Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Asante kwa wazo.
64m napata Fuso la kuanzia? Na je, Fuso moja inaweza nipa return nzuri ya kuonekana? Unaweza nipa insights zaidi?
Usijaribu biashara hii kichaa, utamnufaisha dereva.

Wekeza UTT mfuko wa wekeza maisha kwa miaka kumi. Kila mwaka utapata interest ya 30% ukiwa umekaa bila kufanya kazi. UTT hautojuta.
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
ebu nisaidie milion 1 ntakushukuru sana sana TheCrocodile said
 
Nunua eneo kubwa nje ya mji kama Nala au michese....chimba kisima...M15 inakutosha kabisa na apo umenunua na jenereta incase umeme ukikatika......haya chimba bwawa la samaki(mawili ili ufuge samaki aina mbili na kambale wakiwemo)....weka drip irrigation...jenga kijumba kidogo cha msimamizi..hapo roughly itafika M30....chukua M8 nenda kwa doctor bajaji hapo chukua TVS mpya ...hii itakusaidia kama passive income ili usilie lie njaa..na pia usiguse kiasi kilichobaki kwenye m64 ....kumbuka utakua umebaki na M16, imetulia..hii mpaka ifike miez ,6 utakua umepata akili ya wapi uiwekeze

NB: kwakua umekiri wazi hujawah fanya biashara..wewe huhitaji biashara za kuumiza kichwa kwakua pia usimamizi wako utakua mdogo...

Ukipata hela yeyote kwenye sources zako anza biashara ya kujenga Nyumba za kupangisha au nunua government bonds
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Shika namba 1 na namba 4
 
Tv huwa zinakodishwa kwenye kumbi za sherehe au yale matukio makubwa yanayojumuisha watu wengi kwenye kumbi maalumu. Kwa hapa mjini watu ambao wanafanya kazi za kurekodi video kwenye matukio huwa wanakodi hivyo vifaa.
Tatizo haielekei kuwa long run business na vigumu kufanya profit projection na hata kupima growth yake. I wish the man should not buy this idea!
 
Ngoja nkuambie, sijui km umeshaambiwa..kimbia haraka na 50m kawekeze UTT ama zile Bonds za serikali utanishukuru.

hyo ingine chagua wazo moja hapo lisilo na mtaji mkubwa na anza na 5m. Tuliza akili yako kabisa.
Fafanua kidogo, wazo hili mkuu

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Wazo namba 1 ni zuri zaid. Ila Kuna muda utahitaji kwenda vijijini kutafuta mbuzi ww mwenyewe, Je, muda wako utaruhusu hilo moja la kufikilia.

Sehem ya michezo ya watoto ni nzuri pia Ila uwe mvumilivu kweny pesa tako ya mtaji kurudi.

Me nafikilia uendelee kufikilia zaid na zaid na chochote utachofikilia fikilia pia changamoto zake na mazingira yako ya kazi yataruhusu ww kuangalia biashara yako muda ambao unaweza itajika pia kazini.

Kingine kikubwa zaid kama umeoa na unamwamini mkeo..
Tenga million Kumi mfungulie duka liwe na nafaka na vitu vingine vya muhimu, pia miamala, na gas.
Alfu mwambie hii biashara sio ya kwake ni ya familia kila week uwe unaenda kupiga hesabu.
Biashara ikikua unamtafutia msaidizi.

Huku ww unaendelea kufanya saving kutoka kweny mshahara wako.
 
Tatizo haielekei kuwa long run business na vigumu kufanya profit projection na hata kupima growth yake. I wish the man should not buy this idea!
Fursa ni fursa tu. Ukiweza kutengeneza hela nyingi ndani ta miaka miwili unahamia kwenye fursa nyingine. Mpaka miukumbi yote iweze kuwa na tv zake zitakuwa zimepatikana fursa nyingine. Ila kwa sasa Pesa ipo.
 
Mkuu endelea kusave ifike 150m utengeneze Petro station..kwanza kwasasa tafuta eneo potential Kisha lifanyie urasimishaji andaa 10m kwa ajili ya consultant expert Hadi upate hati akushugulikie hatu zote

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kama hauna shida ya utajiri wa haraka kanunue hati fungani za serikali wakati unaendelea kujitafakari biashara ya kufanya.
Chukua walau ya miaka 5 yenye riba ya 8.6% kwa mwaka.
Hii ni sahihi kabisa, kwa namna alivyojieleza aweke kwenye Govt bond za miaka 20 or 25 atapata return ya kuanzia 12% kwa mwaka, ama aweke UTT liquid fund pia wakati anafikiria vizuri biashara ya kufanya. Active biz inaweza kuwa risk kwake kwa kuwa itahitaji usimamizi wa karibu sana.
 
Hii ni sahihi kabisa, kwa namna alivyojieleza aweke kwenye Govt bond za miaka 20 or 25 atapata return ya kuanzia 12% kwa mwaka, ama aweke UTT liquid fund pia wakati anafikiria vizuri biashara ya kufanya. Active biz inaweza kuwa risk kwake kwa kuwa itahitaji usimamizi wa karibu sana.
Uzuri wa hizi anaweza kuchukua hela yake wakati wowote akiwa amepata biashara nzuri ya kufanya.
 
Back
Top Bottom