Miaka mia mbona michache sana dunia ilivyo tamu hasa ukiwa na helaHabari Wadau ๐ณ
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi ๐
Yaani niishi hadi mwaka 2100๐
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu !!!
Kwahiyo wanaokufa mapema wanakua hawakuwaheshimu Baba na Mama zao?Kuna maandiko sehemu yanasema ukiwaheshimu baba na mama utaishi miaka mingi.
Mental health illness, Kuna Hayati Kiongozi Mkubwa sana idara X alioa Ke watano na bado alidunda zaidi ya miaka 100.Ukitaka kufikisha hiyo miaka ni simple sana USIOWE/KATAA NDOA
Kuwa na wake wengi mwanawane na maziezi kwa wingiHabari Wadau ๐ณ
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi ๐
Yaani niishi hadi mwaka 2100๐
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu !!!
Habari Wadau ๐ณ
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi ๐
Yaani niishi hadi mwaka 2100๐
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu !!!
Acha kutuogopesha aiseKwa member wote wa jf hakuna atakayetoboa mwaka 2100
Kwani wanaposema ukisoma utapata ajira kila asiye na ajira hajasoma?Kwahiyo wanaokufa mapema wanakua hawakuwaheshimu Baba na Mama zao?
Hakikisha unakula chakula asliia nakujishughulisha mfano kulima, (mjini inabidi ufukuze upepo), halafu usichimbe chimbe migodiHabari Wadau ๐ณ
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi ๐
Yaani niishi hadi mwaka 2100๐
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu !!!
Sasa ataishijeHakikisha unakula chakula aslia nakujishughulisha mfano kulima, (mjini inabidi ufukuze upepo), halafu usichimbe chimbe migodi
Kwa member wote wa jf hakuna atakayetoboa mwaka 2100
Amri hiyo inawahusu waisraeli wa kale .Katika nchi ya Israel ya kale "mtu yeyote akimtukana baba yake, akimtukana mama yake alipaswa kuuwawa"Waefeso 6:2-3
โWaheshimu Baba na mama yako,โ hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani, โUpate fanaka na kuishi miaka mingi duniani.โ
Amri ya tano inasema, โWaheshimu baba yako na mama yako, siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wakoโ ( Kutoka 20:12 )
Hakika nimeelewa!Inawezekana kabisa. Ali Hassan Mwinyi alifikisha 98.
Jitahidi, pamoja na masuala mengine ya msingi kama mazoezi, ule angalau apple mbili kila wiki, utakuja kunishukuru.
1. Dhibiti kabisa kiwango cha uzito wako (maana yake uzingatie sana mlo wako). Watu wengi wanaanza kwanza kufa tumboni kabla ya kufa nafsini. Sijui unanielewa?
2. Akili yako isiwe na msongo kupitiliza na wala isikae bila kazi yoyote (kumbuka kwamba msongo ni mzuri kama hauvuka wastani wake.)
3. Jijenge kiroho, kimwili, kitaalama, kijamii, kiuchumi na kimkakati.
4. Jihadhari na pollutions - noise, light pollution, dust/air, media, psychological, etc.
5. Jiulize kila siku sababu ya kuishi - unategemea kuacha alama gani duniani? Ukipewa miaka 100, mwingine akapewa 30, kuna tofauti? Usiishi ili tu ishie baadaye, bali ishi ili uishi daima. Sijui unanielewa?