Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Jina naitwa Dennis R Yesse miaka 32 (2 dec 1991), elimu bachelor of science in economics chuo mzumbe, kwenye uzi huu kama Rais mtarajiwa ntaelezea maono, mipango na sera niliyonayo juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

PROBLEM STATEMENT
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kushindwa kwa serekali kupeleka huduma muhimu za kijamii.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya ukuaji mkubwa wa madeni.


SULUHISHO
  • kujenga viwanda vingi.
WAMACHINGA
Ni-ukweli usiopingika serekali inawachukulia wamachinga kama mzigo na wasiokua na faida na mzigo kupitia sababu zifuatazo;-
  • hawalipi kodi ya moja kwa moja (direct tax)
  • hawamiliki mashine za EFD
  • hawana leseni za biashara
  • wanapanga biashara mbele za maduka ambayo wanalipa kodi
  • wengine wanapanga barabarani na wengine wanatumika na wafanyabiashara kukwepa kodi
  • Wengi sana ni vijana kwahiyo hii nguvu kazi serekali haifaidiki nayo
  • Hawaweki akiba ya uzeeni kupitia mifuko ya akiba na hatari kama hii itapelekea kua na taifa la wazee wengi maskini

Suluhisho sio kuwafukuza kwa kutumia nguvu bali kuwatafutia kazi za uhakika mbadala., Msimamo wangu kuhusu wamachinga ni kama ufuatao;-
  • wasihamishwe maeneo waliyopo kwa kupelekwa huku au kule au kwenye maeneo mapya wabaki maeneo yale yale waliyopo
  • wafuate taratibu zilizowekwa na uongozi wa wamachinga wa eneo husika, na wafuate sheria ndogo ndogo walizojitungia ili usiwe uwanja wa fujo
  • serekali itapambana kujenga viwanda ambavyo vitawaajiri wamachinga na kuwaondoa katika maeneo waliyopo sasa
TANZANIA MODERN ECONOMY OUTLOOK
VISION
  • To become the largest economy in Africa in term of industrial output, gdp, and ppp
MISSION
  • To invest heavily on industrilization as a way of achieving economy supremacy

MANIFESTO
i) Kuzalisha umeme wa megawatts 1,000,000 (gigawatts 1000) na zaidi za
Umeme, zitashusha gharama za uzalishaji viwandani.

ii)Serekali kushirikiana na sekta binafsi itajenga viwanda zaidi ya laki 1 na nusu (150,000), na kila kimoja kitaajiri wafanyakazi kiwango cha chini wafanyakazi 200 (wa kiwandani na ofisini) na kuendelea
100,000*200=20,000,000 (watu million ishirini)


Kutakua na zone saba nchi nzima ambazo zitakua ni kitovu cha viwanda ili kupeleka maendeleo kila mahali ni kama zifuatazo;-
Mkoa wa KataviSteel & copper, aluminum base materials
Mkoa wa KageraChemical
Mkoa wa ShinyangaClothes, and leather
Mkoa wa singidaBattery and Glass
Dar es salaamAutomobile, home appliances, smartphone, and motorcycle
Mkoa wa kilimanjaroElectric motor, aeroplane engine, compressor, inverter, pump, semiconductor, solar panel, & wind tubine
RuvumaPolymer base materials (Polyethylene, Polypropylene, Polyvinyl Chloride, Polyethylene Terephthalate, Polystyrene, Polyurethane)


Minimum wages itakua sh 2300 (0.90usd) kwa saa na kuendelea kwa wafanyakazi wa viwandani
NINI KIFANYIKE ILI VIWANDA VIWEZE KUDUMU NA KUTEKA SOKO LA DUNIA
Ntaanzisha government agency itakayovipambania viwanda vilivyopo Tanzania ili viteke soko la dunia, na itakua inafanya kazi zifuatazo;-

  • Kutafuta vyanzo vipya vya umeme na kuhakikisha umeme unakua mwingi sana na wa bei nafuu
  • Kuhakikisha viwanda vinapata raw material hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata machine zinazotumika viwandani hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha viwanda vinapata skilled labour hili jukumu hataachiwa mwenye kiwanda pekee yake
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na bei ndogo kwenye soko la dunia ili ziuzike
  • Kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa Tanzania zinakua na ubora ili ziuzike kwenye soko la dunia
FAIDA ZA VIWANDA LAKI MOJA KWA NCHI YA TANZANIA
a) Serekali itakuwa na uwezo wa kukusanya moja kwa moja usd billion 100 (Tsh trillion 250,000,000,000,000) kutoka kwenye viwanda tu; hapo sijaongelea sektor nyingine ambazo kupitia multiplier zitaguswa na viwanda indirect na zitaongeza pato la nchi

b) Viwanda Vitakuwa vinamilikiwa na familia tofauti tofauti za wazawa (watanzania), kwa gharama kubwa sana serekali itawapigania kwa nguvu zote wazawa kumiliki viwanda lengo ni uchumi kumilikiwa na wazawa na sio wageni

c) Viwanda vitaondoa sekta ambazo sio rasmi (informal sector)kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda zaidi ya laki 1
Njia ya kuwaondoa wamachinga, wauza mitumba, bodaboda, wapiga debe ni kujenga viwanda vingi ili waajiriwe na wawe na uhakika wa pension wanapofikia miaka 60 na zaidi
Sasa hivi watu wanaojihusisha na sekta ambayo sio rasmi hawana pension au akiba yeyote itakayowasaidia pale watakapokua wazee

d) Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka tu automatical sababu kutakua na hela ya kuziondoa na watu watakua na kazi za uhakika na hii itaenda sambamba na kupanga kisasa nchi nzima kisasa na nyumba na majengo yatakua na mfumo unao-fanana ili miji yetu ipendeze sio kila mtu anajenga jenga namna anavyotaka

e) Kutakua na wigo mkubwa wa walipa kodi sababu watu wengi watakua wanajihusisha na kazi rasmi

f) Miradi yote mikubwa ya ujenzi itajengwa na kampuni za wazawa; najua hawana uzoefu ila serekali itawawezesha wawe na uzoefu kikubwa ni ela kubakia hapa hapa nchini

g) Gharama za kujenga nyumba zitakua chini sana serekali kushirikiana, na sekta binafsi watajenga nyumba na kuwauzia watu wa hali ya chini na kipato cha kati- kipato cha juu watajenga wenyewe
h) Viwanda vitaongeza watu wa kipato cha kawaida (Middle class) maradufu tofauti na ilivyo sasa



Karibu tuandike historia mpya ya Tanzania nchi itakayokua na uchumi mkubwa Afrika nzima
Unataka kurogwa?
 
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kuwepo kwa deficit kwenye budget.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya madeni.
Umewahi kujenga nini maishani kwako? Kampuni, duka,shamba, NGO, nk?
Au, unatafuta ajira?
Kama hujawahi, kujenga chochote maishani, huna elimu mzito(kama nyerere),
Hapo mtaani kwenu unaongoza nini? Unafahqmika kwa lipi? Umetatua nini?
Au, bado unasumbyliwa na bando,pango, na pesa ya kuhonga demu!?
 
Umewahi kujenga nini maishani kwako? Kampuni, duka,shamba, NGO, nk?
Au, unatafuta ajira?
Kama hujawahi, kujenga chochote maishani, huna elimu mzito(kama nyerere),
Hapo mtaani kwenu unaongoza nini? Unafahqmika kwa lipi? Umetatua nini?
Au, bado unasumbyliwa na bando,pango, na pesa ya kuhonga demu!?
Ahsante kwa kushiriki
 
NINI KIFANYIKE ILI KUONDOA HIZI SQUATER
  • Kupima nchi nzima
  • Ni sheria kujenga kwa kufuata utaratibu ulioweka na ni kosa kujenga hovyo hovyo pasipokufuata utaratibu mfano guest hazitajengwa hovyo hovyo, bar hazitafunguliwa hovyo hovyo n.k
  • Vifaa vya ujenzi vitakua viwe bei ya chini sana mfano cement inatakiwa iwe elfu tatu kwa mfuko, kazi ya serekali ni kuhakikisha vifaa vya ujenzi vinakua bei rahisi sana
 
Viwanda vya kutengeneza aluminium na copper wire coil vitakua mkoa wa songwe ambao ni karibu na maligjafi inapotokea zambia na drc congo
 
Rasilimali za congo zinatakiwa kutumika Tanzania kama malighafi za viwanda
 
Kiongozi mzuri ni yule anayejua kutengeneza fedha/mapato kupitia njia sahihi
Kiongozi ambaye hajui kutengeneza vyanzo vipya vya mapato ataitumbukiza nchi kwenye madeni na misaada ya kidhalilishaji

Mimi Dennis R Yesse ninauwezo wa kutengeneza vyanzo vipya vya mapato
 
Polymer base materials kama Polyethylene, Polypropylene, Polyvinyl Chloride, Polyethylene Terephthalate, na Polystyrene, Polyurethane zitakua zinazalishwa hapa nchini kwa bei ya chini zaidi ya soko la dunia na sio kua-imported kama ilivyo sasa
 
Miji yote Tanzania inatakiwa ipimwe kuwe na public garden kila baada ya makazi ya watu elfu 10-20, kuwe sehemu za michezo, kuwe na shule zenye miundombinu mizuri, kuwe na hospital zenye miundombinu mizuri na misafi, kuwe na pavement sehemu za makazi ya watu ili kusiwe na vumbi kama ilivyo sasa

Miji yetu nayo iwe mizuri na sio mibaya kama ilivyo sasa
 
Kujenga oil refinery itakayokua na uwezo wa kuzalisha mapipa million 10 na zaidi kwa siku na kuzalisha petrochemical ambazo ni moja ya msingi wa viwanda
 
Viwanda vinahitaji miundombinu bila ya kuwa na miundombinu ya viwanda ni vigumu sana kwa nchi za afrika kuwa na viwanda sababu hakuna miundombinu ya viwanda ambayo huvutia waekezaji.

SEREKALI LAZIMA IJENGE MIUNDOMBINU YA VIWANDA HAKUNA NJIA YA MKATO
  • Kosa kubwa sana kwa nchi za kiafrika ni kutokujenga na kumiliki miundombinu ya viwanda- ni hatari sana miundombinu ya viwanda kumilikiwa na wageni au waekezaji binafsi hawa ni rahisi sana kuihujumu.
  • Si sawa kwa serekali kuandaa tu sera na kukaa ofisini huku wakisubiri waekezaji mambo sio marahisi hivyo muwekezaji unatakiwa umuelezee ni jinsi gani ni nafuu kuzalisha bidhaa Tanzania na sio nchi nyingine kimahesubu na sio kinadharia.
  • Nchi za gulf zimefanikiwa sababu miundombinu ya viwanda ya kuzalisha mafuta wanamiliki serekali na sio wageni au watu binafsi.
  • Nchi za western viwanda vinazidi kupungua kwa speed kubwa sababu miundombinu ya viwanda waliwaachia sekta binafsi na hata serekali zao zimejaribu kuwapa subsidy ila zimewafaidisha wamiliki wa stock wa hizo kampuni.

Nikiwa rais ntafanya mambo yafuatayo kama sehemu ya kujenga miundombinu ya viwanda- serekali itajenga viwanda vifuatavyo na kuvumiliki​

  1. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata bauxite kutoka zambia na congo ambayo itatoa pure aluminium ya bei nafuu zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini zaidi ya wale wa nje kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za aluminium.
  2. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata raw copper kutoka zambia na congo na kuwa pure copper cathode za bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za copper.
  3. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata iron ore, cooking coal (coke) na limestone na kuwa pig iron za bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za steel.
  4. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata cotton, wool, na kuwa yarn zenye ubora na bei bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza fabrics za aina mbalimbali.
  5. Kujenga kiwanda kikubwa cha kutengeneza silicon wafer zenye ubora wa hali ya juu, na zitakua na bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini, wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza chips na semiconductor mbalimbali.
  6. Kutengeneza oil refinery kubwa ya kuchakata crude oil ambayo itazalisha bidhaa mbalimbali watakaouziwa waekezaji kwa ajili ya kuzalisha bidhaa mbalimbali.
  7. Kutengeneza kiwanda cha kuchakata gold (smelting na refining) kwa bei nafuu sana, na gold yeyote inayozalishwa Tanzania haitashafirishwa kama malighafi tena nje ya nchi kwa ajili ya kufanyiwa smelting na refining.
Ukiwa na miundombinu hiyo saba ni rahisi sana kuvutia wawekezaji na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda

MIRADI ENDELEVU
  • kuongeza megawatts za umeme maradufu na huu utakua mradi endelevu
 
Ninakusikitikia sana kijana naona hujipendi kwa figisu za wanasiasa wa nchi hii nakuhakikishia hata ukuu wa wilaya hutaupata.Kwa mambo ya siasa ya nchi hii usipende kuweka wazi wishes zako.
 
Malengo yangu ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni lini sijui ila naamini ntakua Rais. Jina naitwa Dennis R Yesse miaka 32, elimu bachelor of science in economics chuo mzumbe, kwenye uzi huu kama Rais mtarajiwa ntaelezea maono, mipango na sera niliyonayo juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

PROBLEM STATEMENT
Changamoto kubwa inayoikumba Tanzania na nchi nyingi za Afrika ni kama zifuatazo;-
i) Uwepo wa walipa kodi wachache sababu watu wengi wanajihusisha na informal sekta kwa hiyo wengi hawalipi income tax na kodi nyingine.

ii) Kwa sababu kuna walipakodi wachache imepelekea nchi nyingi kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile na hii imepelekea kuumiza wananchi wengi.

iii) Kiwango cha kodi kinachoongezeka hakiendani na ongezeko kubwa la watu na mahitaji yao hivyo kushindwa kwa serekali kupeleka huduma muhimu za kijamii.

iv) Kwa sababu wigo wa kodi ni mdogo imezilazimu nchi nyingi za africa ikiwemo Tanzania kukopa ili waweze ku-finance budget zao na kuleta changamoto nyingine ya ukuaji mkubwa wa madeni.


SULUHISHO
  • kujenga viwanda zaidi ya 151,000+.
Viwanda vinahitaji miundombinu bila ya kuwa na miundombinu ya viwanda ni vigumu sana kwa nchi za afrika kuwa na viwanda sababu hakuna miundombinu ya viwanda ambayo huvutia waekezaji.

SEREKALI LAZIMA IJENGE MIUNDOMBINU YA VIWANDA HAKUNA NJIA YA MKATO
  • Kosa kubwa sana kwa nchi za kiafrika ni kutokujenga na kumiliki miundombinu ya viwanda- ni hatari sana miundombinu ya viwanda kumilikiwa na wageni au waekezaji binafsi hawa ni rahisi sana kuihujumu.
  • Si sawa kwa serekali kuandaa tu sera na kukaa ofisini huku wakisubiri waekezaji mambo sio marahisi hivyo muwekezaji unatakiwa umuelezee ni jinsi gani ni nafuu kuzalisha bidhaa Tanzania na sio nchi nyingine kimahesubu na sio kinadharia.
  • Nchi za gulf zimefanikiwa sababu miundombinu ya viwanda ya kuzalisha mafuta wanamiliki serekali na sio wageni au watu binafsi.
  • Nchi za western viwanda vinazidi kupungua kwa speed kubwa sababu miundombinu ya viwanda waliwaachia sekta binafsi na hata serekali zao zimejaribu kuwapa subsidy ila zimewafaidisha wamiliki wa stock wa hizo kampuni.

Nikiwa rais ntafanya mambo yafuatayo kama sehemu ya kujenga miundombinu ya viwanda- serekali itajenga viwanda vifuatavyo na kuvumiliki​

  1. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata bauxite kutoka zambia na congo ambayo itatoa pure aluminium ya bei nafuu zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini zaidi ya wale wa nje kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za aluminium.
  2. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata raw copper kutoka zambia na congo na kuwa pure copper cathode za bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za copper.
  3. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata iron ore, cooking coal (coke) na limestone na kuwa pig iron za bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza bidhaa mbalimbali za steel.
  4. Kujenga kiwanda kikubwa cha kuchakata cotton, wool, na kuwa yarn zenye ubora na bei bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza fabrics za aina mbalimbali.
  5. Kujenga kiwanda kikubwa cha kutengeneza silicon wafer zenye ubora wa hali ya juu, na zitakua na bei ya chini zaidi kwenye soko la dunia, watauziwa wawekezaji wa ndani bei yao itakua chini, wa nje itakua juu kidogo kwa ajili ya kutengeneza chips na semiconductor mbalimbali.
  6. Kutengeneza oil refinery kubwa ya kuchakata crude oil ambayo itazalisha bidhaa mbalimbali watakaouziwa waekezaji kwa ajili ya kuzalisha bidhaa mbalimbali.
  7. Kutengeneza kiwanda cha kuchakata gold (smelting na refining) kwa bei nafuu sana, na gold yeyote inayozalishwa Tanzania haitashafirishwa kama malighafi tena nje ya nchi kwa ajili ya kufanyiwa smelting na refining.
Ukiwa na miundombinu hiyo saba ni rahisi sana kuvutia wawekezaji na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda

MIRADI ENDELEVU
  • kuongeza megawatts za umeme maradufu na huu utakua mradi endelevu
KULINDA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Ni ukweli usipopingika Tanzania na nchi nyingi za kiafrika rushwa ni tatizo kubwa sana na ndo moja ya sababu kubwa sana kwa kuwa maskini mfano kuna nchi yenye mafuta mengi Afrika ila refinery zao zote za oil hazifanyi kazi mpaka anakuja mwekezaji binafsi anajenga refinery na bado wanataka tena kumfanyia fitna
Ntafanya mambo yafuatayo kama jitihada za kulinda msingi wa viwanda Tanzania
  • Kuwekeza haswa kwenye tafiti za kuongeza ubora na kupunguza gharama za uzalishaji bidhaa Tanzania
  • Rais kutokuchagua majaji wa mahakama kuu ili mahakama kuwa huru kumshughulikia yeyote yule atakayejaribu kukwamisha jitihada za viwanda na kuvunja sheria sahivi.
  • Dpp kuchaguliwa na wananchi na sio kuteuliwa na Rais hii itampa uhuru wa kufanya kazi zake bila kuingiliwa. Uchumi wa viwanda unahitaji umakini mkubwa sana., DCI, mkuu wa takukuru, kamishna wa kupambana na dawa za kulevya watakua chini ya ofisi ya DPP.
  • Msajili wa vyama vya siasa, mkuu wa tume ya uchaguzi kuchaguliwa na umoja wa vyama vya siasa na sio Rais hii itaepusha kuchaguliwa viongozi ambao wanauwezo mdogo na kuondoa hali ya tume ya uchaguzi kupendelea upande mmoja na hii itaepusha sana vurugu za uchaguzi.
Mawazo mazuri tatizo siasa
 
Ninakusikitikia sana kijana naona hujipendi kwa figisu za wanasiasa wa nchi hii nakuhakikishia hata ukuu wa wilaya hutaupata.Kwa mambo ya siasa ya nchi hii usipende kuweka wazi wishes zako.
Mimi sihitaji ukuu wa wilaya
 
Back
Top Bottom