Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Mi ndio maana nikishafika tu biashara imeisha! Utajijua mwenyewe kama bado mie napaki basi 😂😂😂 maana nikisema nitafute gia namba 2 ujue utaamkia maji ya vugu vugu na kachumvi kwa mbali! Ni kujikanda tu!

Sipendi kuwatesa sana watoto wa watu maana ile ni burudani sio gymnasium!
Sometimes inabidi especially if nyote mnapita tu.
 
Nimetoa mfano.Ila Delayed Ejaculation ni ugonjwa kama ulivyo premature ejaculation tu.Sababu zipo nyingi puchu, mawazo,pombe,upungufu wa homoni testosterone, kukosa hisia na mtu,kutotarajia unachokiona mf. Bwawa, harufu mbovu, maneno ya kukatisha tamaa.n.k
Delayed inaweza kuwa ugonjwa ila si tatizo kama Pre-ejaculation!

Ndio maana hatutafuti mikongoraa wala hutaskia mtu anaulizia dawa ya delayed maana dawa zote wanazojinywea watu ni sababu ya kusaka delay!
 
Mwendo lazima uwepo ndio maana tunafika safari zetu salama...😎
Ila sensor ziko sawa ukiona hivyo, wanaotupa tabu ni wale wenye vinu used pro max 😂😂😂 inabidi tugeuke waganga wa kutest mitishamba mbali mbali ili kuendana na kasi ya mlimbwende!

Maana unaweza shangaa una end trip af abiria bado anataka trip iendelee!
 
Jaribu kutumia Oil ya Excella 600SX.
😂🐔🐔🤣
1619035066244.png
 
Wakuu salam,

Naombeni ushauri wenu utanifaa sana maana niko kwenye wakati mgumu.
Nina tatizo la kuchelewa au kutofika kabisa kileleni ninaposhiriki mapenzi.

Ndani ya wiki mbili hizi nimegegeda Mara tatu lakini hakuna wazungu kabisa mpaka bi dada anagoma kuendelea na show.

Siku ya kwanza nimegegeda kwa masaa mawili mashine bado inadai, mechi inaisha saba bila godoro halifai limeloa haswa.

Mara mbili za mwisho nimepiga karibia lisaa na nusu hakuna maajabu godoro kama kawaida nitalala chini.

Hii hali inanichanganya sana nisaidieni maana bi dada anataka biashara yetu iishie hapa mimi bado nampenda.

Niweke wazi nilikua mdau wa chaputa ingawa nimerudisha kadi muda mrefu.
Kwa sasa nimekwama wadau nisaidieni.

Natanguliza shukrani
Una matatizo ya nguvu za kiume
 
Kwa wanaopiga tako mbili wazungu hawa hapaa lazima waseme hili ni tangazo la biashara dogo

Mkuu masaa mawili bila wazungu kutoka halafu hajatumia madawa yeyote si kweli,halafu kashasema yeye ni mdau wa pull....sasa na pull alikuwa anapiga masaa mawili? Humu kuna watu wana akili zao na wanajua mengi,ukiandika mada mtu anajua tu hapa anauza chai kwa ajili ya kujifurahisha au anauliza swali kinyume nyume,kwasisi tuliosoma saikoloji jamaa ameona akiuliza kwamba yeye ni TAKO tatu atachekwa bora aulize kinyume nyume swali lake.
 
Back
Top Bottom