijini
Nina kahela nmesave sh milioni 7 nataka nizungushe kanipatie faida
Biashara gani itanifaa maana huku nilipo mzunguko wa hela ni mdogo.
Napata wakati mgumu