Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana jaribu fursa nyingine hata za mitaji midomidogo mfano nguo, urembo,viatu, chakula ...Nashkuru sana tatizo niko maeneo yenye mvua chache kilimo ni kubahatisha mnoo
Nlijaribu lkn kilichonikuta😭
Kama ni unataka uzungushe wewe binafsi inabidi uangalie biashara kutokana na mazingira uliyopo, kwa kijijini biashara ya mazao inaweza kuwa vizuri, unaenda mjini unatafuta tenda ya mazao maofisi yapo unakuwa supplier wao, kama unaweza kutusupply mazao karibu.Mimi ni muajiriwa niko maeneo ya kijijini
Nina kahela nmesave sh mil 7 nataka nizungushe kanipatie faida
Biashara gani itanifaa maana huku nilipo mzunguko wa hela ni mdogo.
Napata wakati mgumu
Tulia wewe Dada, binti mbona hutulii? Wewe ndio umeomba ushauri hapa? Punguza shobo, ndio maana huna hata akili ya kubuni ID yako ukaamua kucopy yangu.Haya ndio mawazo yako, sio
Aseee. Yani wewe ndio unasema umeshika dini? Uislam unafundisha watu kutoa ushauri wa aina hii?uza sigara .
Kuliko unavyofahamu namwambia kitu ambacho kipo.Gesi unaijua wewe
Kama hutaki usifanye.Aseee. Yani wewe ndio unasema umeshika dini? Uislam unafundisha watu kutoa ushauri wa aina hii?
Biashara za kidogokidogo ni kupoteza muda usimdanganye.... kama hana mtaji wa kueleweka kwa biashara husika bora azidi kujipanga tu si kuanza kwa kubipu.Anza biashara hapohapo kijijini kwenu, uza sigara na pipi, mdogo mdogo tu, huku unaendelea na kazi yako ya sasa.
Usiwe na pupa ya biashara.
Asanteee kwa ushauriAnza biashara hapohapo kijijini kwenu, uza sigara na pipi, mdogo mdogo tu, huku unaendelea na kazi yako ya sasa.
Usiwe na pupa ya biashara.
Kwenye koran wametamka bangeKama hutaki usifanye.
Kiislam huwezi kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa.
Dom maeneo gani?
Fanya biashara ya Nguo za ofisini za wanawake au chakula.
Asanteee sana mkuu ntalifanyia kaziUshauri wangu namba Moja don't usiweke Hela yote kwenye biashara.
Don't keep all eggs in one bucket.
Ushauri namba mbili kwakua huna muda ni heri ukawekeza tu somewhere hata kama utapata faida kidogo lakini pesa Yako unaiona Ile pale huku ukiendelea kuwekeza zaidi
Nimeongea hivi kwa sababu ya mazingira ya kijijini unayoishi.
Utt amis
Fixed account
Bonds
Renting business (vyumba na nyumba za kupanga)
Biashara zinataka muda wa mwenye biashara na mazingira yenye mzunguko mkubwa wa biashara.
Otherwise utaichoma hio Hela in no minute.
Naona umepata fursa mkuuok ni PM binti yangu
[emoji28]ok ni PM binti yangu
haikua kwa nia ovu mkuuNaona umepata fursa mkuu
Sikumaanisha ovu mkuuhaikua kwa nia ovu mkuu
Muelekeze hapa hapa na wengine wapate wazo.haikua kwa nia ovu mkuu