Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wazo zuri pia nakubaliana na weweMuelekeze hapa hapa na wengine wapate wazo.
Au mpaka awe mdada akufate PM
ni vyema kama haikua hivyo kiongoziSikumaanisha ovu mkuu
Sa ukute mtu hajui ata hyo gas ni nn....leo akafunge gas kwny gari....labda akwende shule kwanzaKachukue meza kkoo (biashara ndogo),
Tafuta issue za kufunga gas kwenye magari. Iko top sana saiv ka indorse hiyo hela. Piga kazi.
Sigara ni haramuAnza biashara hapohapo kijijini kwenu, uza sigara na pipi, mdogo mdogo tu, huku unaendelea na kazi yako ya sasa.
Usiwe na pupa ya biashara.
Uharamu wa sigara ni upi?Sigara ni haramu
Ni kileviUharamu wa sigara ni upi?
Duuh sikuwa nafahamu hilo mkuu.Ni kilevi
Hapo sasa kidiniDuuh sikuwa nafahamu hilo mkuu.
Kwahiyo sasa sigara ni haramu kwa dini au Serikali?
Basi auze tu hizo sigara mkuu.Hapo sasa kidini
Asisahau beer kidogo na vitu vya kucheuliaBasi auze tu hizo sigara mkuu.
Wapi imeharamishwa?Sigara ni haramu
Issue sio kufunga. Nimesema aweke hela huko. Wengine watafanya, yeye atapata percent yake. Aweke hela huko. Sio kila biashara lazma ufungue fremu ununue sijui material. No zingine yakupasa uwekeze hela tu. Watu wana elimu zao weka hela wakufanyie.Sa ukute mtu hajui ata hyo gas ni nn....leo akafunge gas kwny gari....labda akwende shule kwanza
09. Ni ipi hukumu ya kuvuta sigara na kuiuza?Wapi imeharamishwa?
firqatunnajia.com
Asantee sanaUshauri wangu nenda UTT kwanza maana upo bush + huna muda wakumanage hiyo Biashara, niamini mimi na amini hiki ninachokwambia UTALIZWA VIBAYA MNO
Hiyo hela unaenda kuigawa kwa vijana wa Hovyo Bora Uingize kwenye kilimo hukohuko kijijini?Itakuwa rahisi kufuatilia nikimuweka mtu mana kama nilivyoeleza niko bush kikaz
Anza biashara hapohapo kijijini kwenu, uza sigara na pipi, mdogo mdogo tu, huku unaendelea na kazi yako ya sasa.
Usiwe na pupa ya biashara.
Kama hutaki usifanye.
Kiislam huwezi kuharamisha kitu ambacho hakijaharamishwa.