Nunua eneo kubwa nje ya mji kama Nala au michese....chimba kisima...M15 inakutosha kabisa na apo umenunua na jenereta incase umeme ukikatika......haya chimba bwawa la samaki(mawili ili ufuge samaki aina mbili na kambale wakiwemo)....weka drip irrigation...jenga kijumba kidogo cha msimamizi..hapo roughly itafika M30....chukua M8 nenda kwa doctor bajaji hapo chukua TVS mpya ...hii itakusaidia kama passive income ili usilie lie njaa..na pia usiguse kiasi kilichobaki kwenye m64 ....kumbuka utakua umebaki na M16, imetulia..hii mpaka ifike miez ,6 utakua umepata akili ya wapi uiwekeze
NB: kwakua umekiri wazi hujawah fanya biashara..wewe huhitaji biashara za kuumiza kichwa kwakua pia usimamizi wako utakua mdogo...
Ukipata hela yeyote kwenye sources zako anza biashara ya kujenga Nyumba za kupangisha au nunua government bonds