Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Unahitajika kuwa na Roho kama ya Jiwe, otherwise ni walewale wanaokuja kupiga Sera , wakishapewa viti wanaweka mipango pembeni, wanaangalia pa kupigia pesa .

Mipango hata Mama anayo, ukihudhuria vikao vyake utaisikia hiyo mipango inavyopangwa, Angalia sasa utekelezaji "F" ila maneno Mengi .

JPM akikwambia Namtimua fulani, naleta Soko, Flyover, SGR, Mradi wa umeme, kinachofuata ni vitendo ... By anymeans hata Mikopo ya Kausha damu .

Je umeshachukua hatua gani mpaka sasa itayoweza kukusogeza kwenye kugombea Uraisi?
 
Kuna point unapaswa kuambiwa ukweli kwamba
1. Huwezi kuwa rais wa tz nje mfumo wa vyama vya siasi
2. Huwezi wekeza pato 70% kwenye viwanda
3. Huwezi kua na viwanda huku huna ama una wataalamu watalaamu wachache
4. hiyo rawa material kuitoa nje uichakate then uuze kwa bei ya chini ni biashara kichaa
5. Kutengeneza chip ni uongo
6. Kufuta wilaya ni kutesa wananchi wako kupata huduma

kama ulikua unaandika eassy points unazo otherwise amka tujenge nchi
Hataki kuambiwa ukweli huyu mwache aendelee kushusha notes labda rais anaweza akamuona ana kauzalendo akamvuta hata kakitengo ndani ya TIC au wizara ya viwanda akahojiwe atafanyaje hayo bila kushirikisha private sector..
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru miaka 32, elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Serikali itatoa ruzuku kwa ununuzi wa mitambo mikubwa ya viwandani mfano CNC machine, stamping dies, robots za viwandani, n.k
Karibu uchangie maoni yako
nimechukua maoni yako ntaifanyia kazi nagombea mwakani
 
Hongera ila kwa ushauri wangu anza kwanza na level za ubunge ndivyo siasa za taifa letu zilivyo..labda kama unatafuta huruma viongozi wakuone hapa ndani endelea kutushushia notes ulizokariri hivyo ...mambo sio rahisi hivyo...sekta binafsi ndo inayojenga taifa uchumi wa sasa si unaujua lakini
Kwani ni kosa mtu kuonyesha nia yake
Changamoto ya watanzania ni waoga sana nauhakika hata wewe siku mtoto wako akikuambia anatakakua flani lazima utamfokea

Jamii ya kitanzania na kiafrika ni kosa kubwa kuwa na ndoto na ndo kitu watawala wanachopenda
 
Kwani ni kosa mtu kuonyesha nia yake
Changamoto ya watanzania ni waoga sana nauhakika hata wewe siku mtoto wako akikuambia anatakua flani lazima utamfokea

Jamii ya kitanzania na kiafrika ni kosa kubwa kuwa na ndoto na ndo kitu watawala wanachopenda
Sasa wewe umeonyesha tu nia ila njia za kufikia hutaki tukushauri ..hata ebu tueleze njia zako utafikaje pale kwenye urais??maana kwa sasa mgombea binafsi hatakiwi
 
Unahitajika kuwa na Roho kama ya Jiwe, otherwise ni walewale wanaokuja kupiga Sera , wakishapewa viti wanaweka mipango pembeni, wanaangalia pa kupigia pesa .

Mipango hata Mama anayo, ukihudhuria vikao vyake utaisikia hiyo mipango inavyopangwa, Angalia sasa utekelezaji "F" ila maneno Mengi .

JPM akikwambia Namtimua fulani, naleta Soko, Flyover, SGR, Mradi wa umeme, kinachofuata ni vitendo ... By anymeans hata Mikopo ya Kausha damu .

Je umeshachukua hatua gani mpaka sasa itayoweza kukusogeza kwenye kugombea Uraisi?
Watu wengine kushindwa jambo flani halikuzuii wewe kulifikiria na kulifanya

Changamoto kubwa ya waafrika ni uoga na kukata tamaa au jambo mtu akiona hawezi kufanya atahakikisha kila anayetaka kufanya anamkatisha tamaa
 
Sasa wewe umeonyesha tu nia ila njia za kufikia hutaki tukushauri ..hata ebu tueleze njia zako utafikaje pale kwenye urais??maana kwa sasa mgombea binafsi hatakiwi
Hakuna ajuaye kesho au mwakani nini kitatokea au baada ya miaka 5 nini kitatokea na hakuna lisilowezekana chini ya dunia

Usiogope kufeli sababu ni sehemu ya maisha ya binadamu kikubwa hujavunja sheria ya nchi
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru miaka 32, elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Serikali itatoa ruzuku kwa ununuzi wa mitambo mikubwa ya viwandani mfano CNC machine, stamping dies, robots za viwandani, n.k
Karibu uchangie maoni yako
Wazo zuri tatizo ni jamii tuliyo nayo hadi mafuvu yarudishiwe akili, ni jamii ya bora liende ama kanyaga twende tuseme bendera fuata upepo, jamii ambayo ikilishwa fikra chanya na hasi haiwezi kupambanua, wanao pewa dhamana baadhi ni wajinga wengine wamekubali kuongoza taifa kwa unyumbu wa kisiasa,

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo, kwasasa uchawa
 
Wazo zuri tatizo ni jamii tuliyo nayo hadi mafuvu yarudishiwe akili, ni jamii ya bira liende ama kanyaga twende tuseme bendera fuata upepo jamii ambayao ikilishwa fikra chanya na hasi haiwezi kupambanua, wanao pewa dhamana baadhi ni wajinga wengine wamekubali kuongoza taifa kwa unyumbu wa kisiasa, unyumbu wa kisiasa ni tabia ya dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza, kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), a.k.a kujizima data tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo
Mimi baada ya kuona hali ya viongozi wetu walivyoo hawana mpango wowote wa kuwatoa wananchi kwenye umaskini niliona nikosa kubwa sana kwa sisi vijana kuendelea kukaa nyuma ni hatari sababu viongozi waliopo wanapigania maslai ya familia zao

Mfano nchi inaweza tumia tsh billion 100 tu kutengeneza refining ya gold na makinikia yakawa hayapelekwi kufanyiwa refining nje ya nchi serikali itakuambia haiwezi lakin kila mwaka wanatenga tsh billion 300 kununua magari ya kifahari sasa ukiangalia hapo siuna ona kuna tatizo kubwa
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru miaka 32, elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Serikali itatoa ruzuku kwa ununuzi wa mitambo mikubwa ya viwandani mfano CNC machine, stamping dies, robots za viwandani, n.k
Karibu uchangie maoni yako
Ni kweli una malengo mazuri ila nakukumbusha ukomo wa uongozi ni miaka 5
 
Watu wengine kushindwa jambo flani halikuzuii wewe kulifikiria na kulifanya

Changamoto kubwa ya waafrika ni uoga na kukata tamaa au jambo mtu akiona hawezi kufanya atahakikisha kila anayetaka kufanya anamkatisha tamaa
Waafrika sio waoga, Acha kua mtu wa excuses , kwani Jiwe alikua Mu-asia, Wale wakenya walioandamana ni wa US?


Kukata tamaa kwa wananchi kunatokana na viongozi kushindwa kusimamia ahadi walizotoa na kuangalia namna ya kutupiga tu punde wakipata nafasi, mfano wa ahadi ni hizo ulizoorodhesha mwishowe wanachangia ugumu wa Maisha kwa percent kubwa!!


Halafu usiruke maswali hujajibu hili swali "Umechukua hatua zipi mpaka sasa zinazokusaidia wewe kufikia Lengo la kua Raisi na je ni Yepi unayoyafanya ambayo hata waliokuzunguka wanakuona wewe unafaa kua kiongozi ?
 
Mimi baada ya kuona hali ya viongozi wetu walivyoo hawana mpango wowote wa kuwatoa wananchi kwenye umaskini niliona nikosa kubwa sana kwa sisi vijana kuendelea kukaa nyuma ni hatari sababu viongozi waliopo wanapigania maslai ya familia zao

Mfano nchi inaweza tumia tsh billion 100 tu kutengeneza refining ya gold na makinikia yakawa hayapelekwi kufanyiwa refining nje ya nchi serikali itakuambia haiwezi lakin kila mwaka wanatenga tsh billion 300 kununua magari ya kifahari sasa ukiangalia hapo siuna ona kuna tatizo kubwa
Tunatatizo kubwa linalohusu uongozi Tanzania, ndiyo maana nimetumia neno wajinga, na nikweli wengi wanaopewa dhamana ni wajinga wanafanya maamuzi ya hovyo, darasani, (in entrepreneurship) tunajifunza kwamba asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yana mtegemea mjasiriamali na aslimia 20 ni mjasiriamali na yanayo mzunguka, (the entrepreneur and his her environments), lakini hii aslimia 20 ina nguvu hata ya kuua biashara , endapo jamii itaendelea kunyamaza

Silence surrenders public responsibilities
 
Hongera kwa nia nzuri.

Maswali yangu kwako kupima uwezo wako!

1. Utafanikishaje ujenzi wa viwanda laki 1 ndani ya miaka 10 tu?

2. Utafanikishaje sekta zisizo rasmi kuajiliwa kwenye viwanda wakati hawana ujuzi wa kufanya kazi kwenye viwanda?
Mimi nimemwelewa sana huyo kijana pamoja na andiko lake;Kusudio la andiko lake ni hili hapa:
1:Ukweli Wala Hana Nia kabisa ya kugombea urais , kwakuwa hata Katina inataka angalau awe na umri wa miaka 40
2:Baada ya kumaliza masomo yake pale Mzumbe Kuna mwanga flani kaupata kuhusu viwanda kitu ambacho ni kizuri ingawa sina hakika kama kafanyia tafiti hayo yote aliyoandika,ila uchambuzi wake ni mzuri
3:Anafahamu fika hata wasaa huo wa kupendekezwa au kuchukua fomu kwake ni jambo gumu, ila anatamani hao watu wanaopewa au watakaochaguliwa kuongoza hii nchi waone hizo fursa za kiuchumi upande wa viwanda
4:Anajua fika nchi hii Ina wabunge,mawaziri, makatibu wakuu, wadau Mbali Mbali hata raia wa kawaida kwani hawapiganii hizo fursa? Lakini kwanini pia nchi inaachwa iongozwe Kwa misingi hii iliyopo na mifumo iliyopo ya kiuchumi kisiasa na kijamii?
Anatamani Hali hiyo iungwe mkono na kupiganiwa inadilike.
 
Ndoto nzuri,Mungu akusaidie na mikakati pia mizuri nimeona.Sema nini hujagusia Maslahi ya Viongozi wastaafu 😂,Hao jamaa kama hujagusia maslahi yao sahau wanaftina balaa
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru miaka 32, elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Serikali itatoa ruzuku kwa ununuzi wa mitambo mikubwa ya viwandani mfano CNC machine, stamping dies, robots za viwandani, n.k
Karibu uchangie maoni yako
Wewe ni mtu na nusu.
Anza kuwaza kisiasa kwanza ili uonekane na kuvumbuliwa na wapigakura
 
Back
Top Bottom