Nina ndoto za kuja kuwa Director mkubwa Afrika Mashariki na Kati

Nina ndoto za kuja kuwa Director mkubwa Afrika Mashariki na Kati

Mkuu naamini naamini
Mkuu kuna mambo yanafanyika mpaka nashangaa..
Mwanazoni nilikua najua kama bahati tuu ila sasa nimeona ni kitu serious...

IMANI ni kitu kingine kabisa mkuu.
Kuna jambo huwa natamani ku share ila naona kama hi code ikijulikana na watu wengi basi ile survive for fittest itakua applied...

Maana inawezekana wkatokea watu kama 200 wakatumia hi kitu then what happn ni compitation..

Au katika hayo mambo hakuna iyo.ishu mkuu..
Nataka ni share kitu hapa kuhusu MUDA mkuu japp nilisema sitokuja kusema maana ridhiki yangu yote kwa sasa ime depend on that...

Kwa sasa situmii nguvu baada ya kujua kitu kuhusu MUDA
Leta mkuu, unitag kbsaa.
 
Ameen..
Naamini nafata muongozo ipasavyo
Nina passion hiyo katika entertainment( producer naweza
Director naweza)
Tatizo sasa linakuja ukichek wenzetu wazungu hasa katika utumiaji wa GREEN SCREEN, then sisi bado tuna hangaika na mambo ya locations, naona moto, ukizingatia bajeti.
 
Nina passion hiyo katika entertainment( producer naweza
Director naweza)
Tatizo sasa linakuja ukichek wenzetu wazungu hasa katika utumiaji wa GREEN SCREEN, then sisi bado tuna hangaika na mambo ya locations, naona moto, ukizingatia bajeti.
Mkuu hivi ujue hapa bongo mpaka sasa ishu ya VFX bado sana an hiyo green effect ni kipengele..

Hata huko vyuoni wanavyofundisha ni tofauti kabisa ila naimani kama ikipatikana capital na wakakusanywa watalamu wakaweka team kubwa tunaweza change bongo film industry..

Angalia Nigeria wanavyokimbiza mkuu...
Nigeria wapo moto mno an mpaka unasema hawa watu wanashare na big campany au..
Ila unakuta ni wao wenyewe...

Ila nimesikia ishu ya idris elba kuja kufungua studio Zanzibar sijui itakuwa kweli naona hii itafanikisha kwa kiasi kikubwa ukuaji wa sanaa na tasnia nzima...

Tatizo lingine la bongo ni kukatishana tamaa mapema sana.
Nakumbuka niliwahi kutana na watu wa media flan hvi kubwa hapa bongo daah niliwambia ndoto yangu ila walinicheka sana tena sana aiseeee mpka na mimi nikawa nacheka ...
 
Filamu za Kibongo.
Chumbani, Beach, Supermarket ndio location zake sijui huyu Poor Brain ana idea gani mpya ?
Mkuu idea zipo nyingi..
Kuna location kubao za kufanya kazi ukiachana na hizo set unazosema..

Mkuu nazani unamjua jamaa anaitwa Idris Elba basi nataka nipite anapopita huyo mwamba na kuna kazi takuja kufanya nae hapa Tanzania
 
Mkuu hivi ujue hapa bongo mpaka sasa ishu ya VFX bado sana an hiyo green effect ni kipengele..

Hata huko vyuoni wanavyofundisha ni tofauti kabisa ila naimani kama ikipatikana capital na wakakusanywa watalamu wakaweka team kubwa tunaweza change bongo film industry..

Angalia Nigeria wanavyokimbiza mkuu...
Nigeria wapo moto mno an mpaka unasema hawa watu wanashare na big campany au..
Ila unakuta ni wao wenyewe...

Ila nimesikia ishu ya idris elba kuja kufungua studio Zanzibar sijui itakuwa kweli naona hii itafanikisha kwa kiasi kikubwa ukuaji wa sanaa na tasnia nzima...

Tatizo lingine la bongo ni kukatishana tamaa mapema sana.
Nakumbuka niliwahi kutana na watu wa media flan hvi kubwa hapa bongo daah niliwambia ndoto yangu ila walinicheka sana tena sana aiseeee mpka na mimi nikawa nacheka ...
Maafrica utayaweza mkuu? ndio yalivyo, hayaamini katika universe, hayaamini katika passion.
 
Anza kutengeneza short films, weka youtube tuone

Ndo practice hiyo

Jiunge na film festivals ukutane na watu mbalimbali

Tunaweza tukakutana nina mpango wa kuwa mdau wa documentaries
Safi sana mkuu..
Kumbe we jamaa upo vzri sana mwanzoni nilijua jamaa flani mkorofi mkorofi 😂😂😂😂😂
 
Movie ambazo utazidirect zikiwa na quality kama ya movie za Kanumba zile za "Game 1st quality"... movie zako tutazitazama na utakuwa umefanikiwa kuifufua tasnia ya film bongo.
 
Humu watu wamekomaa na " jina lina reflect image yako" mbona kuna watu wanajiita chma ch mapinduzi ila mapinduzi hatuyaoni.
"Words has power" ndio ila sio kwenye mafanikio. Kwenye mafanikio ni Mindset yako, Support, right people and doing what you love

Sio ukijiita Bill gates ndo utakua tahiri
 
Movie ambazo utazidirect zikiwa na quality kama ya movie za Kanumba zile za "Game 1st quality"... movie zako tutazitazama na utakuwa umefanikiwa kuifufua tasnia ya film bongo.
Mkuu ni swala la mda..
Naitakuja na filamu za next level aiseee...
Kama unafatilia movie za nigeria kuna movie inaitwa blood sisters kaichek ile og kabisa katika ukubwa wa 1080
 
Back
Top Bottom