Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hutaki mbio za marathon jamani! We unapendaga Relay tu za mita 100 zile 🤣🤣🤣Me binafsi hata kwa hela sitakii... hizo nguvu akajenge tuu bandari ya bagamoyo,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki mbio za marathon jamani! We unapendaga Relay tu za mita 100 zile 🤣🤣🤣Me binafsi hata kwa hela sitakii... hizo nguvu akajenge tuu bandari ya bagamoyo,.
Sometimes inabidi especially if nyote mnapita tu.Mi ndio maana nikishafika tu biashara imeisha! Utajijua mwenyewe kama bado mie napaki basi 😂😂😂 maana nikisema nitafute gia namba 2 ujue utaamkia maji ya vugu vugu na kachumvi kwa mbali! Ni kujikanda tu!
Sipendi kuwatesa sana watoto wa watu maana ile ni burudani sio gymnasium!
Delayed inaweza kuwa ugonjwa ila si tatizo kama Pre-ejaculation!Nimetoa mfano.Ila Delayed Ejaculation ni ugonjwa kama ulivyo premature ejaculation tu.Sababu zipo nyingi puchu, mawazo,pombe,upungufu wa homoni testosterone, kukosa hisia na mtu,kutotarajia unachokiona mf. Bwawa, harufu mbovu, maneno ya kukatisha tamaa.n.k
Basi sawaNimetoa mfano.Ila Delayed Ejaculation ni ugonjwa kama ulivyo premature ejaculation tu.Sababu zipo nyingi puchu, mawazo,pombe,upungufu wa homoni testosterone, kukosa hisia na mtu,kutotarajia unachokiona mf. Bwawa, harufu mbovu, maneno ya kukatisha tamaa.n.k
Lol...me nataka kuenjooooyyy bhanaa mbio za marathon ni za usein bolt me hazinihusu..😛Hutaki mbio za marathon jamani! We unapendaga Relay tu za mita 100 zile 🤣🤣🤣
Hahahahah ila kananogaga hako kamchezo, unaweza shangaa kila baada ya siku 3 unajiiba 😂😂😂Sometimes inabidi especially if nyote mnapita tu.
Hahahaha inaonesha hapo hamna mwendo, kabla mtoto hajafika gengeni shughuli imeisha 😂 tunaanza story za kumsema jirani msumbufu!Lol...me nataka kuenjooooyyy bhanaa mbio za marathon ni za usein bolt me hazinihusu..😛
Mmmh hizi relay ndo zenyewe.Hutaki mbio za marathon jamani! We unapendaga Relay tu za mita 100 zile 🤣🤣🤣
Mwendo lazima uwepo ndio maana tunafika safari zetu salama...😎Hahahaha inaonesha hapo hamna mwendo, kabla mtoto hajafika gengeni shughuli imeisha 😂 tunaanza story za kumsema jirani msumbufu!
jamaa kaleta ujuajiHuwa inatokea hadanganyi
Hahahah hio inawezekana afya ya papuchi ikiwa okay ila wengine unakuta sensor za mkuyenge zimekufa so mwamba lazma agonge starter pack ili ku boost turbocharger ya kinenaMmmh hizi relay ndo zenyewe.
Nguvu Kazi ya nchi tusijisahauuuu.
Nchi tutajengaga lini jamani
Ila sensor ziko sawa ukiona hivyo, wanaotupa tabu ni wale wenye vinu used pro max 😂😂😂 inabidi tugeuke waganga wa kutest mitishamba mbali mbali ili kuendana na kasi ya mlimbwende!Mwendo lazima uwepo ndio maana tunafika safari zetu salama...😎
Una matatizo ya nguvu za kiumeWakuu salam,
Naombeni ushauri wenu utanifaa sana maana niko kwenye wakati mgumu.
Nina tatizo la kuchelewa au kutofika kabisa kileleni ninaposhiriki mapenzi.
Ndani ya wiki mbili hizi nimegegeda Mara tatu lakini hakuna wazungu kabisa mpaka bi dada anagoma kuendelea na show.
Siku ya kwanza nimegegeda kwa masaa mawili mashine bado inadai, mechi inaisha saba bila godoro halifai limeloa haswa.
Mara mbili za mwisho nimepiga karibia lisaa na nusu hakuna maajabu godoro kama kawaida nitalala chini.
Hii hali inanichanganya sana nisaidieni maana bi dada anataka biashara yetu iishie hapa mimi bado nampenda.
Niweke wazi nilikua mdau wa chaputa ingawa nimerudisha kadi muda mrefu.
Kwa sasa nimekwama wadau nisaidieni.
Natanguliza shukrani
Kwa wanaopiga tako mbili wazungu hawa hapaa lazima waseme hili ni tangazo la biashara dogo
Bila Shaka wewe ni kibongemi binafsi mtu kudelay zaidi ya dakika 10 ananikera! jamani sio mazoezi yale eeh